Zakamwamoba
Senior Member
- Jul 28, 2016
- 177
- 609
Guys kwema?, Aisee nimejiokoteza okoteza kwa miaka kadhaa mwaka huu naona mambo yamekaa sawa kimtindo, Sasa Nataka kausafiri ka kuendea kwenye mishemishe. Nahitaji Ushauri kati ya IST na SPACIO ipi ni mzuri tukiangalia ulaji, wa mafuta, uimara na Muonekano .
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.