Tozo za miamala zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025. Uzalendo zaidi unahitajika

Tozo za miamala ya simu zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; Zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025, Uzalendo zaidi unahitajika kwani vizuri vinamaumivu,​


Tupige moyo konde, nikweli pesa hakuna,nikweli mzunguko wa pesa si mzuri sana ila tuwaache wenye pesa walisaidie Taifa lao kwa faida ya watoto leo na faida ya watoto wao kesho.

Tuacheni harakati kwenye maendeleo ya watu, hayupo Mjomba wala shangazi wakutujengea hizi barabara, shule,Zahanati,Hospitali kwaajili yetu na kwaajili ya watoto wetu na watoto wao ila ni sisi wenyewe.

[Hebu angalia faida za tozo kwenye sekta mbili tu za Afya na Elimu]

1. UJENZI WA VYUMBA 10,000 VYA MADARASA

Tunaweza kujenga shule 2,000 za O'level au shule 2,500 za A'level au Shule 1,428 za kidato cha ( I-VI) au Shule 1,250 za Msingi hii ni sawa na katika kila kata 2 itajengwa shule mpya 1 kwenye kata zote 3,956 au nisawa nakusema katika kila jimbo la uchaguzi kwenye majimbo yote 264 zitajengwa shule mpya 8 za Mama Samia likiwemo Jimbo la kaka yangu, "Thadei Ole Mushi " anayezipatia kigugumizi hizi tozo ,Nakwarejea tu,Tanzania tuna shule 5,330 tu za sekondari,Shule mpya nikaribu nusu ya shule zote za sekondari zilizowahi kujengwa tangu Uhuru kwanini tuendelee kunung'unikia tozo Kila siku tozo,

Nakama tozo hii itaenda mpaka 2025 Mama Samia atajenga shule mpya zinazofikia 10,000 hii ni sawa na kusema karibu kila kijiji kitakuwa na shule mpya ama ya sekondari ama ya msingi kupitia tozo za e-money.

2. UJENZI WA ZAHANATI MPYA 900

Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano alijenga Zahanati 1,198.Leo Mama Samia kwa kutumia Tozo ya Uzalendo atajenga Zahanati mpya 900 kwa mwaka 1 wa fedha yaani FY 2021|22.Hii ni sawa na Zahanati mpya 4,500 kwa miaka 5 yaani kila Jimbo zitajengwa Zahati mpya 4 katika kila mwaka wa fedha ni sawa na Zahanati 20 kwa kila jimbo kwa miaka 5 ya kwanza ya Mhe Samia Suluhu na hii ni kwamajimbo yote 264,Kwa lugha rahisi ifikapo 2025 kila kata itakuwa na Zahanati Mpya 2 za Mama Samia Suluhu Hassan,

3. UJENZI WA VITUO 114 VYA AFYA

Hyt Rais Magufuli kwa miaka 5 alikarabati na kujenga jumla ya vituo vya afya 487,Leo Mhe Rais Samia Suluhu kwa kutumia Tozo ya e-money atajenga vituo vipya 114 kwa mwaka 1 sawa na vituo 570 kwa miaka 5 ya awamu ya kwanza,Kwa lugha rahisi mwaka 2025 kila Wilaya itakuwa na Vituo vipya 4 vya afya vya Mama Samia Suluhu Hassan vitakavyohudumia watoto wa masikini wa nchi hii,


Itaendelea, kazi iendelee...

View attachment 1969077


Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1971181

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 

Tozo za miamala ya simu zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; Zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025, Uzalendo zaidi unahitajika kwani vizuri vinamaumivu,​


Tupige moyo konde, nikweli pesa hakuna,nikweli mzunguko wa pesa si mzuri sana ila tuwaache wenye pesa walisaidie Taifa lao kwa faida ya watoto leo na faida ya watoto wao kesho.

Tuacheni harakati kwenye maendeleo ya watu, hayupo Mjomba wala shangazi wakutujengea hizi barabara, shule,Zahanati,Hospitali kwaajili yetu na kwaajili ya watoto wetu na watoto wao ila ni sisi wenyewe.

[Hebu angalia faida za tozo kwenye sekta mbili tu za Afya na Elimu]

1. UJENZI WA VYUMBA 10,000 VYA MADARASA

Tunaweza kujenga shule 2,000 za O'level au shule 2,500 za A'level au Shule 1,428 za kidato cha ( I-VI) au Shule 1,250 za Msingi hii ni sawa na katika kila kata 2 itajengwa shule mpya 1 kwenye kata zote 3,956 au nisawa nakusema katika kila jimbo la uchaguzi kwenye majimbo yote 264 zitajengwa shule mpya 8 za Mama Samia likiwemo Jimbo la kaka yangu, "Thadei Ole Mushi " anayezipatia kigugumizi hizi tozo ,Nakwarejea tu,Tanzania tuna shule 5,330 tu za sekondari,Shule mpya nikaribu nusu ya shule zote za sekondari zilizowahi kujengwa tangu Uhuru kwanini tuendelee kunung'unikia tozo Kila siku tozo,

Nakama tozo hii itaenda mpaka 2025 Mama Samia atajenga shule mpya zinazofikia 10,000 hii ni sawa na kusema karibu kila kijiji kitakuwa na shule mpya ama ya sekondari ama ya msingi kupitia tozo za e-money.

2. UJENZI WA ZAHANATI MPYA 900

Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano alijenga Zahanati 1,198.Leo Mama Samia kwa kutumia Tozo ya Uzalendo atajenga Zahanati mpya 900 kwa mwaka 1 wa fedha yaani FY 2021|22.Hii ni sawa na Zahanati mpya 4,500 kwa miaka 5 yaani kila Jimbo zitajengwa Zahati mpya 4 katika kila mwaka wa fedha ni sawa na Zahanati 20 kwa kila jimbo kwa miaka 5 ya kwanza ya Mhe Samia Suluhu na hii ni kwamajimbo yote 264,Kwa lugha rahisi ifikapo 2025 kila kata itakuwa na Zahanati Mpya 2 za Mama Samia Suluhu Hassan,

3. UJENZI WA VITUO 114 VYA AFYA

Hyt Rais Magufuli kwa miaka 5 alikarabati na kujenga jumla ya vituo vya afya 487,Leo Mhe Rais Samia Suluhu kwa kutumia Tozo ya e-money atajenga vituo vipya 114 kwa mwaka 1 sawa na vituo 570 kwa miaka 5 ya awamu ya kwanza,Kwa lugha rahisi mwaka 2025 kila Wilaya itakuwa na Vituo vipya 4 vya afya vya Mama Samia Suluhu Hassan vitakavyohudumia watoto wa masikini wa nchi hii,


Itaendelea, kazi iendelee...

View attachment 1969077
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
 
Tozo bado ni muhimu Sana Watanzania wenzangu
mmmh ,,kazi ipo kati ya sekta ambayo serikali inapuyanga ni pamoja na elimu hasa huku chini msingi ( darasa la kwanza hadi kidato cha nne) hakuna elimu bora bali kuna bora elimu.so madarasa pekee sio kitu bali wajikite na parameter nyinginezo
 
Hayonndio yaleyale ya Jiwe tumejenga viwanda elfu kumi, watu makofi waaaaaaaa. Tueleze hivyo viwanda viwanda viko wapi hawaelezi. Jmn eee tuache ku generalized Mambo mkitaka kutenda kweli na kuwaaminisha wananchi fanyeni kwanza uchambuzi yakinifu mtuainishie kabisa hizo zahanati, vituo vya afya na hizo shule zitajengwa wapi? Yaan tuainishie kabisa kata hizi 570 ndiko vituo vya afya vitajengwa ili tujue kabisa hizo Kata/hayo maeneo hayana vituo vya afya na tutegemee ikifika 2025 tuweze kupima huo utendaji. Lakini kusema tu tutajenga vituo vya afya 570 tu bila kuainisha Kila eneo ni kudanganya tu watu. Lkn pia mtueleze kazi ya Kodi tulivyokuwa tunalipa kabla ya hizi tozo kazi yake n Nini sikuhizi.
 
Hayonndio yaleyale ya Jiwe tumejenga viwanda elfu kumi, watu makofi waaaaaaaa. Tueleze hivyo viwanda viwanda viko wapi hawaelezi. Jmn eee tuache ku generalized Mambo mkitaka kutenda kweli na kuwaaminisha wananchi fanyeni kwanza uchambuzi yakinifu mtuainishie kabisa hizo zahanati, vituo vya afya na hizo shule zitajengwa wapi? Yaan tuainishie kabisa kata hizi 570 ndiko vituo vya afya vitajengwa ili tujue kabisa hizo Kata/hayo maeneo hayana vituo vya afya na tutegemee ikifika 2025 tuweze kupima huo utendaji. Lakini kusema tu tutajenga vituo vya afya 570 tu bila kuainisha Kila eneo ni kudanganya tu watu. Lkn pia mtueleze kazi ya Kodi tulivyokuwa tunalipa kabla ya hizi tozo kazi yake n Nini sikuhizi.
Hayo mambo nenda wizarani kiongozi
 

Tozo za miamala ya simu zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; Zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025, Uzalendo zaidi unahitajika kwani vizuri vinamaumivu,​


Tupige moyo konde, nikweli pesa hakuna,nikweli mzunguko wa pesa si mzuri sana ila tuwaache wenye pesa walisaidie Taifa lao kwa faida ya watoto leo na faida ya watoto wao kesho.

Tuacheni harakati kwenye maendeleo ya watu, hayupo Mjomba wala shangazi wakutujengea hizi barabara, shule,Zahanati,Hospitali kwaajili yetu na kwaajili ya watoto wetu na watoto wao ila ni sisi wenyewe.

[Hebu angalia faida za tozo kwenye sekta mbili tu za Afya na Elimu]

1. UJENZI WA VYUMBA 10,000 VYA MADARASA

Tunaweza kujenga shule 2,000 za O'level au shule 2,500 za A'level au Shule 1,428 za kidato cha ( I-VI) au Shule 1,250 za Msingi hii ni sawa na katika kila kata 2 itajengwa shule mpya 1 kwenye kata zote 3,956 au nisawa nakusema katika kila jimbo la uchaguzi kwenye majimbo yote 264 zitajengwa shule mpya 8 za Mama Samia likiwemo Jimbo la kaka yangu, "Thadei Ole Mushi " anayezipatia kigugumizi hizi tozo ,Nakwarejea tu,Tanzania tuna shule 5,330 tu za sekondari,Shule mpya nikaribu nusu ya shule zote za sekondari zilizowahi kujengwa tangu Uhuru kwanini tuendelee kunung'unikia tozo Kila siku tozo,

Nakama tozo hii itaenda mpaka 2025 Mama Samia atajenga shule mpya zinazofikia 10,000 hii ni sawa na kusema karibu kila kijiji kitakuwa na shule mpya ama ya sekondari ama ya msingi kupitia tozo za e-money.

2. UJENZI WA ZAHANATI MPYA 900

Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano alijenga Zahanati 1,198.Leo Mama Samia kwa kutumia Tozo ya Uzalendo atajenga Zahanati mpya 900 kwa mwaka 1 wa fedha yaani FY 2021|22.Hii ni sawa na Zahanati mpya 4,500 kwa miaka 5 yaani kila Jimbo zitajengwa Zahati mpya 4 katika kila mwaka wa fedha ni sawa na Zahanati 20 kwa kila jimbo kwa miaka 5 ya kwanza ya Mhe Samia Suluhu na hii ni kwamajimbo yote 264,Kwa lugha rahisi ifikapo 2025 kila kata itakuwa na Zahanati Mpya 2 za Mama Samia Suluhu Hassan,

3. UJENZI WA VITUO 114 VYA AFYA

Hyt Rais Magufuli kwa miaka 5 alikarabati na kujenga jumla ya vituo vya afya 487,Leo Mhe Rais Samia Suluhu kwa kutumia Tozo ya e-money atajenga vituo vipya 114 kwa mwaka 1 sawa na vituo 570 kwa miaka 5 ya awamu ya kwanza,Kwa lugha rahisi mwaka 2025 kila Wilaya itakuwa na Vituo vipya 4 vya afya vya Mama Samia Suluhu Hassan vitakavyohudumia watoto wa masikini wa nchi hii,


Itaendelea, kazi iendelee...

View attachment 1969077
Acheni mapambio shule ,zahanati,n.k vilikuwepo, na vitaendelea kujengwa tu, yani wananchi wafe KWa njaa kisa mnakimbizana na UCHAGUZI 2025, na hampati nawambieni
 

Tozo za miamala ya simu zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; Zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025, Uzalendo zaidi unahitajika kwani vizuri vinamaumivu,​


Tupige moyo konde, nikweli pesa hakuna,nikweli mzunguko wa pesa si mzuri sana ila tuwaache wenye pesa walisaidie Taifa lao kwa faida ya watoto leo na faida ya watoto wao kesho.

Tuacheni harakati kwenye maendeleo ya watu, hayupo Mjomba wala shangazi wakutujengea hizi barabara, shule,Zahanati,Hospitali kwaajili yetu na kwaajili ya watoto wetu na watoto wao ila ni sisi wenyewe.

[Hebu angalia faida za tozo kwenye sekta mbili tu za Afya na Elimu]

1. UJENZI WA VYUMBA 8,000- 10,000 VYA MADARASA VIPYA

Tunaweza kujenga shule 2,000 za O'level au shule 2,500 za A'level au Shule 1,428 za kidato cha ( I-VI) au Shule 1,250 za Msingi hii ni sawa na katika kila kata 2 itajengwa shule mpya 1 kwenye kata zote 3,956 au nisawa nakusema katika kila jimbo la uchaguzi kwenye majimbo yote 264 zitajengwa shule mpya 8 za Mama Samia likiwemo Jimbo la kaka yangu, "Thadei Ole Mushi " anayezipatia kigugumizi hizi tozo ,Nakwarejea tu,Tanzania tuna shule 5,330 tu za sekondari,Shule mpya nikaribu nusu ya shule zote za sekondari zilizowahi kujengwa tangu Uhuru kwanini tuendelee kunung'unikia tozo Kila siku tozo,

Nakama tozo hii itaenda mpaka 2025 Mama Samia atajenga shule mpya zinazofikia 10,000 hii ni sawa na kusema karibu kila kijiji kitakuwa na shule mpya ama ya sekondari ama ya msingi kupitia tozo za e-money.

2. UJENZI WA ZAHANATI MPYA 900

Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano alijenga Zahanati 1,198.Leo Mama Samia kwa kutumia Tozo ya Uzalendo atajenga Zahanati mpya 900 kwa mwaka 1 wa fedha yaani FY 2021|22.Hii ni sawa na Zahanati mpya 4,500 kwa miaka 5 yaani kila Jimbo zitajengwa Zahati mpya 4 katika kila mwaka wa fedha ni sawa na Zahanati 20 kwa kila jimbo kwa miaka 5 ya kwanza ya Mhe Samia Suluhu na hii ni kwamajimbo yote 264,Kwa lugha rahisi ifikapo 2025 kila kata itakuwa na Zahanati Mpya 2 za Mama Samia Suluhu Hassan,

3. UJENZI WA VITUO 234 VYA AFYA

Hyt Rais Magufuli kwa miaka 5 alikarabati na kujenga jumla ya vituo vya afya 487,Leo Mhe Rais Samia Suluhu kwa kutumia Tozo ya e-money atajenga vituo vipya 234 kwa mwaka 1 huu na nusu sawa na vituo 570 kwa miaka 5 ya awamu ya kwanza,Kwa lugha rahisi mwaka 2025 kila Wilaya itakuwa na Vituo vipya 4 vya afya vya Mama Samia Suluhu Hassan vitakavyohudumia watoto wa masikini wa nchi hii,


Itaendelea, kazi iendelee...

View attachment 1969077
Majengo bila vifaa na wafanyakazi ni bure, au tutaomba msaada wa vifaa tiba kwa wafadhili? Hatuna mipango kazi ya tunayoyafanya. Madarasa bila waalimu na madawati pamoja na nyumba za waalimu na miundo mingine itakuwa sifuri
 
Majengo bila vifaa na wafanyakazi ni bure, au tutaomba msaada wa vifaa tiba kwa wafadhili? Hatuna mipango kazi ya tunayoyafanya. Madarasa bila waalimu na madawati pamoja na nyumba za waalimu na miundo mingine itakuwa sifuri
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha
 
Ni sawa

Tujiulize maswali haya;-

Hizo zilizojengwa toka uhuru hadi leo zilijengwa kwa Tozo!?
Nashauri;

"Mzee Warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
 
Back
Top Bottom