Toyota landcruser Pickup ina nini mpaka iwe bei kubwa?

Nilikuwa naangalia bei ya hizi gari nikakuta milango 2 ni Mil 55, 67, 80 na nyingine Milango 4 nimeikuta Mil 110.

Ina nini hii gari kinachofanya iwe na gharama?
1. Gharama Nafuu

Toyota iliyotumika kidogo Japan ni gharama nafuu zaidi ya Ford kutoka marekani (au hata nchini). Pia, serikali ya Tanzania inawaruhusu wauzaji wenyeji kuingiza magari haya kwa gharama za chini zaidi. Kwa, bei yake ya kununua nayo ni chini kulingana na magari mengine.

2. Hazitumii mafuta mengi

Magari madogo ya Toyota yanajulikana kwa kutotumia mafuta mengi. Hata magari yao makubwa mengine (Prado kwa mfano), hayatumii mafuta mengi kukizilinganisha na magari makubwa ya makampuni mengine. Kwa mji kama Dar es Salaam yeneye foleni nying, hii ni muhimu.

3. Upatikanaji wa spea

Kwa kuwa Toyota ni maarufu sana, spea zake zinapatikana kiurahisi zaidi pia, ambayo inapunguza gharama ya utunzaji.

4. Zina wataalam wengi

Kwa kurudia, Toyota ni maarufu sana Tanzania na hivyo, fundi wengi wa magari wana ujuzi wa magari ya Toyota.

Mtu mwenye gari la Volkswagen Polo, kwa mfano, atapata shida sana kutafuta fundi mzuri na pia, matengenezo yatakuwa ya gharama kubwa zaidi.

5. Kuna aina ya gari kwa wote

Swala la kuchagua gari la kununua ikijitokeza, watu wengi wanafikiria aina za Toyota na sio aina za magari. Toyota ina aina nyingi za magari zinazokidhi mahitaji ya watu mbalimbali. Kwa kifupi, mtu yoyote anaweza akaendesha Toyota.

Labda sisi ndio wenye mchango mkubwa nchini kwa umaarufu wa Toyota

Ukweli ni kwamba watanzania wana amua kununua gari kutokana na mapendekezo ya family au marafiki. Kwa kweli, kwa kuwa Toyota ni maarufu kuliko wengine ni rahisi sana kutafuta gari ya kampuni hiyo tu. Ila, kuna faida ya kuangalia magari ya makampuni mengine pia.
 
Achana na hii kitu mzee...
images.jpg
 
View attachment 991153
Hawa Jamaa nawaheshimu sana, hawajawahi kuniangusha.
Hyo land cruiser nmeitumia sana pori
Kuna mzee mmja moro mtu wa migodi alikuwa nayo nlikuwa namuazima
Unaona hpo naitafuta mgeta.....wanakijiji wanaishangaaa nyuma tuko full Max nondo.
Mwenye Gari alikujaga iuzaa mpaka leo hajaipata


Ova
20190110_174209.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom