kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Hii timu ilikuwepo kwa ajili ya kuipa yanga point. Timu ya kijinga mno.Timu iliyokuwa tayari kushuka daraja kwa ajili ya kuibeba yanga?!!
Nimeshangaa kumbe imeshashuka hadi daraja la tatu!
Yaani ujinga huu,je kuna wapenzi wa Soka Mwanza wataisapoti timu kama hii?
Nimeshangaa kumbe imeshashuka hadi daraja la tatu!
Yaani ujinga huu,je kuna wapenzi wa Soka Mwanza wataisapoti timu kama hii?