Habariwakuu naomba kuuliza naweza kuagiza Toyota raum ya 2005 toka Japan mpaka kufika hapa bongo Na kuitoa bandarini kwa Tsh 12Mil.
Mkuu na mimi nahitaji passo inagharimu hela ngapi??Habari
Yes, kwangu inawezekana.
Nimekupm mkuuMkuu na mimi nahitaji passo inagharimu hela ngapi??
Kaka, Passo bei yake inakwenda kulingana na mwaka wa gari.Mkuu na mimi nahitaji passo inagharimu hela ngapi??