Tovuti ya "Law school of Tanzania" tatizo nini?

cheguevara

JF-Expert Member
Apr 30, 2012
1,348
649
Habari wadau,napenda kujulishwa tovuti ya "law school of Tanzania" ina tatizo gani kwani kila siku nimekuwa nikifungua nakutana na matangazo yaleyale ya zamani na ukiwapigia simu yao ya TTCL wanakujibu endelea kufungua kila siku utapata majibu, na hasa ni kuhusu usahili wa wanaotaka kujiunga na shule hiyo kwani walisema mwezi februari batch ya kwanza ya 2016/17 wataingia.
 
Nafikiri haitakuwa February. Last intake ilichelewa kuingia. Brobably March.
 
Back
Top Bottom