Tozo za miamala zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025. Uzalendo zaidi unahitajika

Muasisi wa tozo katika ubora wake
FB_IMG_1627981456984.jpg
 
Huyu mama anahesabu kali sana huenda akavunja rekodi kwa ujenzi wa miundombini ya maendeleo kwa wananchi.

Japo makato yanauma ila kama mambo ni haya niko tayari.


Leo nimemsikia waziri wa fedha anasema kwa wiki nne pekee tumekusanya Tsh 48.4BL yaani nisawa na Tsh 576BL kwa mwaka kama mambo yatabaki kama yalivyo,

Nasisitiza tozo iendelee
 
Leo nimemsikia waziri wa fedha anasema kwa wiki nne pekee tumekusanya Tsh 48.4BL yaani nisawa na Tsh 576BL kwa mwaka kama mambo yatabaki kama yalivyo,

Nasisitiza tozo iendelee
Jana serikali imepata mkopo wa tr 2.1 kwa ajili ya maendeleo (elimu n.k) kutoka WB, hizo hela wanakopa zanini kama kuna tozo?
 
Tunaweza kupata zaidi ya Shilingi 1.6trilioni,Itakuwa ni faida sana kwa maendeleo ya watoto wa masikini,
Watz wengine bhana naona hamjielewi.
Kutetea Tozo za miamala ziendelee ni upuuzi na unyonyaji mkubwa kwa Watz wanyonge!! Mwigulu Nchemba alitakiwa awe ameachia ngazi siyo kuenďelea kutetea upuuzi wake hata baada ya Rais Samia kutoa maelekezo!!
Hii nji ina viongozi wapuuzi kwelikweli wanathubutu kumpinga hata Rais!!!?
Mbona wakti wa JPM hawa Mawaziri walikuwa hawafanyi huu ujinga?
Hivi Madini yetu yameondoka na JPM? KAULI YA HII NCHI NI TAJIRI SANA KWA RASLIMALI ZAKE IMEONDOKA NA MWENDA ZAKE??? Tafakari.
 
Tanzania ya Samia ni noma,

Umeme bei Chee EAC
Petrol bei Chee EAC
Disel bei Chee EAC
M|taa bei Chee EAC
Data (MB) bei Chee EAC
Maji bei Chee EAC
 
CCm ni wezi. Mara tozo. Mara SSH kaja na kipochi kujenga madarasa!
Jamani amkeni tunadanganywa!!
 
Back
Top Bottom