Hassan Loloo
Member
- Nov 25, 2013
- 35
- 17
TOYOTA HARRIER
Engine 5S, Cc 2160
Mwaka 2000
Rangi Black
Bei 16.5 million
Call/whatsapp 0672697409
Engine 5S, Cc 2160
Mwaka 2000
Rangi Black
Bei 16.5 million
Call/whatsapp 0672697409
Mwenzake ni IST,zinafanana kama matako!
Asante kwa kureply
sawa muzeeeeeeeeeeeTunafanya Biashara ya kuuza na kununua magari,mapya na yaliyotumika Tanzania. Pia tuna exchanged (kuvunja). Office ipo cnza kwa Remmy. Karibuni sanaView attachment 1438282View attachment 1438283
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ushamaliza biasharaHongera mkuu gari nzuri, ila kila nikiona xtrail damu inasisimka....hakuna gari ilinitesa kama hiyo...dalali George ulieniuzia ile gari Mungu akulaani, gari ile ilichangia sana kuniingiza kwenye lindi la umaskini...nilionywa sana kwamba xtrail ni mbovu sikusikia....kila la kheri mnunuzi.
Hongera mkuu gari nzuri, ila kila nikiona xtrail damu inasisimka....hakuna gari ilinitesa kama hiyo...dalali George ulieniuzia ile gari Mungu akulaani, gari ile ilichangia sana kuniingiza kwenye lindi la umaskini...nilionywa sana kwamba xtrail ni mbovu sikusikia....kila la kheri mnunuzi.
Hv haya Magari shida yake kubwa ni nn hasa? Mbona Watu wamekuwa wakiyalalamikia sana kulikoni?Hongera mkuu gari nzuri, ila kila nikiona xtrail damu inasisimka hakuna gari ilinitesa kama hiyo...dalali George ulieniuzia ile gari Mungu akulaani, gari ile ilichangia sana kuniingiza kwenye lindi la umaskini...nilionywa sana kwamba xtrail ni mbovu sikusikia....kila la kheri mnunuzi.