TOZO|CORONA: Idadi ya watali nchini imepungua kwa 77%, Mapato yatokanayo na utali yameshuka kwa 87%, Je mnaopinga tozo hadi leo mnalijua hili?

HII NCHI NGUMU SANA|WATU WANAPINGA TOZO ZA HIARI WANATAMANI ENZI ZA TRA NA MITUTU YA BUNDUKI,



_________________________________

Kazi iendelee|Tozo ziendelee

Sikilizeni, Mfano, kutoka Wizara ya Maliasili & Utalii FY2021/22 tulitegemea kukusanya jumla ya Tshs 2.7trl kama mapato yatokanayo na Utali kwa matarajio ya kupokea jumla ya watali 1,867,000 but kutokana na COVID-19 tunatarajia kupokea watalii 437,000 sawa na anguko la 77%,na matarajio mapya ya makusanyo ni Tshs 598BL kwa mwaka toka matarajio ya Tshs 2.7trl hii ni sawa na nakisi|pungufu wa Tsh 2.102trl kwa mwaka huu. Wananzengo, hii pesa ya kufidia tunaipataje?

Tukumbushane, Kabla ya Corona kwa mfano, FY 2017/18 mapato yatokanayo na Utali tu yalifikia kiasi cha US$ 2.4BL sawa na Tshs 5.3trl leo Mapato hayohayo ni chini ya Tshs 598BL sawa na anguko la 87% ambayo ni Tsh 4.702trl. Kwa lugha rahisi zaidi ya Tshs 4.7trl tulizopata miaka ya 2010's zitokanazo na Utali zimeyeyushwa na Corona na hazipo tena Serikalini wala kwenye mzunguko,Kumbuka hii Corona si ya CCM, CHADEMA, NCCR, CUF wala TLP ni Ya Mungu na Mungu hakosei, Hii pesa tunaipataje?

Dk Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango amesema Serikali ya JMT imekusanya Tshs 48.4BL kwa mwezi moja tu ( wiki nne ) toka kwenye tozo,Kama tozo hizi tulio wengi tutazikubali basi kwa mwaka mmoja wa fedha tutakusanya jumla ya Tshs 581BL ambazo ni zaidi ya hata makusanyo yote ya Wizara ya madini ambayoni ni Tshs 528.24BL kwa mwaka, kwamiaka hii mitano ya Kwanza ya Mama Samia kwa tozo za miamala tu, tutakusanya zaidi ya 3trl kama wapinga maendeleo wa hii nchi hawatashinda hii Vita ya Ujenzi wa nchi bila kumdhulumu yeyote awaye.

Pamoja na Corona, Vituo vya afya 560, Ukarabati wa Hospitali za wilaya 99, Wodi za wagonjwa 201, Vyumba vya madarasa 10,000, Zahanati 1,198, Kilometa 73,242 za Changarawe yote haya lazima yajengwe na njia ni mbili tu, niama TRA wachukue Mitutu ya bunduki wakawatengenezee wafanyabiashara wetu "Presumtive Tax accessment" ili kuwadai kodi hadi za wakati wa JK au Watanzania wote zaidi ya 60M kwa umoja wetu tu-share baraka hizi kwa kuchangia miamia zetu kwenye miamala na tozo nyinginezo zilizopitishwa na bunge ili kuifanya Tanzania kuwa nchi salama kwa yeyote kuishi iwe ni kijijini au mjini,


...tuendelee kumwombea Mama kazi anaipiga ...
Mbona mnaendelea kuagiza ndege tena kwa cash money?
 
HII NCHI NGUMU SANA|WATU WANAPINGA TOZO ZA HIARI WANATAMANI ENZI ZA TRA NA MITUTU YA BUNDUKI,



_________________________________

Kazi iendelee|Tozo ziendelee

Sikilizeni, Mfano, kutoka Wizara ya Maliasili & Utalii FY2021/22 tulitegemea kukusanya jumla ya Tshs 2.7trl kama mapato yatokanayo na Utali kwa matarajio ya kupokea jumla ya watali 1,867,000 but kutokana na COVID-19 tunatarajia kupokea watalii 437,000 sawa na anguko la 77%,na matarajio mapya ya makusanyo ni Tshs 598BL kwa mwaka toka matarajio ya Tshs 2.7trl hii ni sawa na nakisi|pungufu wa Tsh 2.102trl kwa mwaka huu. Wananzengo, hii pesa ya kufidia tunaipataje?

Tukumbushane, Kabla ya Corona kwa mfano, FY 2017/18 mapato yatokanayo na Utali tu yalifikia kiasi cha US$ 2.4BL sawa na Tshs 5.3trl leo Mapato hayohayo ni chini ya Tshs 598BL sawa na anguko la 87% ambayo ni Tsh 4.702trl. Kwa lugha rahisi zaidi ya Tshs 4.7trl tulizopata miaka ya 2010's zitokanazo na Utali zimeyeyushwa na Corona na hazipo tena Serikalini wala kwenye mzunguko,Kumbuka hii Corona si ya CCM, CHADEMA, NCCR, CUF wala TLP ni Ya Mungu na Mungu hakosei, Hii pesa tunaipataje?

Dk Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango amesema Serikali ya JMT imekusanya Tshs 48.4BL kwa mwezi moja tu ( wiki nne ) toka kwenye tozo,Kama tozo hizi tulio wengi tutazikubali basi kwa mwaka mmoja wa fedha tutakusanya jumla ya Tshs 581BL ambazo ni zaidi ya hata makusanyo yote ya Wizara ya madini ambayoni ni Tshs 528.24BL kwa mwaka, kwamiaka hii mitano ya Kwanza ya Mama Samia kwa tozo za miamala tu, tutakusanya zaidi ya 3trl kama wapinga maendeleo wa hii nchi hawatashinda hii Vita ya Ujenzi wa nchi bila kumdhulumu yeyote awaye.

Pamoja na Corona, Vituo vya afya 560, Ukarabati wa Hospitali za wilaya 99, Wodi za wagonjwa 201, Vyumba vya madarasa 10,000, Zahanati 1,198, Kilometa 73,242 za Changarawe yote haya lazima yajengwe na njia ni mbili tu, niama TRA wachukue Mitutu ya bunduki wakawatengenezee wafanyabiashara wetu "Presumtive Tax accessment" ili kuwadai kodi hadi za wakati wa JK au Watanzania wote zaidi ya 60M kwa umoja wetu tu-share baraka hizi kwa kuchangia miamia zetu kwenye miamala na tozo nyinginezo zilizopitishwa na bunge ili kuifanya Tanzania kuwa nchi salama kwa yeyote kuishi iwe ni kijijini au mjini,


...tuendelee kumwombea Mama kazi anaipiga ...
Wapumbavu tuu ndio wanaopinga,kama Wana waume zao Ulaya waende huko wakalishwe vya bure.

Serikali hakuna kutoa tozo ila biashara ya kununua mandege ni upumbavu na matumizi mabaya ya pesa zwtu.
 
H
JamiiForums974332259.jpg
 
Mama Samia tafuta vijana wa kukusemea, Hawa akina Abbas na Msigwa sio wako,

Mimi leo nimeelewa kwanini natakiwa kutoa Tozo, Niliambiwa na Mwigulu nivumilie tu au nihama nchi,

Information is power,

Niko tayari kwa Tozo, Na 2025 mama kura yangu anayo,
 
HII NCHI NGUMU SANA|WATU WANAPINGA TOZO ZA HIARI WANATAMANI ENZI ZA TRA NA MITUTU YA BUNDUKI,



_________________________________

Kazi iendelee|Tozo ziendelee

Sikilizeni, Mfano, kutoka Wizara ya Maliasili & Utalii FY2021/22 tulitegemea kukusanya jumla ya Tshs 2.7trl kama mapato yatokanayo na Utali kwa matarajio ya kupokea jumla ya watali 1,867,000 but kutokana na COVID-19 tunatarajia kupokea watalii 437,000 sawa na anguko la 77%,na matarajio mapya ya makusanyo ni Tshs 598BL kwa mwaka toka matarajio ya Tshs 2.7trl hii ni sawa na nakisi|pungufu wa Tsh 2.102trl kwa mwaka huu. Wananzengo, hii pesa ya kufidia tunaipataje?

Tukumbushane, Kabla ya Corona kwa mfano, FY 2017/18 mapato yatokanayo na Utali tu yalifikia kiasi cha US$ 2.4BL sawa na Tshs 5.3trl leo Mapato hayohayo ni chini ya Tshs 598BL sawa na anguko la 87% ambayo ni Tsh 4.702trl. Kwa lugha rahisi zaidi ya Tshs 4.7trl tulizopata miaka ya 2010's zitokanazo na Utali zimeyeyushwa na Corona na hazipo tena Serikalini wala kwenye mzunguko,Kumbuka hii Corona si ya CCM, CHADEMA, NCCR, CUF wala TLP ni Ya Mungu na Mungu hakosei, Hii pesa tunaipataje?

Dk Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango amesema Serikali ya JMT imekusanya Tshs 48.4BL kwa mwezi moja tu ( wiki nne ) toka kwenye tozo,Kama tozo hizi tulio wengi tutazikubali basi kwa mwaka mmoja wa fedha tutakusanya jumla ya Tshs 581BL ambazo ni zaidi ya hata makusanyo yote ya Wizara ya madini ambayoni ni Tshs 528.24BL kwa mwaka, kwamiaka hii mitano ya Kwanza ya Mama Samia kwa tozo za miamala tu, tutakusanya zaidi ya 3trl kama wapinga maendeleo wa hii nchi hawatashinda hii Vita ya Ujenzi wa nchi bila kumdhulumu yeyote awaye.

Pamoja na Corona, Vituo vya afya 560, Ukarabati wa Hospitali za wilaya 99, Wodi za wagonjwa 201, Vyumba vya madarasa 10,000, Zahanati 1,198, Kilometa 73,242 za Changarawe yote haya lazima yajengwe na njia ni mbili tu, niama TRA wachukue Mitutu ya bunduki wakawatengenezee wafanyabiashara wetu "Presumtive Tax accessment" ili kuwadai kodi hadi za wakati wa JK au Watanzania wote zaidi ya 60M kwa umoja wetu tu-share baraka hizi kwa kuchangia miamia zetu kwenye miamala na tozo nyinginezo zilizopitishwa na bunge ili kuifanya Tanzania kuwa nchi salama kwa yeyote kuishi iwe ni kijijini au mjini,


...tuendelee kumwombea Mama kazi anaipiga ...
Kwahiyo tozo ndio itasaidia kuziba pengo la forex itokanayo na watalii?
 
HII NCHI NGUMU SANA|WATU WANAPINGA TOZO ZA HIARI WANATAMANI ENZI ZA TRA NA MITUTU YA BUNDUKI,



_________________________________

Kazi iendelee|Tozo ziendelee

Sikilizeni, Mfano, kutoka Wizara ya Maliasili & Utalii FY2021/22 tulitegemea kukusanya jumla ya Tshs 2.7trl kama mapato yatokanayo na Utali kwa matarajio ya kupokea jumla ya watali 1,867,000 but kutokana na COVID-19 tunatarajia kupokea watalii 437,000 sawa na anguko la 77%,na matarajio mapya ya makusanyo ni Tshs 598BL kwa mwaka toka matarajio ya Tshs 2.7trl hii ni sawa na nakisi|pungufu wa Tsh 2.102trl kwa mwaka huu. Wananzengo, hii pesa ya kufidia tunaipataje?

Tukumbushane, Kabla ya Corona kwa mfano, FY 2017/18 mapato yatokanayo na Utali tu yalifikia kiasi cha US$ 2.4BL sawa na Tshs 5.3trl leo Mapato hayohayo ni chini ya Tshs 598BL sawa na anguko la 87% ambayo ni Tsh 4.702trl. Kwa lugha rahisi zaidi ya Tshs 4.7trl tulizopata miaka ya 2010's zitokanazo na Utali zimeyeyushwa na Corona na hazipo tena Serikalini wala kwenye mzunguko,Kumbuka hii Corona si ya CCM, CHADEMA, NCCR, CUF wala TLP ni Ya Mungu na Mungu hakosei, Hii pesa tunaipataje?

Dk Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango amesema Serikali ya JMT imekusanya Tshs 48.4BL kwa mwezi moja tu ( wiki nne ) toka kwenye tozo,Kama tozo hizi tulio wengi tutazikubali basi kwa mwaka mmoja wa fedha tutakusanya jumla ya Tshs 581BL ambazo ni zaidi ya hata makusanyo yote ya Wizara ya madini ambayoni ni Tshs 528.24BL kwa mwaka, kwamiaka hii mitano ya Kwanza ya Mama Samia kwa tozo za miamala tu, tutakusanya zaidi ya 3trl kama wapinga maendeleo wa hii nchi hawatashinda hii Vita ya Ujenzi wa nchi bila kumdhulumu yeyote awaye.

Pamoja na Corona, Vituo vya afya 560, Ukarabati wa Hospitali za wilaya 99, Wodi za wagonjwa 201, Vyumba vya madarasa 10,000, Zahanati 1,198, Kilometa 73,242 za Changarawe yote haya lazima yajengwe na njia ni mbili tu, niama TRA wachukue Mitutu ya bunduki wakawatengenezee wafanyabiashara wetu "Presumtive Tax accessment" ili kuwadai kodi hadi za wakati wa JK au Watanzania wote zaidi ya 60M kwa umoja wetu tu-share baraka hizi kwa kuchangia miamia zetu kwenye miamala na tozo nyinginezo zilizopitishwa na bunge ili kuifanya Tanzania kuwa nchi salama kwa yeyote kuishi iwe ni kijijini au mjini,


...tuendelee kumwombea Mama kazi anaipiga ...
Mi ninaunga mkono hii tozo maana hii nchi itajengwa na watanzania wote,sio baadhi ya watu wabebeshwe mzigo wa wengine.Hata ile ya kodi ya pango poa tuu maana watu wakiambiwa walipie hawataki
 
N
Daaah,


Shida kubwa serikali ya awamu ya Sita ni Taarifa,

Mimi nilikuwa nimemchukia Samia kwenye tozo bure kumbe Mama anahangaika kuinusuru nchi kimaendeleo,

Mbona msemaji wa Serikali hatokei kufafanua kama huyu member,

Mbona waziri hatokei kufafanua hili anakimbilia kutuambia tuvumilie au tuhame,

Kunaubaya gani kuwaambia wananchi hizi taarifa kuwa wafunge mikanda wakati huu wa CORONA?

Wanaogopa kwani CORONA imeletwa na CCM?

Hata kama wangekuwa Chadema wao wangepata wapi hiyo pungufu ya 4T kwa mwaka?

Mama kama utapitia huu uzienajua unasoma jaribu kuwatoa watu wako waje waisemee serikali watu hawana Taarifa zakutosha,

SASA NIMETAMBUA KWANINI TOZO,

NAUNGA MKONO HOJA TOZO IENDELEE KIROHO SAFI KABISA,
Mkuu Kweli tufunge Mkanda wakati watawala wanafakamia Jasho la Mlalahoi Kwa Anasa..??? Kama Kweli Wana Akili kuna haja ya kuendelea na matumizi makubwa ya Serikali?? Never... Nimepunguza Njia za kulipa Tozo bila sababu za Msingi. Wao walipane maposho ya kijinga na magari ya kifahari nihenyeke kuwalipia Never....!!! Wataambulia hicho kidogo Wanachopata...!!!
 
Ha
Tufunge mikanda maviete yawekwe mafuta kwa mishahara ya mawaziri, ikiwezekana yauzwe🐒
Hayo matakataka Hayafai Kabisa Kwa nchi Changa kama Hii... Tuliwacheka Wakongo, Wazimbabwe, Gabon,Afrika ya Kati. Lakini tupo tunaelekea Huko. Matumizi ya Hovyo yasiyoeleweka...!!!
 
Daaah,


Shida kubwa serikali ya awamu ya Sita ni Taarifa,

Mimi nilikuwa nimemchukia Samia kwenye tozo bure kumbe Mama anahangaika kuinusuru nchi kimaendeleo,

Mbona msemaji wa Serikali hatokei kufafanua kama huyu member,

Mbona waziri hatokei kufafanua hili anakimbilia kutuambia tuvumilie au tuhame,

Kunaubaya gani kuwaambia wananchi hizi taarifa kuwa wafunge mikanda wakati huu wa CORONA?

Wanaogopa kwani CORONA imeletwa na CCM?

Hata kama wangekuwa Chadema wao wangepata wapi hiyo pungufu ya 4T kwa mwaka?

Mama kama utapitia huu uzienajua unasoma jaribu kuwatoa watu wako waje waisemee serikali watu hawana Taarifa zakutosha,

SASA NIMETAMBUA KWANINI TOZO,

NAUNGA MKONO HOJA TOZO IENDELEE KIROHO SAFI KABISA,
Kwani mleta taarifa unadhani ni mtu wa nani?
 
N

Mkuu Kweli tufunge Mkanda wakati watawala wanafakamia Jasho la Mlalahoi Kwa Anasa..??? Kama Kweli Wana Akili kuna haja ya kuendelea na matumizi makubwa ya Serikali?? Never... Nimepunguza Njia za kulipa Tozo bila sababu za Msingi. Wao walipane maposho ya kijinga na magari ya kifahari nihenyeke kuwalipia Never....!!! Wataambulia hicho kidogo Wanachopata...!!!
Kweli kabsa sioni sababu ya kutumia mitandao ya simu wakati kuna njia mbadara labda serikali ivamie na huko
 
HII NCHI NGUMU SANA|WATU WANAPINGA TOZO ZA HIARI WANATAMANI ENZI ZA TRA NA MITUTU YA BUNDUKI,



_________________________________

Kazi iendelee|Tozo ziendelee

Sikilizeni, Mfano, kutoka Wizara ya Maliasili & Utalii FY2021/22 tulitegemea kukusanya jumla ya Tshs 2.7trl kama mapato yatokanayo na Utali kwa matarajio ya kupokea jumla ya watali 1,867,000 but kutokana na COVID-19 tunatarajia kupokea watalii 437,000 sawa na anguko la 77%,na matarajio mapya ya makusanyo ni Tshs 598BL kwa mwaka toka matarajio ya Tshs 2.7trl hii ni sawa na nakisi|pungufu wa Tsh 2.102trl kwa mwaka huu. Wananzengo, hii pesa ya kufidia tunaipataje?

Tukumbushane, Kabla ya Corona kwa mfano, FY 2017/18 mapato yatokanayo na Utali tu yalifikia kiasi cha US$ 2.4BL sawa na Tshs 5.3trl leo Mapato hayohayo ni chini ya Tshs 598BL sawa na anguko la 87% ambayo ni Tsh 4.702trl. Kwa lugha rahisi zaidi ya Tshs 4.7trl tulizopata miaka ya 2010's zitokanazo na Utali zimeyeyushwa na Corona na hazipo tena Serikalini wala kwenye mzunguko,Kumbuka hii Corona si ya CCM, CHADEMA, NCCR, CUF wala TLP ni Ya Mungu na Mungu hakosei, Hii pesa tunaipataje?

Dk Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango amesema Serikali ya JMT imekusanya Tshs 48.4BL kwa mwezi moja tu ( wiki nne ) toka kwenye tozo,Kama tozo hizi tulio wengi tutazikubali basi kwa mwaka mmoja wa fedha tutakusanya jumla ya Tshs 581BL ambazo ni zaidi ya hata makusanyo yote ya Wizara ya madini ambayoni ni Tshs 528.24BL kwa mwaka, kwamiaka hii mitano ya Kwanza ya Mama Samia kwa tozo za miamala tu, tutakusanya zaidi ya 3trl kama wapinga maendeleo wa hii nchi hawatashinda hii Vita ya Ujenzi wa nchi bila kumdhulumu yeyote awaye.

Pamoja na Corona, Vituo vya afya 560, Ukarabati wa Hospitali za wilaya 99, Wodi za wagonjwa 201, Vyumba vya madarasa 10,000, Zahanati 1,198, Kilometa 73,242 za Changarawe yote haya lazima yajengwe na njia ni mbili tu, niama TRA wachukue Mitutu ya bunduki wakawatengenezee wafanyabiashara wetu "Presumtive Tax accessment" ili kuwadai kodi hadi za wakati wa JK au Watanzania wote zaidi ya 60M kwa umoja wetu tu-share baraka hizi kwa kuchangia miamia zetu kwenye miamala na tozo nyinginezo zilizopitishwa na bunge ili kuifanya Tanzania kuwa nchi salama kwa yeyote kuishi iwe ni kijijini au mjini,


...tuendelee kumwombea Mama kazi anaipiga ...
Umeongea Vizuri ILA hujaongelea Suala la kuvutia watalii kwa kuweka tozo rafiki kipindi hiki badala yake TUNAPANDISHA TOZO ZA UTALII. Yaani hata kwa Commerce ya Form two inakataa principle tunayotumia (when demand is low, price should be low; kwa TANZANIA, when demand is Low, price is High - Shame!
 
Mliamua madawati lazima yawepo kila shule ila leo pamoja na Miti yote hiyo na michango yote na Mabakuli mmnayozunguka nayo kuomba misaada
Ooh watoto hawana elimu nzuri Tusaidieni (tunapewa ) tena za kutosha sana tu ila hatuzioni

Bado watoto wanajisaidia porini kama mbuzi karne hii ya 21

Sawa kateni ila makato yasiwe ya kumuumiza mtu, na tuone mabadiliko kote
 
Tumewaelewa ila Corona ikisepa na Tozo zisepe,

Tatizo lenu hamsemagi ukweli, kama mambo ni haya nani anapinga sasa kwa hali hii,
 
Tozo zinalipwa kwa dola? Watalii wanaleta dola sisi tunakatwa tshs, halafu mpumbavu mmoja anasema tozo ni substitute ya mapato ya utalii
 
HII NCHI NGUMU SANA|WATU WANAPINGA TOZO ZA HIARI WANATAMANI ENZI ZA TRA NA MITUTU YA BUNDUKI,



_________________________________

Kazi iendelee|Tozo ziendelee

Sikilizeni, Mfano, kutoka Wizara ya Maliasili & Utalii FY2021/22 tulitegemea kukusanya jumla ya Tshs 2.7trl kama mapato yatokanayo na Utali kwa matarajio ya kupokea jumla ya watali 1,867,000 but kutokana na COVID-19 tunatarajia kupokea watalii 437,000 sawa na anguko la 77%,na matarajio mapya ya makusanyo ni Tshs 598BL kwa mwaka toka matarajio ya Tshs 2.7trl hii ni sawa na nakisi|pungufu wa Tsh 2.102trl kwa mwaka huu. Wananzengo, hii pesa ya kufidia tunaipataje?

Tukumbushane, Kabla ya Corona kwa mfano, FY 2017/18 mapato yatokanayo na Utali tu yalifikia kiasi cha US$ 2.4BL sawa na Tshs 5.3trl leo Mapato hayohayo ni chini ya Tshs 598BL sawa na anguko la 87% ambayo ni Tsh 4.702trl. Kwa lugha rahisi zaidi ya Tshs 4.7trl tulizopata miaka ya 2010's zitokanazo na Utali zimeyeyushwa na Corona na hazipo tena Serikalini wala kwenye mzunguko,Kumbuka hii Corona si ya CCM, CHADEMA, NCCR, CUF wala TLP ni Ya Mungu na Mungu hakosei, Hii pesa tunaipataje?

Dk Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango amesema Serikali ya JMT imekusanya Tshs 48.4BL kwa mwezi moja tu ( wiki nne ) toka kwenye tozo,Kama tozo hizi tulio wengi tutazikubali basi kwa mwaka mmoja wa fedha tutakusanya jumla ya Tshs 581BL ambazo ni zaidi ya hata makusanyo yote ya Wizara ya madini ambayoni ni Tshs 528.24BL kwa mwaka, kwamiaka hii mitano ya Kwanza ya Mama Samia kwa tozo za miamala tu, tutakusanya zaidi ya 3trl kama wapinga maendeleo wa hii nchi hawatashinda hii Vita ya Ujenzi wa nchi bila kumdhulumu yeyote awaye.

Pamoja na Corona, Vituo vya afya 560, Ukarabati wa Hospitali za wilaya 99, Wodi za wagonjwa 201, Vyumba vya madarasa 10,000, Zahanati 1,198, Kilometa 73,242 za Changarawe yote haya lazima yajengwe na njia ni mbili tu, niama TRA wachukue Mitutu ya bunduki wakawatengenezee wafanyabiashara wetu "Presumtive Tax accessment" ili kuwadai kodi hadi za wakati wa JK au Watanzania wote zaidi ya 60M kwa umoja wetu tu-share baraka hizi kwa kuchangia miamia zetu kwenye miamala na tozo nyinginezo zilizopitishwa na bunge ili kuifanya Tanzania kuwa nchi salama kwa yeyote kuishi iwe ni kijijini au mjini,


...tuendelee kumwombea Mama kazi anaipiga ...
Tozo sawa lakini Kamati nzima ya Mkutano mkuu wa ccm ndio unaenda kula bata Zambia kwa pesa hizi hizi za tozo?
 
Sasa hizi ni akili za Mtu kweli?.

Kama shughuli zimeathirika na mapato kupungua Wananchi ndio wameongeza kipato?.

Kwa hiyo kwako Wananchi wameneemeka na athari za corona?.

Serikali saidieni Wananchi katika kipindi hiki kigumu na sio kuwaongezea ugumu wa maisha kwa tozo zisizo na maana.
 
Back
Top Bottom