Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 636
- 540
- Thread starter
- #301
Kuna watu wanauliza maswali na nimeamua Ku share huku labda yatawasaidia na wengine. Swali linaloulizwa ni kuwa km nalima nyanya ambazo zinachukua kuanzia miezi 2.5 - 4 mpaka kuvuna na kuanzia kupata pesa, sasa ktk kipindi nasubiria kuvuna, je napataje pesa za kujimu?
Hili swali nahisi ndio linalotisha watu kuingia ktk kilimo kwa kuwa unachelewa kuanzia kupata pesa.
Jibu langu ni kuwa wakati unasubiria uanze kuvuna nyanya, unaweza Lima mazao ya muda mfupi lkn yenye uzao mkubwa na yanayovumilia mgonjwa. Mi napendelea matango lkn nimegundua Spinach INA soko zuri muda wote. Spinach huchukua wiki 2 - 3 kuvuna na kuanzia kuuza
Mfano: Unapanda spinach ktk mistari. Tenganisha mistari yako futi 2 kutoka mistari na mstari kila mstari una futi 10. Kulingana na ni mistari mingapi unaweka lkn kila mstari utakupa kilo 3.5 ambazo ni takriban mafungu 10 kulingana na sina ya mbegu. Sasa piga hesabu eneo lako lina ukubwa gani na utaweza mistari mingapi. Mfano km una eneo la sqm 21 utakuwa na mistari 14 hivyo x mafungu 10.
Mafungu 140 x Sh. 300 = 42000 kwa ka eneo kadogo hivyo baada ya wiki 3 tu. Hilo eneo ni 3 kwa 7
Hivyo km eneo lako ni kubwa basi utapata zaidi wakati ukisubiria mavuno ya nyanya hivyo kupata fedha wakati ukisubiria nyanya kuvunaa
Hili swali nahisi ndio linalotisha watu kuingia ktk kilimo kwa kuwa unachelewa kuanzia kupata pesa.
Jibu langu ni kuwa wakati unasubiria uanze kuvuna nyanya, unaweza Lima mazao ya muda mfupi lkn yenye uzao mkubwa na yanayovumilia mgonjwa. Mi napendelea matango lkn nimegundua Spinach INA soko zuri muda wote. Spinach huchukua wiki 2 - 3 kuvuna na kuanzia kuuza
Mfano: Unapanda spinach ktk mistari. Tenganisha mistari yako futi 2 kutoka mistari na mstari kila mstari una futi 10. Kulingana na ni mistari mingapi unaweka lkn kila mstari utakupa kilo 3.5 ambazo ni takriban mafungu 10 kulingana na sina ya mbegu. Sasa piga hesabu eneo lako lina ukubwa gani na utaweza mistari mingapi. Mfano km una eneo la sqm 21 utakuwa na mistari 14 hivyo x mafungu 10.
Mafungu 140 x Sh. 300 = 42000 kwa ka eneo kadogo hivyo baada ya wiki 3 tu. Hilo eneo ni 3 kwa 7
Hivyo km eneo lako ni kubwa basi utapata zaidi wakati ukisubiria mavuno ya nyanya hivyo kupata fedha wakati ukisubiria nyanya kuvunaa