Toyota Tanzania

changman

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
229
90
Jamani habari zenu. Ningependa kujua, kwa anayejua, bei za magari yafuatayo pale toyota dar es salaam: Toyota landcruise VX V8, GX V8 na Prado zote za model ya 2011. Mi niko nje ya nchi so sijui bei zake manaake nataka kununua gari hivi karibuni. Napenda kuhamasisha watanzania tununue magari mapya nasi tuwe poa sio kununua used cars kila wakati. Kwa anayejua tafadhali.

Asante
 
Mkuu mie na wenzangu tunajua bei ya used tu hayo mapya tumewaachia serikali na moibei yao mara milioni 300, milioni 700 kazi kuchakachua kodi zetu. Pambaf
 
Jamani habari zenu. Ningependa kujua, kwa anayejua, bei za magari yafuatayo pale toyota dar es salaam: Toyota landcruise VX V8, GX V8 na Prado zote za model ya 2011. Mi niko nje ya nchi so sijui bei zake manaake nataka kununua gari hivi karibuni. Napenda kuhamasisha watanzania tununue magari mapya nasi tuwe poa sio kununua used cars kila wakati. Kwa anayejua tafadhali.

Asante

Mkuu this is ridiculous.

Unajua kipato Cha Mtanzania wa kawaida?

Unajua Bei ya gari mpya kweli wewe?

Wewe umetaka tu Kuleta ujumbe kuwa watanzania tununue magari mapya, Sidhani kwamba unataka tukupe Bei.

Kwani huwezi google Toyota Tanzania.

Makabila mengine taabu tupu
 
Mkuu this is ridiculous.

Unajua kipato Cha Mtanzania wa kawaida?

Unajua Bei ya gari mpya kweli wewe?

Wewe umetaka tu Kuleta ujumbe kuwa watanzania tununue magari mapya, Sidhani kwamba unataka tukupe Bei.

Kwani huwezi google Toyota Tanzania.

Makabila mengine taabu tupu

Babu ondoa hiyo negativity kichwani mwako. Hilo ndo tatizo lako inferiority complex imekukamata. Huamini kwamba hata wewe ipo siku ukijituma unaweza kununua gari mpya. BTW Toyota Tanzania website hawajaweka bei. Napohamasisha watu kununua magarimapya maana yangu ni kwamba WENYE UWEZO na hata ambao hawana uwezo wakifanya kazi kwa BIDII na KUJITUMA wanaweza kufanya hivyo. Na sio kwamba naulizia tu bei, ni kwamba nataka kununua gari jipya.
 
Kwa nini usiweke order Japan mojakwa moja kuliko kununua Toyota Tz? Ukiweka order Tz unaweza kuchukua mwaka bila kupata gari
 
Mkuu hilo swala lako linaleta kigugumizi kwa wachangiaji wengi ni kwa kuwa financial system zetu hazifanyi kazi. hata kwa nchi zilizoendelea si kawaida kukuta mtu anatembea na gunia la pesa au kuwa na pesa taslim kununua gari. Hayo mambo yooote yanafanyika kupitia benki, wewe kazi yako kuwalipa hata kwa zaidi ya miaka 5 kulingana na kipato chako na tamaa zako. Ndo maana kumkuta meneja anamiliki Mercedese E class na mhudumu kuwa nyo siyo kitendo kigeni. Hapa bongo ukizungumzuza kununua gari maana yake tunazungumzia kuwa nacash ndo maana hata kutembelea Toyota ni kazi ngumu ndo maana tunaishia mitaa ya Lumumba ambako tunaweza. 30 milioni na kushuka chini
 
Jamani habari zenu. Ningependa kujua, kwa anayejua, bei za magari yafuatayo pale toyota dar es salaam: Toyota landcruise VX V8, GX V8 na Prado zote za model ya 2011. Mi niko nje ya nchi so sijui bei zake manaake nataka kununua gari hivi karibuni. Napenda kuhamasisha watanzania tununue magari mapya nasi tuwe poa sio kununua used cars kila wakati. Kwa anayejua tafadhali.

Asante

Mkuu wapigie namba zao hizi:

[h=1]Toyota Tanzania Ltd.[/h]NO.5 NYERERE ROAD
P.O.BOX 9060
DAR ES SALAAM, TANZANIA
TEL:(255) 22 2866353-8, 2866815-9
FAX:(255) 22 2866814, 2112987


[h=1]Contact List[/h]
 
Jamani habari zenu. Ningependa kujua, kwa anayejua, bei za magari yafuatayo pale toyota dar es salaam: Toyota landcruise VX V8, GX V8 na Prado zote za model ya 2011. Mi niko nje ya nchi so sijui bei zake manaake nataka kununua gari hivi karibuni. Napenda kuhamasisha watanzania tununue magari mapya nasi tuwe poa sio kununua used cars kila wakati. Kwa anayejua tafadhali.

Asante

Are you for real?? Hivi unafikiri watu wanapenda kununua magari mtumba? Just because upo "nje ya nchi" na kazi yako unoyoifanya haimanishi waTanzania wote wana uwezo huo. Ulipokuwa nyumbani Tanzania uliwahi nunua gari mpya? Hebu acha madharau yako!!
 
Are you for real?? Hivi unafikiri watu wanapenda kununua magari mtumba? Just because upo "nje ya nchi" na kazi yako unoyoifanya haimanishi waTanzania wote wana uwezo huo. Ulipokuwa nyumbani Tanzania uliwahi nunua gari mpya? Hebu acha madharau yako!!

Lol! watu wengine bwana sasa dharau ziko wapi hapo!!! Kuhamasisha watu wajitume na kusave hela na kununua magari mapya ni kuwadharau watu!!!!!!!!!! Kweli bongo tuna njia ndefu sana ya kufikia maendeleo!
 
Jamaniee apewe bei kama kuna mtu anajua ishu ni kwamba mwenye uwezo atanunua ,ishu hapa ni kusaidiana so it doesn't make any sense for you guys to keep on blaming Mr. Changman kwa ku seek information.
 
Mkuu wapigie namba zao hizi:

[h=1]Toyota Tanzania Ltd.[/h]NO.5 NYERERE ROAD
P.O.BOX 9060
DAR ES SALAAM, TANZANIA
TEL:(255) 22 2866353-8, 2866815-9
FAX:(255) 22 2866814, 2112987


[h=1]Contact List[/h]

na akishajibiwa ajakutujuza sio ale kona..
 
Hapo kwenye red ndo umeharibu mkuu,mbona na wewe upo nje unaendeleza nchi ya watu na hamna mtu aliyekwambia..Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake,gari used kutoka japani ya mwaka 2003 ni nzuri kuliko gari ya 2010 ilionunuliwa tanzania(For the same brand)

Jamani habari zenu. Ningependa kujua, kwa anayejua, bei za magari yafuatayo pale toyota dar es salaam: Toyota landcruise VX V8, GX V8 na Prado zote za model ya 2011. Mi niko nje ya nchi so sijui bei zake manaake nataka kununua gari hivi karibuni. Napenda kuhamasisha watanzania tununue magari mapya nasi tuwe poa sio kununua used cars kila wakati. Kwa anayejua tafadhali.

Asante
 
Jamani habari zenu. Ningependa kujua, kwa anayejua, bei za magari yafuatayo pale toyota dar es salaam: Toyota landcruise VX V8, GX V8 na Prado zote za model ya 2011. Mi niko nje ya nchi so sijui bei zake manaake nataka kununua gari hivi karibuni. Napenda kuhamasisha watanzania tununue magari mapya nasi tuwe poa sio kununua used cars kila wakati. Kwa anayejua tafadhali.

Asante
well spoken, kujipanga ujipange haswa !!! Toyota VX V8 200, bila kodi ndani ya nailoni 175 mil Tsh, Prado TX ya kawaida bila manjonjo 135 mil Tsh, Prado Tx (executive) 147 mil. hapo bila kodi zote hizo. sasa ukiinclude na kodi sasa ni habari nyingine, unless otherwise you are about to purchase kwa ajili ya matumizi ambayo yana msamaha wa baadhi ya kodi.
 
Babu ondoa hiyo negativity kichwani mwako. Hilo ndo tatizo lako inferiority complex imekukamata. Huamini kwamba hata wewe ipo siku ukijituma unaweza kununua gari mpya. BTW Toyota Tanzania website hawajaweka bei. Napohamasisha watu kununua magarimapya maana yangu ni kwamba WENYE UWEZO na hata ambao hawana uwezo wakifanya kazi kwa BIDII na KUJITUMA wanaweza kufanya hivyo. Na sio kwamba naulizia tu bei, ni kwamba nataka kununua gari jipya.
Rizwan sikia Hiyo Mifano yako imekaa kimagamba gamba (Msukule) umetumwa wewe!

Watu wasio na uwezo wapo wengi sana tanzania hii hata Kikwete haelewi kwanini, wewe upo nje unataka watu wafanye kazi kwa bidii zipi?
kazi za Tz kuanzia saa kumi na mbili Mornie hadi giza lianze kuingia kipato ni chini ya dola moja sasa kununua gari mpya tujuavyo si chini ya 20,000 usd labda Tata ile ndogo india wanauza 2500 usd ikifika bongo ni 5000 hadi sita hicho kipato cha chini ya dola moja akikusanye kwa muda wa miaka mingapi aache kula ili anunue gari mpya ? dah sipati picha Watanzania 75% Ni Misukule Nimeamini...

Pesa zinawawasha wakopesheni hao wasio na uwezo wanunue gari Mpya!
 
Pesa za bongo ujipange mh! utakuwa mwizi tu wewe Nyerere aliwatamani sana watu kama hawa ajue wanapata vipi pesa
 
Jamani habari zenu. Ningependa kujua, kwa anayejua, bei za magari yafuatayo pale toyota dar es salaam: Toyota landcruise VX V8, GX V8 na Prado zote za model ya 2011. Mi niko nje ya nchi so sijui bei zake manaake nataka kununua gari hivi karibuni. Napenda kuhamasisha watanzania tununue magari mapya nasi tuwe poa sio kununua used cars kila wakati. Kwa anayejua tafadhali.

Asante

Huyu nadhani anafanya utani au kuna kitu anataka kukichokonoa, inawezekanaje uzungumzie Toyota Dar-Es-Salaam ( nadhani alitaka kuzungumzia International Motor Mart) ambao ni dealers wa TOYOTA Tanzania, swali ni kwa nini asiwaulize moja kwa moja kama yuko serious, au akatembelea website yao, nani kakwambia kwamba kila mtu aliye nje ya Tanzania ana uwezo wa kununua gari jipya, hata wenyeji wa huko ni wachache wenye uwezo wa kununua magari mapya, au unataka kutueleza kwamba huko hakuna watu maskini, watu wa daraja la kati na wachache matajiri wa kupindukia. Sijuhi kama wa Tanzania wanahitaji somo katika ununuzi wa magari, kila mtu atakula pale mkono wake unapofikia na hili si kwa wa Tanzania peke yake bali dunia nzima. Kama wewe ni muhuza magari I think your suggestion is unhelpful na actually maoni yako yako- laced kwa mbali na trait ya ku-patronize binadamu wenzio, hii haifahi hata kidogo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom