Toyota urban cruiser na Toyota IST new model... ni models tofauti?

Kaveli

JF-Expert Member
Dec 4, 2012
5,102
8,088
Wasalaam wanajukwaa.

Hizi gari (Toyota Urban Cruiser na Toyota IST new model ya kuanzia mwaka 2008), naona kama zinafanana sana kuanzia muundo na interior, ila cha ajabu hiyo Urban Cruiser ina bei ya juu zaidi karibia mara mbili ya bei ya hiyo nyingine.

Na kwa hizi kampuni za kuagiza magari hapa Tanzania (Bforward Tz au SBT Tz), hiyo Toyota Urban Cruiser haipatikani !

Je, hizi gari ni models tofauti?

Toyota Urban Cruiser:
Toyota-Urban_Cruiser-2009-1600-21.jpg

images.jpeg


Toyota IST:
53941_5.jpg

images (3).jpeg


-Kaveli
 
Wasalaam wanajukwaa.

Hizi gari (Toyota Urban Cruiser na Toyota IST new model ya kuanzia mwaka 2008), naona kama zinafanana sana kuanzia muundo na interior, ila cha ajabu hiyo Urban Cruiser ina bei ya juu zaidi karibia mara mbili ya bei ya hiyo nyingine.

Na kwa hizi kampuni za kuagiza magari hapa Tanzania (Bforward Tz au SBT Tz), hiyo Toyota Urban Cruiser haipatikani !

Je, hizi gari ni models tofauti?

-Kaveli-

Nijuavyo mimi hiyo IST new model ndo watu huziita urban cruiser sijajua kama model maalum inaitwa hivyo officially!
 
Nijuavyo mimi hiyo IST new model ndo watu huziita urban cruiser sijajua kama model maalum inaitwa hivyo officially!

Kuna Toyota IST, na nyingine imeandikwa Toyota Urban Cruiser. Kinachonichanganya ni mfanano wa zenyewe lakini majina tofauti na bei tofauti sana.

-Kaveli-
 
Mkuu, tayari nishaweka picha kwenye bandiko. Tizama. Zinafanana mnooo.

-Kaveli-
Mkuu wala usipate shida, gari ni hiyo hiyo ila inaweza kuwa na modifications kdg.

Ni kawaida kwa gari za kijapan kuwa na model yake katika gari za ulaya.
Kuhusu bei, kwa kuwa gari za ulaya zinakuwa na standard zake tofauti kdg hivyo na bei ni kubwa.
 
Ni kama kuuliza tofauti kati ya Marijuana, Cannabis na Bangi zote ni kitu kimoja ila jina ndio tofauti kutokana na wapi inatumika...Toyota urban cruiser ni jina linalotumika kwa toleo linalouzwa Ulaya, IST hutumika kwa toleo linalouzwa Japan.
 
Mkuu wala usipate shida, gari ni hiyo hiyo ila inaweza kuwa na modifications kdg.

Ni kawaida kwa gari za kijapan kuwa na model yake katika gari za ulaya.
Kuhusu bei, kwa kuwa gari za ulaya zinakuwa na standard zake tofauti kdg hivyo na bei ni kubwa.

Thanks mkuu. So mtu akinunua hiyo version ya soko la ulaya ila akaileta kuitumia huku Africa, yaweza msumbua kwenye maintenance?

-Kaveli-
 
Thanks mkuu. So mtu akinunua hiyo version ya soko la ulaya ila akaileta kuitumia huku Africa, yaweza msumbua kwenye maintenance?

-Kaveli-

Spea pia huwa zinaingiliana sana unless otherwise.

Kumbuka hata spea zetu ukienda kununua mafundi/wauzaji wanakwambia wape spea uliyotoa ktk gari so akilingisha anaona ni sawa.
 
Ni kama kuuliza tofauti kati ya Marijuana, Cannabis na Bangi zote ni kitu kimoja ila jina ndio tofauti kutokana na wapi inatumika...Toyota urban cruiser ni jina linalotumika kwa toleo linalouzwa Ulaya, IST hutumika kwa toleo linalouzwa Japan.

Nimekusoma vyema sana mkuu. Thanks. Na je mtu akinunua hilo toleo linalouzwa Ulaya na akaileta bongo, nini yaweza kuwa shida kwenye maintenance? Hilo toleo la ulaya naona wana manual transmission pia. Ila hili toleo la Japan (IST) ni Automatic tu!!

-Kaveli-
 
Mkuu wala usipate shida, gari ni hiyo hiyo ila inaweza kuwa na modifications kdg.

Ni kawaida kwa gari za kijapan kuwa na model yake katika gari za ulaya.
Kuhusu bei, kwa kuwa gari za ulaya zinakuwa na standard zake tofauti kdg hivyo na bei ni kubwa.

Shida utapata kwenye spea chache ambazo mjapan kafanya ujanja wake otherwise hiyo gari ukiileta Tanzania inakuwa "Ist"
 
Mkuu gari ni ile ile. Ndo yale yale tuliyaongelea katika uzi fulani hapa kuhusu Toyota=Lexus, Honda=Acura , Nissan=Infinity ni majina ya biashara kati ya Japan(Africa) na Europe/America huwa zinakua na modification ndogo sana na bei juu
 
Mkuu gari ni ile ile. Ndo yale yale tuliyaongelea katika uzi fulani hapa kuhusu Toyota=Lexus, Honda=Acura , Nissan=Infinity ni majina ya biashara kati ya Japan(Africa) na Europe/America huwa zinakua na modification ndogo sana na bei juu

Thanks a lot kwa hizo info mkuu.

Nimeipenda sana hiyo version ya Ulaya... Ina Manual transmission with on-demand 4WD. Afu pia speed yake ni 220. Engine capacity ni very economy (CC 1329+). Inshu ni bei yake ipo juu. Hivi hii ukiileta bongo inaweza sumbua kwenye spea?

-Kaveli-
 
Thanks a lot kwa hizo info mkuu.

Nimeipenda sana hiyo version ya Ulaya... Ina Manual transmission with on-demand 4WD. Afu pia speed yake ni 220. Engine capacity ni very economy (CC 1329+). Inshu ni bei yake ipo juu. Hivi hii ukiileta bongo inaweza sumbua kwenye spea?

-Kaveli-
Hakuna shida mkuu. As long as ni Toyota bongo sio shida. Kwasasa naona hata Nissan na Subarus zimeshajaa halunaga shida ya spea tena. Yale mambo ya kupaki mwezi mmoja tuagize Kenya/Dubai hayapo
 
Hakuna shida mkuu. As long as ni Toyota bongo sio shida. Kwasasa naona hata Nissan na Subarus zimeshajaa halunaga shida ya spea tena. Yale mambo ya kupaki mwezi mmoja tuagize Kenya/Dubai hayapo

Poa mkuu. Pamoja

-Kaveli-
 
Thanks a lot kwa hizo info mkuu.

Nimeipenda sana hiyo version ya Ulaya... Ina Manual transmission with on-demand 4WD. Afu pia speed yake ni 220. Engine capacity ni very economy (CC 1329+). Inshu ni bei yake ipo juu. Hivi hii ukiileta bongo inaweza sumbua kwenye spea?

-Kaveli-
how much cost yake mkuu? hio toyota cruiser?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gari ni hio hio ila ulaya inaitwa Toyota Urban Cruiser huku japani ikiitwa Toyota IST
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom