Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ujue hiz zimeingia hapa nchin bila kodi,DFP kwa TZS 39,500,000 ($ 25,320) kabla au baada ya kodi ? Fafanua mkuu
Nakubaliana na wewe na hii model kuiuza kwa bei hiyo nadhani ni wezi tu wana weza kuinunuamkuu ujue hiz zimeingia hapa nchin bila kodi,
nafikir ukinunua utalazimika kulipa kod mna mengineyo as if ndo unaliagiza japan leo
Hiyo ilikuwa inafanya kazi Dar es Salaam na Tanga tu. Bado iko nzuri kama unavyoiona by default
Again, only serious buyers, PM me
Wakuu hii gari ilikuwa TZT... ikawa inatumiwa na WHO kwa miradi yake...ndio maana ikawa ina hizo DFP maana kulitoka sheria kuwa ni lazima gari zote za miradi ziwe DFP... kwahiyo mtu akiinunua anabadili from DFP to T....XXX tu. Ilishalipiwa kodi kabla.
KWa hiyo ilikuwa gari ya kawaida kabisa iliyonunuliwa kwa taratibu zote na kodi zote zililipwa.
Nafikiri Mabreka, Ginner na Newvision nimetoa ufafanuzi.
Pia hiyo ni sstarting price..
Serious buyers just PM me
Kitu kingine cha kushangazsa ni kuwa international instutition like WHO kuuza gari lake kwa kutangaza namna hii JF? Gari la WHO linatangazwa kuuzwa na individual? Haiingii akilini kirahisiI can bet on my mothers pension you will never sell the car with that price tag......... na huwezi kuwa na gari yenye namba za DFP na ikawa imelipiwa kodi........hiyo gari haijalipiwa kodi kwa hiyo mnunuzi aandae 10m nyingine ya kodi
ni vizuri ukamuuliza muuzaji baada ya kukaa humu na kuanza kupiga majungu what about kama yeye kanunua from 'who' then analiuza, hayo masuala ya kodi mara nyingi huwa makubaliano ya muuzaji na mnunuzi,kitu kingine cha kushangazsa ni kuwa international instutition like who kuuza gari lake kwa kutangaza namna hii jf? Gari la who linatangazwa kuuzwa na individual? Haiingii akilini kirahisi