Jumong S JF-Expert Member Jul 3, 2013 7,312 10,492 Jul 16, 2021 #1 Dawa ya shida ni kuizoea tu au kuikabili iondoke, Sasa hili la matozo ya Serikali yetu sikivu haitaondoka, tuizoee tu. Je, na LUKU wanaanza kukata lini ili tuzoeee na kukoma kabisa?
Dawa ya shida ni kuizoea tu au kuikabili iondoke, Sasa hili la matozo ya Serikali yetu sikivu haitaondoka, tuizoee tu. Je, na LUKU wanaanza kukata lini ili tuzoeee na kukoma kabisa?
mng'ato JF-Expert Member Oct 27, 2014 29,204 48,983 Jul 16, 2021 #2 Wanachelewesha kuleta hio tozo kwanini? Wazilete haraka Sana,wanyonge wanazisubiri kwa hamu Sana ili ziwaongezee Ari na morali za kizalendo.
Wanachelewesha kuleta hio tozo kwanini? Wazilete haraka Sana,wanyonge wanazisubiri kwa hamu Sana ili ziwaongezee Ari na morali za kizalendo.
Mnyatiaji JF-Expert Member Dec 13, 2018 3,706 4,759 Jul 16, 2021 #4 Matiti tax sikuhizi zimekuja kwa style ya kizalendo
Cannabis JF-Expert Member Jan 20, 2014 8,938 25,279 Jul 16, 2021 #5 Kuweni watulivu tunalishughulikia hilo suala 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
chivala JF-Expert Member Apr 13, 2021 772 2,333 Jul 16, 2021 #7 Jumong S said: Dawa ya shida ni kuizoea tu au kuikabili iondoke, Sasa hili la matozo ya Serikali yetu sikivu haitaondoka, tuizoee tu. Je, na LUKU wanaanza kukata lini ili tuzoeee na kukoma kabisa? Click to expand... Nakubaliana na wewe, ngoja ngoja huumiza tumbo!
Jumong S said: Dawa ya shida ni kuizoea tu au kuikabili iondoke, Sasa hili la matozo ya Serikali yetu sikivu haitaondoka, tuizoee tu. Je, na LUKU wanaanza kukata lini ili tuzoeee na kukoma kabisa? Click to expand... Nakubaliana na wewe, ngoja ngoja huumiza tumbo!