Toyota Altezza Gita (Wagon) Thread: Karibuni tujuzane ubora na udhaifu wa gari hizi

Hio Chamazi hadi Mivumoni ni KM 49 nimeweka kuanzia Chamazi Catholic Church je hio ni kwenda na kurudi yani 49 km x 2 = 98km ndo mafuta hayo ya 30,000 au maana binafsi nataka nivute Forester XT Sh5 ya 2009 sema ndo itakua daily driving au maana nikicheki auto-data.net inaonesha city driving ni 8.1 km/l au hayo mafuta ya 30,000 ni ya kwenda tu?
Nafikiri ni kwenda na kurudi. Maana nategemea XT isishuke 6kpl, standard itakuwa hiyo 8.1kpl, japo kiuhalisia, ni mwendo wa 7 to 7.5kpl.
Ungepanda mpaka ya mwaka 2011 ndio iko poa zaidi. Japo bei zake ni juu kidogo.
 
Nafikiri ni kwenda na kurudi. Maana nategemea XT isishuke 6kpl, standard itakuwa hiyo 8.1kpl, japo kiuhalisia, ni mwendo wa 7 to 7.5kpl.
Ungepanda mpaka ya mwaka 2011 ndio iko poa zaidi. Japo bei zake ni juu kidogo.
Nafikiri ni kwenda na kurudi. Maana nategemea XT isishuke 6kpl, standard itakuwa hiyo 8.1kpl, japo kiuhalisia, ni mwendo wa 7 to 7.5kpl.
Ungepanda mpaka ya mwaka 2011 ndio iko poa zaidi. Japo bei zake ni juu kidogo.
Mkuu chamazi hadi huko tegeta ni mbali kwenda tu sio chini ya 45km kwaio kwenda na kurudi ni 90Km average kama hio 30,000 ni kwenda na kurudi hio gari inakula average ya 7.5-8.1km/l kama anaendesha vizuri sio yule anakanyaga rev mpaka kwenye 4 na mbio mbio ila kama ni kwenda tu katumia 30,000 basi gari inakula mafuta sana maana ni kama 3-4km/l na possibly alikua anakimbia maana 30,000 wese unapata 12.70 litres kwa bei ya mwezi uliopita kama ni kwenda na kurudi naweza imudu hio forester..hio ya 2009 nimeona ushuru ni 7.6m na CIF yake inacheza $3400-3800 ndo bajeti yangu hio sitaki ifike $4000 na kuendelea cheki google map uone distance
 

Attachments

  • Screenshot_20190812-161348_Maps.jpg
    Screenshot_20190812-161348_Maps.jpg
    84.3 KB · Views: 23
  • Screenshot_20190812-161303_Maps.jpg
    Screenshot_20190812-161303_Maps.jpg
    84.9 KB · Views: 23
Kwenda na kurudi
Hio Chamazi hadi Mivumoni ni KM 49 nimeweka kuanzia Chamazi Catholic Church je hio ni kwenda na kurudi yani 49 km x 2 = 98km ndo mafuta hayo ya 30,000 au maana binafsi nataka nivute Forester XT Sh5 ya 2009 sema ndo itakua daily driving au maana nikicheki auto-data.net inaonesha city driving ni 8.1 km/l au hayo mafuta ya 30,000 ni ya kwenda tu?
 
Nafikiri ni kwenda na kurudi. Maana nategemea XT isishuke 6kpl, standard itakuwa hiyo 8.1kpl, japo kiuhalisia, ni mwendo wa 7 to 7.5kpl.
Ungepanda mpaka ya mwaka 2011 ndio iko poa zaidi. Japo bei zake ni juu kidogo.
Sikuzote mafuta yanaenda Sana kama utakanya accelerator bila mpangilio au ukifanya mashindano ya MBIO barabaran na pia nakumbuka ilikuwa jpili na foleni haikuwa kubwa
 
kama atabaki na engine ya 1G... hapo anatakiwa afanye ECU remap then achange exhaust systeam aweke larger one then acheze na body.... rougly 1.5-2 ml simple mods ila ataona changes

akitaka atishe zaidi afanye swap ya 1jz-gte ambayo itamcost maana itabidi aitafute hyo mashine

ila kwa simple mods ya 1g ..kwa frisby atafanyiwa ecu remap... perfomnce exhaust na body work 2ml
Itafaa nipeleke langu lenye 1jz-gte maana nilitamani kulibadilishia machine niweke ya 1g Ila cha kushangaa pale shaurimoyo waliomba 2.2 mil
 
Kwenda na kurudi
Anhaa kwenda na kurudi wese 30,000 hapo naona ipo sawa...hio uliokua nayo wewe ni zile SH5? Zilizoanza kutengenezwa 2008? Mimi Naitaka kama hii halafu niinyanyue kama hivi mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20190812-183358_Gallery.jpg
    Screenshot_20190812-183358_Gallery.jpg
    154.9 KB · Views: 23
  • Screenshot_20190812-183404_Gallery.jpg
    Screenshot_20190812-183404_Gallery.jpg
    139.5 KB · Views: 25
Ingawa sijawahi kuendesha hiyo Altezza lakin Kwa uzoefu wangu MDOGO hapa majuzi wiki 2 zilizopita nimedrive Subaru forester cross sport yenye engine code EJ 20 na turbocharger 2.T.
Hii gari nilikuwa naisikia Tu sifa zake za kukimbia hakika ni Noma hili gari, Kwa Magari yenye Cc 2000 kushuka chini sidhani kama kuna gari ya kuipita Subaru forester (nipo tayari kukosolewa na kuelimishwa).
Hata fuel consumption yake naona kawaida Tu kutoka Chamazi Hadi Tegeta mivumoni nilitumia mafuta ya TSH 30000/= Tu ni kama ninavyotumia Kwenye carina ti
30000 kwenda tu?
 
Anhaa kwenda na kurudi wese 30,000 hapo naona ipo sawa...hio uliokua nayo wewe ni zile SH5? Zilizoanza kutengenezwa 2008? Mimi Naitaka kama hii halafu niinyanyue kama hivi mkuu
Mimi nazikubali forester za 2008 kushuka chini maana hata hizi toleo unazohitaji zina engine kama zile za zamani..
Engine zake ni EJ 20
Turbocharger ni 2.t
Hizo gari Mkuu nimetokea kuzipenda Sana sikuhizi spare parts zake zipo madukani na hata mafundi wapo pia
 
Mimi nazikubali forester za 2008 kushuka chini maana hata hizi toleo unazohitaji zina engine kama zile za zamani..
Engine zake ni EJ 20
Turbocharger ni 2.t
Hizo gari Mkuu nimetokea kuzipenda Sana sikuhizi spare parts zake zipo madukani na hata mafundi wapo pia
Zile za 2008 kushuka chini SG5 au SG9 zipo fresh mimi nazikubali sana za kuanzia 2005-2008 zile facelifted sema ya 2007 ushuru ni 8,300,000 bado TPA na zingine CIF zinacheza $2900-3400 sasa naona shida kuchukua model ya muda kidogo maana nahisi nitakaa nayo sana i.e. miaka 4-6 ila yote tisa ugonjwa wangu napenda niwe naona fuel consumption kwente screen zile za 2008 kushuka chini hazioneshi i.e ukiweka wese la i.e. 50,000 labda utatembea km ngapi nataka assuarance hio sio ile nabahatisha pia zipo chini sana zile za 2008 kushuka chini
 
Mkuu chamazi hadi huko tegeta ni mbali kwenda tu sio chini ya 45km kwaio kwenda na kurudi ni 90Km average kama hio 30,000 ni kwenda na kurudi hio gari inakula average ya 7.5-8.1km/l kama anaendesha vizuri sio yule anakanyaga rev mpaka kwenye 4 na mbio mbio ila kama ni kwenda tu katumia 30,000 basi gari inakula mafuta sana maana ni kama 3-4km/l na possibly alikua anakimbia maana 30,000 wese unapata 12.70 litres kwa bei ya mwezi uliopita kama ni kwenda na kurudi naweza imudu hio forester..hio ya 2009 nimeona ushuru ni 7.6m na CIF yake inacheza $3400-3800 ndo bajeti yangu hio sitaki ifike $4000 na kuendelea cheki google map uone distance
Okay, in that case, hiyo haiwezi kukushinda. Hiyo consumption sio mbaya. Hata bei pia naona iko poa.
 
Anhaa kwenda na kurudi wese 30,000 hapo naona ipo sawa...hio uliokua nayo wewe ni zile SH5? Zilizoanza kutengenezwa 2008? Mimi Naitaka kama hii halafu niinyanyue kama hivi mkuu
Hehehee, una mpango wa kulipeleka mbugani eeh? Maana linafika vizuri kabisa.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom