Toyota Land Cruiser 300 Series iko tayari kwa ajili ya kuendelea kuadabishana mjini

Aise nimetoka huko youtube, huyu mnyama mpya japo nimekuwa dissapointed kushusha engine size ya v6 ya 3.5 lakini ina mambo mazuri mengi ukiachana na bodi la kiduwanzi ambalo naamini tumepigwa kwa huo muonekano wa box...
Ile facelift ni kiboko aisee gari haichoshi machoni mzee 😅😅😅 hasa ikiwa nyeusi na iwe na kile kisaiti mirror cha usawa wa taa kwenye kona ya fender la upande kushoto inanoga sana japo sielewi kina kazi gani ila kinanogesha sana muonekano wa Land Cruiser 200
 
Mnavyosema umeme mwingi mnamaanisha nini?
Ni gari ambazo ni hybrid yaani injini yake ni conventional yaani ina motor ya umeme inayosukumwa na hybrid battery ili kusaidia iwe na ulaji mdogo wa mafuta as they tend to use the engine for accelerating, climbing hills au pale nguvu ya ziada inapohitajika, huyo jamaa anayeiongelea hio volvo x90 kwa vyovyote ina mfumo huo haiwezi kuzalisha hp kubwa hivyo kwa cc 2000 kwa ukubwa wa hilo body.

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
 
Wale washenz gari wanafanyaga pre-order kiwandani yani kabla ya official release wao washapelekewa hawanaga muda wa kusubiri
Kabisa mkuu. Ndio maana hizi 300 series nyingi zilizoonekana ni left hand na karibia 90% zina elekea uarabuni.

Sisi zetu pengine ndio zinatengenzwa na zitakuja kuanzia mwakani
 
Kabisa mkuu. Ndio maana hizi 300 series nyingi zilizoonekana ni left hand na karibia 90% zina elekea uarabuni.

Sisi zetu pengine ndio zinatengenzwa na zitakuja kuanzia mwakani
Eeh man zetu bado bado
 
Hatimae mfalme wa 4*4 imara kutoka Japan amekuja kivingine ikiwa ni toleo jipya na muendelezo wa 200 series,,, hi ya sasa ni completely re-design iitwayo 300 Series!

Wasifu wake:

Imeboreshwa kwa kupewa engine ya V6 Twin Turbo yenye uwezo wa kuzalisha 400HP tofauti na ile V8 kubwa ya 5.7L iliokuwa inazalisha 381HP! Hii ni ili kuongeza ufanisi yani fuel efficiency na ku maximize power!

Driving assistance package kama lane departure! Camera ya 360 sorround na mazaga zaga mengine!

Interior redesign kwenye upande wa infotainment napo wamefanya modifications!

Some pictures

Production ya Prado za LC300 inategemewa kuanza 2023 na yenyewe itakuwa ya moto sana kuzidi kaka yake LC 150


Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 

1.2023-Toyota-LandCruiser-Prado-1001-565.jpg


Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Aise nimetoka huko youtube, huyu mnyama mpya japo nimekuwa dissapointed kushusha engine size ya v6 ya 3.5 lakini ina mambo mazuri mengi ukiachana na bodi la kiduwanzi ambalo naamini tumepigwa kwa huo muonekano wa box.

Hii ya sasa horse power 400 sio haba pia ni jepesi kwa almost kilo 200 ya ile ya zamani, kwa hiyo tutegemee litakuwa fasta 0-100kph.

Automatic transmission itakuwa na gia 10 aise. Kwa hapa naona itakuwa smooth na lazma mafuta itakuwa kama inanusa kiasi chake

Yote tisa, kumi ni kwamba bado 200 series ni mashine tamu sana hasa ile facelift ya 2016, designer anywe soda ntalipia.
Nasikia hata bei itakuwa juu kwa Usd 30,000-40,000/- kutokana na technology aliyoweka Toyota kwenye toleo la LC300

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom