Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,588
- 7,254
Duu! Pole saana. Nawish Bongo kungekuwa na race track tuwe tunakwenda kujiachia huko. Sisi magari yetu tunakimbizana kwenye barabara za magari mengine, matokeo yake ajali zinakuwa nje nje.
mkuu mbona kila mwaka kuna official drag racing mara mbili.... inaitwa destination arusha drag racing huwa tunasafiri kwenda arusha barabara imenyooka ipo quality ya hali ya juu huwa inafungwa kwa ajili ya hyo racing... ina vibari kabisa huwa wanakuja wakenya kushindana na tz
wiki ijayo inafanyika kenya inaitwa masinga TT sema hii ntaikosa majukumu yamebana ila watu wameshafiri wameweka kambi arusha kwa tuner anaitwa jason frisby na huyu ndio gari yake huwa inatubeba TZ kwenye racing na wakenya