Toyota Allion Vs Toyota Premio ZZT 1.8L

Mkuu chukua hioa ya 2005 mimi nazikubali haswa zile zenye Fuel Economy Display..ie 9.8km/l zinakuonesha umbali unaoweza kwenda etc..
 
Mkuu chukua hioa ya 2005 mimi nazikubali haswa zile zenye Fuel Economy Display..ie 9.8km/l zinakuonesha umbali unaoweza kwenda etc..

Nashukuru mkuu!
Ila nimeshaagiza Tayari Allion 2003 1.8 L
IMG_3986.jpg

IMG_3985.jpg

IMG_3984.jpg
 

Attachments

  • IMG_3986.jpg
    IMG_3986.jpg
    52.8 KB · Views: 104
Habari wakuu zangu!

Mimi ni kijana nimekuwa nikitamani kumiliki ka usafiri, Tamanio langu ilikuwa ni kumiliki Toyota Premio 2005 ZZT 1.8L yenye taaa tofauti na zile model za 2001-2004 .
Sasa nimejipapasa nimepata budget kama 13mil
Nimejaribu kutafuta premio yenye vigezo hivyo imekuwa Changamoto ila nimepita kwenye website ya SBI Motors japan nikaiona Toyota Allion 2003 ZZT 1.8 L ina milleage chache almost 24,000 km na ina hali nzuri sana na iko kwenye budget hiyo.

Ombi langu kwenu naomba ushauri wenu kati ya gari hizo mbili, Je niongezee budget nipate premio ya 2005 ambayo almost ni kama 16.5 mil au nichukue hiyo Allion 2003 yenye hali nzuri na milleage chache?

Je Fuel Consumption ,matengenezo na Spare parts kati ya hizo aina mbili za magari ukoje?

Naombeni ushauri wakuu wangu!

Nashukuru
Nimewahi kumiliki allion 2014-2016, ni gari zuri sana na ulaji wake wa mafuta ni safi sana. Na kuna mtu anaongelea kuhusu kuuza, allion inauzika kirahisi sana maana mimi niliuza same day niliyotaka kuuza na kwa bei nzuri tu.
Pia ni gari gumu sana na rahisi kufanya service kuliko hata passo. Service ya passo ghali kuliko allion
 
Nimewahi kumiliki allion 2014-2016, ni gari zuri sana na ulaji wake wa mafuta ni safi sana. Na kuna mtu anaongelea kuhusu kuuza, allion inauzika kirahisi sana maana mimi niliuza same day niliyotaka kuuza na kwa bei nzuri tu.
Pia ni gari gumu sana na rahisi kufanya service kuliko hata passo. Service ya passo ghali kuliko allion

Nashukuru sana mkuu wa ushauri,
Nilishaufanyia kazi
 
Nimewahi kumiliki allion 2014-2016, ni gari zuri sana na ulaji wake wa mafuta ni safi sana. Na kuna mtu anaongelea kuhusu kuuza, allion inauzika kirahisi sana maana mimi niliuza same day niliyotaka kuuza na kwa bei nzuri tu.
Pia ni gari gumu sana na rahisi kufanya service kuliko hata passo. Service ya passo ghali kuliko allion
Mkuu ni vizuri ungetuambia Lita inaenda km ngap,
 
Mrejesho tafadhali uliagiza ipi.

Allion ni gari poa sana japo spare zake na Premio hazipishani gharama.
 
Sema Allion watu hawaipendi kama Premio japo ni gari moja tu kwa maoni yangu with the same interiors finish! Allion ni nyeusi ndani while premio ni rangi ya mbao mbao
Gari nyeusi ndani naipenda sana sana sana!
Siyo magari madogo tu, Hata truck ambayo ni nyeusi ndani inanibariki sana..
 
Nimewahi kumiliki allion 2014-2016, ni gari zuri sana na ulaji wake wa mafuta ni safi sana. Na kuna mtu anaongelea kuhusu kuuza, allion inauzika kirahisi sana maana mimi niliuza same day niliyotaka kuuza na kwa bei nzuri tu.
Pia ni gari gumu sana na rahisi kufanya service kuliko hata passo. Service ya passo ghali kuliko allion
Hebu tueleweshe kidogo mkuu!

Kwamba filters za passo pamoja na oil ni expensive kuliko za allion?
 
Mrejesho tafadhali uliagiza ipi.

Allion ni gari poa sana japo spare zake na Premio hazipishani gharama.
Ni same car with different body styling tu! Zote zina DNA ya Corolla sema ni corolla zenye long wheel base, option ya engine kubwa tu na cosmetics.

Ukiangalia interiors za Premio, Allion, RunX, Allex na Corolla X utagundua ni almost same car with different body styling tu na engine setups. Ndio maana Toyota gari zake ni rahisi sana ku maintain sababu ya interchangable parts.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom