Hii gari ni nzuri sana!!Wale wa wapenzi wa picha....View attachment 1403321
Tuna utofauti wa ladha.Ila Jeep Grand Cherokee SRT za kuanzia 2014 zimesimama hatari...unakua na mnyama kama huo pembeni na mtoto mkareeeee....bongo kama mamtoni vile
Mkuu naomba picha ya Toyoa HiluxHio ni Toyoa Hilux tu hamna jipya. Ni kama vile Ford Everest ni Ford Ranger tu iliozibwa nyuma vikawekwa viti vya ziada.
Fortuner ni hilux iliozibwa nyuma ikawekwa viti vya ziada.Mkuu naomba picha ya Toyoa Hilux
😂😂😂 (joke)
Hilux naifahamu...Fortuner ni hilux iliozibwa nyuma ikawekwa viti vya ziada.
NB: Hilux ni pick up truck
Kutoka hapa nilipo mpaka Ban-pho katikati mwa nchi ya Thailand ni kilometa 7191, Mbali kwelikweli.
Inaitwa Toyota Fortuner mid-size SUV mpango kazi wa kimarekani uliotekelezwa na Wajapan katikati ya viunga vya Ban-pho Thailand.
Akili inantuma kuamini kuwa Wajapani walitumia Mayakuza kuiba mbinu madhubuti za Mmarekani.Ukikutana na majasusi wa CIA huenda wakawa na siri niliyonayo mimi. Wapima vinasaba vya magari wanaweza wakawa na file lenye ukweli wa wapi ni asili ya Fortuner.
Ni bahati kufananishwa na Jeep Renegade, inatokea mara chache sana kufananishwa na Chevrolet Blazer. Awakukosea kuliita Fortuner wakimaanisha kitu chenye bahati.
Tegemea kukutana na Silver accents with wood like finish ukifungua macho yako mbele ya Fortuner. Hamna haja ya kuhubiri uwezo wa Fortuner. Ila andaa lita 80 za mafuta kujaza full tank gari hili.
Mimi bado naliita "The Godfather of the Road" ina nguruma kama simba mzee ikiwa Kwenye rami, ina engine ya diesel madhubuti CC 2982 na turbocharge kama ofa, kwanini iteseke sasa . Haitetemeki wala kuyumba hata ikiwa Kwenye speed ya 130Kmh. Ina sifa za kiasili za Kimarekani.
Kimo cha mjapan wa wastani ni futi 5 tu. Wao na Fortuner wapi na wapi. Maajabu ya Fortuner yanaelezwa mpaka Manhattan Newyork, Sitaki kukusimulia sana, maelezo utapewa pale Lumumba mtaa wenye madalali wakongwe, andaa peni na karatasi tu.
BRAVO! Toyota Fortuner Nabii wa Kijapan Aliyekubarika Dunia nzima. Ila bado najiuliza Fortuner kwenu ni wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
😂Toyota fortuner, pacha yake Ford Endevour... haya magari mawili nikiyaona moyo wangu unasema paaaah... kibongo bongo, tunasema, one day yes
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada trail blazer inaendana na prado hasa J120 na J150, fortuner ndugu yake ni everest XLT
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka hapa nilipo mpaka Ban-pho katikati mwa nchi ya Thailand ni kilometa 7191, Mbali kwelikweli.
Inaitwa Toyota Fortuner mid-size SUV mpango kazi wa kimarekani uliotekelezwa na Wajapan katikati ya viunga vya Ban-pho Thailand.
Akili inantuma kuamini kuwa Wajapani walitumia Mayakuza kuiba mbinu madhubuti za Mmarekani.Ukikutana na majasusi wa CIA huenda wakawa na siri niliyonayo mimi. Wapima vinasaba vya magari wanaweza wakawa na file lenye ukweli wa wapi ni asili ya Fortuner.
Ni bahati kufananishwa na Jeep Renegade, inatokea mara chache sana kufananishwa na Chevrolet Blazer. Awakukosea kuliita Fortuner wakimaanisha kitu chenye bahati.
Tegemea kukutana na Silver accents with wood like finish ukifungua macho yako mbele ya Fortuner. Hamna haja ya kuhubiri uwezo wa Fortuner. Ila andaa lita 80 za mafuta kujaza full tank gari hili.
Mimi bado naliita "The Godfather of the Road" ina nguruma kama simba mzee ikiwa Kwenye rami, ina engine ya diesel madhubuti CC 2982 na turbocharge kama ofa, kwanini iteseke sasa . Haitetemeki wala kuyumba hata ikiwa Kwenye speed ya 130Kmh. Ina sifa za kiasili za Kimarekani.
Kimo cha mjapan wa wastani ni futi 5 tu. Wao na Fortuner wapi na wapi. Maajabu ya Fortuner yanaelezwa mpaka Manhattan Newyork, Sitaki kukusimulia sana, maelezo utapewa pale Lumumba mtaa wenye madalali wakongwe, andaa peni na karatasi tu.
BRAVO! Toyota Fortuner Nabii wa Kijapan Aliyekubarika Dunia nzima. Ila bado najiuliza Fortuner kwenu ni wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni Fortuner?View attachment 1403352
Wale ambao hamjawai walau kukutana nayo, hii ndio fuchuma yenyewe, mjapani wa marekani aliyekulia urusi
Kama ilivyo toyota surf.Hio ni Toyota Hilux tu hamna jipya. Ni kama vile Ford Everest ni Ford Ranger tu iliozibwa nyuma vikawekwa viti vya ziada.
Upende na maintainance cost zake mkuu.Discovery 4 naipenda sana kwa mwonekano. Imekaa kiume zaidi.
Discovery 4 naipenda sana kwa mwonekano. Imekaa kiume zaidi.