Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 4,894
- 12,363
Kuna nyingine inaitwa Toyota Tundra nayo ni ya kibabe sana inapambana na Ford F-150,Dodge Ram. Hizi Tundra na Tacoma zipo soko la America.Uwe unaweka na vipicha mkuu!
Haya ndo magari ya kuumeni.
Linaitwa toyota tacoma. Ukubwa wake, Linaizidi kwa mbali sana hilux ni off road lenye heshima zake!View attachment 1406893
Sent using Jamii Forums mobile app