misha nyangassa
Member
- Mar 29, 2015
- 95
- 41
I need to know everything about this car
Nimewahi sikia kwamba zinakuwaga na matatizo ya gear box, hivi linaukweli? NawakilishaVits gari nzuri sana kwanza ni economy sana katika mafuta pili ni gari ambayo kimtazamo ni ndogo sana lakin ndani inakijinafasi kizuri tu na hata maintanace yakd si garama kubwa vilevile haina shida ya parking miji mikubwa kokote unaichomeka tu na kama una vits ipige rim sports size 14 inyanyue kidogo kwa nyuma weka spesor za nchi moja au moja kasoro mbele weka nusu inch kikweli inatulia na unaenda kokote ijali katika servise tu gari moja nzuri sana
Inaweza kusukuma ngapi km per liter?Sizan huenda inatokana jinsi ulivoipata ulikotoka huko ndo kwenye matatizo minnimekaa nayo miaka minne sikuwah kubadili kitu ni kuingalia servise tu hadi naiuza bado nzima na ninaenda nayo kila mahala kwa sasa nimehamia kwenye ist nayo ipo vizuri sana maana mi binafsi napenda gari economy na hazina matatizo ya parking kiukweli
Kwa nn mzazi?Pia ununue na beseni ama dishi la kuioshea! Just kidding
Madongo ya nn sasa?Ukinunua Vitz inabidi uwe na kifua cha kupokea madongo hasa humu JF
Asante sana14 hadi km 16 kwa lita kutokana na utumiaji wako au ukanyagaji wako
Unatumia ya cc ngapi?Mimi natumia vitz , gari inashukrani sana, haikupi pressure katika ulaji wa mafuta, na ni vvt-i engine, nunua vits ila iwe haijatumika sana, uta enjoy
Humu JF watu wana tabia ya kuponda magari madogoKwa nn mzazi?
Wana matatizo ktk ubongoHumu JF watu wana tabia ya kuponda magari madogo
Ila kwa hapa town vitz ni gari nzuri sanaWanaponda na unaweza kuta wao wanamiliki pikipiki huoniao au wanamiliki baiskeli chopa kujidai wanafanyia mazoezi au wanajidai wamenunua pikipiki kukwepa folen dar kumbe ndo usafir wao