Tozo ya laini za simu kuanza mwezi ujao

Watumiaji wa simu nchini wataanza kutozwa tozo ya laini za simu kwa kila anayeongeza salio kuanzia Agosti 2021. Tozo hiyo ya kati ya TZS 10 hadi 200, kulingana na uwezo wa kuongeza salio la muda wa maongezi, itaiwezesha serikali kukusanya TZS bilioni 396.3 kwa mwaka huu wa fedha.
 
Jay tatizo sio kulipa tatizo usimamizi wa kodi!

Hatuna watu wenye uchungu kusimamia kodi za walala hoi.

Ndio maana hatuoni umuhimu wa kulipa kodi watu wanazitumia kutwa kuzunguka tu Dar- Dodoma

Hii point, infact, financial management ya serikali, inatakiwa iwe reviewed haraka.. Esp unnecessary spending eg ma Vx V8 mm huwa naumia sana kuhusu haya magari, ghali kununua na ghali sana ku maintain.

Haya yangefaa yatumiwe na Rais, Makamu Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri basi, wengine wote Landcruiser prado tu. Kuanzia RCs, Makatibu wakuu, naibu waziri, CEOs, MDs, DGs.. Wote ingefaa prado basi.
 
Nielewesheni Wakuu..Ina let's Say Tozo ni Tsh.100/=..Kwahiyo Nikitaka kuweka Vocha Ya Jero Haitokubali kujiunga mpaka niweke Tsh.600?Au Nkitia Jero Wataokatwa ni Service Providers?
 
Back
Top Bottom