Tottenham Hotspurs Thread

Shedafa

JF-Expert Member
May 21, 2008
802
173
tottenham_hotspur_p2p4u_net.jpg


Waswahili husema "avumae baharini papa, kumbe wengi wapo". Msimu huu nasi tumo, hatujikongoji bali tumo!.

GAR3.jpg

Tottenham Hotspurs F.C wengine upenda kufupisha kwa Tottenham au Spurs, Timu ya England inayopatikana Tottenham,Haringey,London ambayo inashiriki Premier League.

Wembley Stadium ndio uwanja wa nyumbani kwa Spurs msimu (2017-2018) wenye uwezo wa kuchukua watu 90,000, wakati uwanja wake wa nyumbani ukiwa kwenye matengenezo(White Hart Lane).

Kuzaliwa: 5 September 1882 (Hotspurs F.C)
829b94a37f4882f1deb46074a61606e4.jpg


Major honours
DomesticLeague competitions
Premier league: 2nd position(2016-2017)


First Division/Level 1:
Winners (2):
1950–51, 1960–61

Second Division/Level 2:
Winners (2):
1919–20, 1949–50

Cup competitions
FA Cup: Winners (8):

1900–01, 1920–21, 1960–61, 1961–62, 1966–67, 1980–81, 1981–82, 1990–91

League Cup: Winners (4):
1970–71, 1972–73, 1998–99, 2007–08

FA Charity Shield/FA Community Shield: Winners (7):
1921, 1951, 1961, 1962, 1967*, 1981*, 1991* (*shared)

European
UEFA Cup Winners' Cup: Winners (1):

1962–63

UEFA Cup/UEFA Europa League: Winners (2):
1971–72, 1983–84

Other honours/friendlies
Historical competitions


Southern League:[120]
Winners (1): 1899–1900

Western League:[120]
Winners (1): 1903–04

London League Premier Division Champions:
Winners (1):
1902–03

Football League South 'C' Division Champions:
Winners (1):
1939–40

Southern District Charity Cup: Winners (3):
1901–02, 1904–05, 1906–07

Sheriff of London Charity Shield: Winners (2):
1901–02, 1933–34

London Challenge Cup: Winners (8):
1910–11, 1928–29, 1936–37, 1947–48, 1958–59, 1963–64, 1970–71, 1973–74

Friendly tournaments
Anglo-Italian League Cup:
[129]
Winners (1): 1971

Costa Del Sol Tournament:
Winners (2):
1965, 1966

Nolia Cup: Winners (1): 1977

Kirin Cup: Winners (1): 1979

Sun International Challenge Trophy: Winners (1): 1983

Peace Cup: Winners (1): 2005

Vodacom Challenge: Winners (2): 2007, 2011

Feyenoord Jubileum Tournament: Winners (1): 2008

Barclays Asia Trophy: Winners (1): 2009

AIA Cup: Winners (1): 2015
70212228580d661d9f5a44fbb06efdb4.jpg

Spurs Motto: To Dare is to Do
 
Spurs wako kwenye dreamland, wakifungwa mechi mbili nguvu yote inaisha.
 
Nguvu haiwezi kuisha kwa kufungwa, kumbuka msimu uliopita tulizinduka wakati gani na hatukulala tena. Safari hii tumeanza mapema, ila kuna timu tukikutana nazo tunakuwa na mcheche. Sitazitaja ingawa nazijua, hapo tukipata hata droo tu itakuwa kama ushindi. Ila watu wakae sawa, tumeaziamia kutoa watu nishai hasa wale wenye mdomo mrefu.
 
Waswahili husema "avumae baharini papa, kumbe wengi wapo". Msimu huu nasi tumo, hatujikongoji bali tumo!.

...kumbe mpo? safi sana. Msimu huu mtajitokeza wengi sana, Man City weshajipendekeza pia hapa, ...msikimbie tu!

Gunnerz 4Lyf!
 
...kumbe mpo? safi sana. Msimu huu mtajitokeza wengi sana, Man City weshajipendekeza pia hapa, ...msikimbie tu!

Gunnerz 4Lyf!

Hahaha mtani waeleze hawa wanafikiria kushabikia timu zilizoko kwenye top four ni shughuli ndogo.
 
...kumbe mpo? safi sana. Msimu huu mtajitokeza wengi sana, Man City weshajipendekeza pia hapa, ...msikimbie tu!

Gunnerz 4Lyf!
Akimbiae si mwana michezo, tutanyong'onyea kwa simanzi tu. Tunajua mpira ni kufunga na kufungwa, unapofunga shangilia, kunjua moyo!. Ndivyo tufanyavyo, mambo yakigeuka unasikitika. Lakini atakayekaa sawa ni vidonge tu kwa sana!
 
Akimbiae si mwana michezo, tutanyong'onyea kwa simanzi tu. Tunajua mpira ni kufunga na kufungwa, unapofunga shangilia, kunjua moyo!. Ndivyo tufanyavyo, mambo yakigeuka unasikitika. Lakini atakayekaa sawa ni vidonge tu kwa sana!

..haya bana, yangu macho.

BTW, team yenu imewika kipindi fulani, enzi hizo Gaza, Linekar wanakichapa hapo, ...enzi za Klinsmann pia Spurs hamkuwa 'nyuma'. Mna matarajio gani mwaka huu?top ten, bottom ten au midtable?

Karibu tena...
 
..haya bana, yangu macho.

BTW, team yenu imewika kipindi fulani, enzi hizo Gaza, Linekar wanakichapa hapo, ...enzi za Klinsmann pia Spurs hamkuwa 'nyuma'. Mna matarajio gani mwaka huu?top ten, bottom ten au midtable?

Karibu tena...

Top ten wala si ya kuwekea malengo, tumekuwa humo mara nyingi. Kumbuka sisi ni moja ya timu chache (nafikiri hazizidi 5) ambazo hazijawahi kuikosa premier toka iwe premier. Matumaini yetu mwaka huu ni 4 bora, ni lazima tushushe kigogo kimoja. Ila naona kuna wanaotaka kuja na mbinu chafu, wanataka kutubomoa kama mwaka jana. Tumewapa Babatov na mwaka huu tena wanataka, hawaoni pengine!.
 
Michael Carrick na million 10, hiyo deal nzuri mkikubali sasa hivi mnaweza kuleta replacement ya maana kabla ya msimu wa usajili haujaisha. Msisubirie yakaja kutokea ya mwaka jana, after all Spurs na Manchester United wanafanya biashara vizuri tuu.
 
Michael Carrick na million 10, hiyo deal nzuri mkikubali sasa hivi mnaweza kuleta replacement ya maana kabla ya msimu wa usajili haujaisha. Msisubirie yakaja kutokea ya mwaka jana, after all Spurs na Manchester United wanafanya biashara vizuri tuu.

Mwaka huu tunataka kucheza mpira sio biashara, kwani mkuu huwa hamuwaoni huko wanakotoka mpaka wafike Spurs?. Acheni na sisi tupate raha jamani!
 
Waswahili husema "avumae baharini papa, kumbe wengi wapo". Msimu huu nasi tumo, hatujikongoji bali tumo!.

Tangu lini mzee mtoto akalala na hela wakati baba,mama,kaka na dada wapo! Zaidi ataishia kulala na mikojo tu na mkojo wenyewe ni wa saa 11 asubuhi.
Sasa hv nappy bado hazijaloana zikiloana tu!
:rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes:
 
Na zile nepi zilizoanza kuloana nazo, zitakauka?, we subiri uone. Labda jamaa wafanikiwwe mbinu zao chafu za nje ya uwanja, siku zote hawakumuona Modric kuwa mzuri ndio wanamuona sasa.
 
mkuu ustie shaka ata kama ataondoka hakuna taabu, angalia hii:

Spurs are in talks with Internacional over £15m-rated Brazil midfielder Sandro, while also exploring a loan deal for Le Havre midfielder Kevin Anin and Dinamo Zagreb striker Mario Mandzukic
 
mpira wa uingereza ni kama upepo.kuna kipindi timu inakuwa juu then inashuka kutokana na masuala mbalimbali.nitakuja na link baadae inayotoa historia ya ligi ya uingereza toka ilipoanzishwa.kwa msiojua spurs ya mika ya 80 ilikuwa kama ilivyo chelsea labda manake kipindi hicho liver ndo alikuwa mtawala wa ligi .man u ilikuwa kama wigan ya sasa
 
...kumbe mpo? safi sana. Msimu huu mtajitokeza wengi sana, Man City weshajipendekeza pia hapa, ...msikimbie tu!

Gunnerz 4Lyf!

Kwa taarifa yako ''sisi Totenham" tumekuja chukua nafasi yenu, nyi ni mabakhili banaaa....
 
mkuu ustie shaka ata kama ataondoka hakuna taabu, angalia hii:

Spurs are in talks with Internacional over £15m-rated Brazil midfielder Sandro, while also exploring a loan deal for Le Havre midfielder Kevin Anin and Dinamo Zagreb striker Mario Mandzukic

Asante mkuu kwa taarifa, umenifanya nijisikie raha sana.
 
Kwa taarifa yako ''sisi Totenham" tumekuja chukua nafasi yenu, nyi ni mabakhili banaaa....

...khaaa, kumbe nawe ni Spurs? haya bana, nami nasubiria nepi zenu zikishaanza kulowana, :D:D:D mtashuka tu nyie wala siku si nyingi...
 
...khaaa, kumbe nawe ni Spurs? haya bana, nami nasubiria nepi zenu zikishaanza kulowana, :D:D:D mtashuka tu nyie wala siku si nyingi...

Kwa taarifa yako tu, wakati wewe una 3 dhidi ya Celtic. Sisi tushambamiza mtu 5 na mpira unaendelea. We kaa na msemo wa kizamani "aliyejuu mngoje chini", mfuate huko huko!
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom