Okol36
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,476
- 656
Huko ndio tunako elekea ....Teknolojia inakua kwa KasiJamii forums inatembelewa na wa Tz na labda na majirani
Kuna tovuti huko zinatembelewa na kila aina ya watu duniani,members kibao kutoka kila pembe
Bado sana ..labda iboreshwe zaidi ..lugha ili iwe kivutio kwa watu wengine lkn haiwezekani