jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,320
Mpira khakha!!!Duh siamini Ajax katoka kizembe hivo yaani last kick of the game ndio anafungwa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira khakha!!!Duh siamini Ajax katoka kizembe hivo yaani last kick of the game ndio anafungwa!!
Pole kwa wamachame na wachaga.Poleni sana wakuu
Ulipokuwa unacheka Ajax wakawa wanakushangaa!hahahaha, umenifanya nicheke kwa sauti aisee eti wakomaeee, hahahaha wale iwezo mdogo bro pale ndo mwisho wao
Ulipokuwa unacheka Ajax wakawa wanakushangaa!
Totenham wkawa wanajifungia kama ndondo!
TOT BINGWA MPYA.
hahahaha, umenifanya nicheke kwa sauti aisee eti wakomaeee, hahahaha wale iwezo mdogo bro pale ndo mwisho wao
Sijawahi kubeti lakini this time hela nje nje!To declare my interest mm ni Liverpool FC, sijapoteza kitu nawakaribisha sana 1st June tukutane pale Madrid ili ijulikane. Hapa hakuna Ramuli wala waganga wa kienyeji kama game za Kibongo, mwamuzi ni Referee Clock 90minutes.
hahah, muda utaamua. Let's wait and seeSijawahi kubeti lakini this time hela nje nje!
Liverpool anaangukia pua!
It was not over until its over """" ila nasemajeeee Liverpool tunamaliza shughuli mapema tarehe 01Sijawahi kubeti lakini this time hela nje nje!
Liverpool anaangukia pua!
Man city wanajua ninachokimaanisha!It was not over until its over """" ila nasemajeeee Liverpool tunamaliza shughuli mapema tarehe 01
Man city kwa Uefa n nani sasa c underdog tu ,,usiombe ukutwe na bwana Pepsi ,,origiMan city wanajua ninachokimaanisha!
Mkuu Karibu kwenye karamuPoleni sana wakuu