Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Leo asubuhi nimeshuhudia kitenda kisicho cha kiungwana kabisa kilchofanywa na dereva wa gari aina ya Toyota Prado (old model mayai) Rangi dark blue au nyeusi , yenye maadishi PRADO ubavuni.
Gari hili lilikuwa linatanua kwa kuovateki foleni ndefu sana sehemu za Kawe karibu na roundabout.
Polisi aliyekuwepo zamu akakaa mbele kumzuia kwa tabia hii inayokera madereva wengine watiifu.Bila kujali huyu jamaa wa Prado hakupunguza mwendo na kama si kijana yule wa Polisi Traffic kuruka pembeni angemgonga na kumuua.
Hata hivyoalimgonga kiganja na gari kukwapua ile clip file yake iliyoangukia karibu mita 40 mbele.
Yule Polisi akajinyanyua na kujifuta na kuendelea na kazi.
Hiyo gari mimi nilikuwa nyuma yake magari karibu matano nyuma na kufanikiwa kusoma tu namba za mwisho.
Gari likapiata Mlalakuwa, Mikocheni,Cocacola Rd hadi Mwenge.
Pamoja na kutaka kuwahi, tabia hii ya kutojali amri, kutojali maisha ya mtu aliyekazini imenisikitisha, na hii ni licha ya kuwa huyu dereva alikuwa ana makosa.
Ni tabia ya kukera sana.
Gari hili lilikuwa linatanua kwa kuovateki foleni ndefu sana sehemu za Kawe karibu na roundabout.
Polisi aliyekuwepo zamu akakaa mbele kumzuia kwa tabia hii inayokera madereva wengine watiifu.Bila kujali huyu jamaa wa Prado hakupunguza mwendo na kama si kijana yule wa Polisi Traffic kuruka pembeni angemgonga na kumuua.
Hata hivyoalimgonga kiganja na gari kukwapua ile clip file yake iliyoangukia karibu mita 40 mbele.
Yule Polisi akajinyanyua na kujifuta na kuendelea na kazi.
Hiyo gari mimi nilikuwa nyuma yake magari karibu matano nyuma na kufanikiwa kusoma tu namba za mwisho.
Gari likapiata Mlalakuwa, Mikocheni,Cocacola Rd hadi Mwenge.
Pamoja na kutaka kuwahi, tabia hii ya kutojali amri, kutojali maisha ya mtu aliyekazini imenisikitisha, na hii ni licha ya kuwa huyu dereva alikuwa ana makosa.
Ni tabia ya kukera sana.