Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Wadau, tutiririke hapa au mnaonaje?
Unaweza kusoma maoni ya wengine kupitia hii TAG on JF: tozo za miamala
Kwanini hawakutaka maoni yetu kabla ya kuanzisha tozo hizo?View attachment 1856216
Wadau, tutiririke hapa au mnaonaje?
Unaweza kusoma maoni ya wengine kupitia hii TAG on JF: tozo za miamala
"Hizi gharama mpya za mitandao ni dalili kuwa hatujuani hali zetu. Hayo makato sio mzigo kwa wenye uwezo bali kwa "wanyonge" ni mzigo mzito. Hakika matajiri na mali zao na maskini na watoto wao."- Dr. Stephen MungaKuhusu tozo za miamala ya simu mie bado nipo pamoja na mh. Raisi kwan amelazimika kutoka na hali halis aliyoikuta ya mtanguliz wake...
Ndo dunia hii"Hizi gharama mpya za mitandao ni dalili kuwa hatujuani hali zetu. Hayo makato sio mzigo kwa wenye uwezo bali kwa "wanyonge" ni mzigo mzito. Hakika matajiri na mali zao na maskini na watoto wao."- Dr. Stephen Munga...
Kuhusu tozo za miamala ya simu mie bado nipo pamoja na mh. Raisi kwan amelazimika kutoka na hali halis aliyoikuta ya mtanguliz wake.
Tuvumilieni na tumpe matumaini na tumkosoe kwa staha kwakuwa yeye Ni binadam hataacha mapungufu ila sio matusi Kama wafavyo wahuni...
Andamana tu!Umetumwa? Mwambie tunaandamana...
Nadhani na ww upo kwenye safari moja na mwendazakeKuhusu tozo za miamala ya simu mie bado nipo pamoja na mh. Raisi kwan amelazimika kutoka na hali halis aliyoikuta ya mtanguliz wake.
Tuvumilieni na tumpe matumaini na tumkosoe kwa staha kwakuwa yeye Ni binadam hataacha mapungufu ila sio matusi Kama wafavyo wahuni...
Wewe je?Nadhani na ww upo kwenye safari moja na mwendazake
Hiki Ni kijit mama kwann usitaje chadema anayefanya Kama mwenyekiti wa kikobaCCM waliiba kura ili wawe na bunge linaloonea wanaowaita wanyonge.
Yaan we unarudia walishasema wameishiwa na wamebun chanzo kipyaUnawekaje tozo ya shilingi 7,250/= kwenye mwamala wa elf 50......kimsingi kwa pesa ndogo kama hiyo jumla ya tozo haitakiwi kuzidi 700.....
Hii inaashiria serikali imekaukiwa vyanzo vya mapato kuendesha bajeti yake ambayo imelemewa na mzigo wa kulipa mishahara na posho nene nene kwa wateuliwa hasa ma-DC na ma-RC na kugharamia mashangingi yao...
OfcozMchumi wa kwenye majabali ameshasema eti nyie pigeni kelele zote ila sheria imeshapitishwa na bunge.