Toyota hizi...!

Si kwamba nazikandia hizi gari za kijapan la hasha. Nimewahi kuzimiliki Chaser mayai na balloon GX90. Kila moja imevuma kwa nyakati zake. Zikisifika kwa wepesi mwendo (kuchanganya haraka) kiyoyozi kama Greece land. Zimepita model nyingi.

Tunamalizia enzi za Harrier TAKO LA NYANI zimechuja haraka baada ya nyingi kupiga chini.

TOYOTA crown bado iko juu lakini nayo inaendelea kuchinja watu. Simlaumu mjapani katengeneza kwa matumizi yake na taratibu zake. Huku hatuzingatii hili kabisa

Mwisho tunaishia kulaumu na kusema TOYOTA hizi lakini pamoja na kuwa na viwango vidogo vya usalama kulinganisha na gari za ulaya bado tatizo ni letu sisi wenyewe.

ELIMU JUU YA VYOMBO VYA MOTO hasa gari nyepesi za kijapani tumepoteza damu changa nyingine Kabuku. Damu ya Rchunga... Rip View attachment 1105974View attachment 1105975View attachment 1105976

unalo sema kweli kaka,mfano huku south africa gari hizi hazitakiwi kabisa toyota za kijapan,wanagari zao ambazo ni sawa zengine zina fanana lakini ukiliona unasema hili gari mfano VITS inaitwa YARIS,unajua ile vits new model ilifanya vibaya lakini iliyopo huku ukiiona unaweza kusema IST jinsi ilivo ngumu.
kiufupi tu ajali zipo sema barabara sio salama na vyombo vyetu.kwa nchi yetu
 
Je speed kubwa na kuto kuwa makini barabarani kwa gari ya mjerumani huwezi kupata ajari??

Funguka zaidi tuweze kujifunza kuhusu hizi gari za mjerumani cc: Mshana Jr
Speed kubwa bila kujali hali/usalama wa barabara ajali zipo pale mkuu.

Sana sana mimi nimemaanisha kwenye stability ya gari ikiwa kwenye mwendo lakini pia body la gari kidogo ni gumu hivyo kuna chance kiasi ya survival pindi ajali ikitokea. Maswali mengine ya kiutalaamu watatuambia wazoefu wa gari hizi kutoka west/Europe!
 
T
Si kwamba nazikandia hizi gari za kijapan la hasha. Nimewahi kuzimiliki Chaser mayai na balloon GX90. Kila moja imevuma kwa nyakati zake. Zikisifika kwa wepesi mwendo (kuchanganya haraka) kiyoyozi kama Greece land. Zimepita model nyingi.

Tunamalizia enzi za Harrier TAKO LA NYANI zimechuja haraka baada ya nyingi kupiga chini.

TOYOTA crown bado iko juu lakini nayo inaendelea kuchinja watu. Simlaumu mjapani katengeneza kwa matumizi yake na taratibu zake. Huku hatuzingatii hili kabisa

Mwisho tunaishia kulaumu na kusema TOYOTA hizi lakini pamoja na kuwa na viwango vidogo vya usalama kulinganisha na gari za ulaya bado tatizo ni letu sisi wenyewe.

ELIMU JUU YA VYOMBO VYA MOTO hasa gari nyepesi za kijapani tumepoteza damu changa nyingine Kabuku. Damu ya Rchunga... Rip View attachment 1105974View attachment 1105975View attachment 1105976
Tatizo mzee wangu mshana halipo kwenye gari Bali lipo kwa watumizi wa magari (Madereva) hivi kwani ukiendesha gari kwa umakini wa hali ya juu kabisa unapokuwa njiani na kuendesha kwa "speed" ya kistarabu unahisi yatatokea hayo, ila pia tukumbuke kuwa Kila mtu amepangiwa na MwenyeziMungu yakuwa vipi ataondoka (kufa) katika hii dunia, na wapi roho yake itatoka na wakati gani. Jambo lamuhimu ni kuzingatia utaratibu mzuri wa kuendesha magari na Sheria za Barabarani.
 
tatizo vijana wakishamilikia haya magari wanakua jeuri wanataka waonekane machampioni wa speed 120 kwenye kona shaaaaaa,mwisho USO kwa USO na roli la mchanga

R.I.P kijana dreva wa crown athlete
 
Apumzike kwa amani.
Gari linatabia kama za baiskeli ukishalizoea huoni cha kukutisha unajikuta umekuwa Expert suddenly matokeo yake ndio hayo.
Tuwe makini na haya madude kuna jamaa yetu mmoja aliizoea sana Toyota Land cruiser ya jeshi fulani hata akawa anafanya THE IMPOSSIBLE matokeo yake sasa hivi anajua aliko yeye mwenyewe.
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe 😥

Hivi bwana anatwaa kupitia ajali za kizembe?

Wakati mwingine ni mtu anajipeleka kwa bwana
 
Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki

Halafu ilitokea ajali kuna watu watasema bwana ametwaa, wakati mtu kajiua mwenyewe kizembe intentionally
 
Je speed kubwa na kuto kuwa makini barabarani kwa gari ya mjerumani huwezi kupata ajari??

Funguka zaidi tuweze kujifunza kuhusu hizi gari za mjerumani cc: Mshana Jr
Gari za kijapan zimetengenezwa simple sana hasa hizi salon... Unakuta gari uzito wake ni tani moja tu... Na haina reinforcement za uhakika.... Mjerumani kaunda kitu cha maana hasa... Unakuta gari ndogo uzito wake tani 3 imewekewa vyuma vya maana... Niliwahi kupinduka na moja darajani hii njia ya Msata, nikatua chini darajani kichwa chini mijuu guu lakini sikutoka hata na jeraha na gari haikuumia kivile... Ingekuwa Toyota leo hii ingekuwa nakula kipupwe akhera
 
Si kwamba nazikandia hizi gari za kijapan la hasha. Nimewahi kuzimiliki Chaser mayai na balloon GX90. Kila moja imevuma kwa nyakati zake. Zikisifika kwa wepesi mwendo (kuchanganya haraka) kiyoyozi kama Greece land. Zimepita model nyingi.

Tunamalizia enzi za Harrier TAKO LA NYANI zimechuja haraka baada ya nyingi kupiga chini.

TOYOTA crown bado iko juu lakini nayo inaendelea kuchinja watu. Simlaumu mjapani katengeneza kwa matumizi yake na taratibu zake. Huku hatuzingatii hili kabisa

Mwisho tunaishia kulaumu na kusema TOYOTA hizi lakini pamoja na kuwa na viwango vidogo vya usalama kulinganisha na gari za ulaya bado tatizo ni letu sisi wenyewe.

ELIMU JUU YA VYOMBO VYA MOTO hasa gari nyepesi za kijapani tumepoteza damu changa nyingine Kabuku. Damu ya Rchunga... Rip View attachment 1105974View attachment 1105975View attachment 1105976
Dah huyu jamaa namfahamu anaitwa shaibu Jumbe (facebook alikuwa akijiita shayb Jumbe) alikuwa fundi magari maeneo ya Sinza, kaoa hata mwezi ndoa haijamaliza, yote kwa yote tunavyoendesha vyombo vya moto tuzingatie sheria za barabarani na tukumbuke majukumu tuliyo nayo na tumuombe Mungu sana atulinde dhidi ya watumiaji wengine wa barabara
 
tatizo vijana wakishamilikia haya magari wanakua jeuri wanataka waonekane machampioni wa speed 120 kwenye kona shaaaaaa,mwisho USO kwa USO na roli la mchanga

R.I.P kijana dreva wa crown athlete
[5/23, 21:58] Thomas: Rafiki yangu huyu jamaa anaishi sinza,last week niliwasiliana naye tukakubaliana tuonane ni fundi mzuri sana wa magari,crown ni yake siku nyingi alikua safarini leo ndo akapata ajali
[5/23, 21:58] Thomas: Anaitwa Shaibu Jumbe

Nimeicopy WhatsApp nilikopata hizi picha
 
Back
Top Bottom