Total yazidi kufanya mambo kwa ajili ya Watanzania! Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja; mteja ni mshirika

Wanabodi,
Mimi ni mdau wa Total, na haya ni mambo ya Total
View attachment 1630945
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akizungumza katika hafla ya kuzindua wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali
View attachment 1630976
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akisafisha kioo cha gari, wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630946
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akifungua boneti ya gari, wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630954
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akifanya ukaguzi wa gari na kucheki oil, wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630980
Hata ukiwa bosi, kama shughuli zako zinahusisha kuchafuka, huwezi kushinda tuu ofisini siku zote kwa kuogopa kuchafuka!, Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akiwa amechafuka na oil ya magari, baada ya ukaguzi wa magari wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630984
Wakati wa wiki ya wateja wa Total, hakuna bosi kukaa ofisini, wote ni kuhudumia wateja, Mkurugenzi wa sheria na mahusiano wa Total, Tanzania, Bi. Marsha Msuya Kileo, akisafisha kioo cha gari ya mteja, wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630989
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akionyesha unaweza kulipia huduma kwa kadi yako ya benki wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630955
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa sheria na mahusiano wa Total, Tanzania, Bi. Marsha Msuya Kileo, wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630981
Wafanyakazi wa Total Tanzania, wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, (hayuko pichani) wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630956
Wafanyakazi wa Total Tanzania, katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, ( katikati mwenye kofia nyekundu) wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.

TOTAL, YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KUWATHAMINI ZAIDI WATEJA WAKE
Kampuni ya mafuta ya Total, ambayo ndio kampuni inayoongoza kwenye uuzaji na usambazaji wa mafuta nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka 50, imezindua wiki ya huduma kwa wateja kwa kuwathamini zaidi wateja wake kuwa ni zaidi ya wateja, sasa ni washirika wa Total
Akizungumza katika hafla ya kuzindua wiki ya huduma kwa wateja ya Total, Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp alisema, “Total tunaamini na kutambua kuwa wateja wetu ni zaidi ya wateja, ni washirika wetu. Wao ndio chanzo cha biashara na mafanikio ya Total nchini. Tunawashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono na kutuamini. Tunawakaribisha wote kutupa mawazo na maoni yenu juu ya huduma zetu ili tupate kuziboresha na kuwapa huduma bora zaidi.”

Aidha aliongeza kuwa, Total imekuwa ya mafanikio makubwa sana kutokana na jitihada za wafanyakazi wa Total na kuwashukuru wafanyakazi wa Total kwa kujituma katika kuhakikisha kuwa Total imekuwa ya mafanikio.

Kwa upande wake, Mkufunzi wa Vituo vya Total, Msafiri Josephat Shigella, amesema lengo la maadhimishoya wiki ya mteja ni kutoa fursa kwa uongozi na menejmenti ya Total, kukutana ana kwa ana na wateja, kuwasikiliza na kujua mahitaji yao.

Mkurugenzi wa Mtandao wa vituo vya mafuta vya Total, Marriame Saw, amewashukuru sana wateja wa Total kwa kuichagua Total na kuahidi kuendelea kupanua mtandao wa vituo vya mafuta vya Total ambayo kwa sasa, tayari wanavyo vituo zaidi ya 100.

Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa Total. Marsha Msuya Kileo, ameendelea kuwasisitiza watumia wa mafuta, waendelee kutumia mafuta ya Total,yenye kiambata cha excellium, ili kufaidi mafuta na vilaini na huduma zenye ubora wa hali ya juu.

Kwa upande wa wateja, wateja waliohojiwa, wamesema mafuta ya vituo vya Total yana tofauti fulani na mafuta mengine yote, ila pia vituo vya Total, vina muonekano fulani unaokufanya wewe dereva kujisikia vizuri kujaza mafuta Total, pia unahudumiwa vizuri.
p
 
Wanabodi,

Mimi ni mdau wa Total, na haya ni mambo ya Total

View attachment 1630945
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akizungumza katika hafla ya kuzindua wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali
View attachment 1630976
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akisafisha kioo cha gari, wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630946
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akifungua boneti ya gari, wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630954
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akifanya ukaguzi wa gari na kucheki oil, wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630980
Hata ukiwa bosi, kama shughuli zako zinahusisha kuchafuka, huwezi kushinda tuu ofisini siku zote kwa kuogopa kuchafuka!, Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akiwa amechafuka na oil ya magari, baada ya ukaguzi wa magari wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630984
Wakati wa wiki ya wateja wa Total, hakuna bosi kukaa ofisini, wote ni kuhudumia wateja, Mkurugenzi wa sheria na mahusiano wa Total, Tanzania, Bi. Marsha Msuya Kileo, akisafisha kioo cha gari ya mteja, wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630989
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akionyesha unaweza kulipia huduma kwa kadi yako ya benki wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630955
Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa sheria na mahusiano wa Total, Tanzania, Bi. Marsha Msuya Kileo, wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630981
Wafanyakazi wa Total Tanzania, wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, (hayuko pichani) wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.
View attachment 1630956
Wafanyakazi wa Total Tanzania, katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp, ( katikati mwenye kofia nyekundu) wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ya Total kwa mwaka huu wa 2020, katika kituo cha mafuta cha Total Africana, kilichopo êneo la Africana, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Kwa Total, mteja ni zaidi ya mteja, ni mshirika”. Maadhimisho hayo yanaadhinishwa kwa wiki nzima kwa shughuli mbalimbali.

TOTAL, YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KUWATHAMINI ZAIDI WATEJA WAKE
Kampuni ya mafuta ya Total, ambayo ndio kampuni inayoongoza kwenye uuzaji na usambazaji wa mafuta nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka 50, imezindua wiki ya huduma kwa wateja kwa kuwathamini zaidi wateja wake kuwa ni zaidi ya wateja, sasa ni washirika wa Total
Akizungumza katika hafla ya kuzindua wiki ya huduma kwa wateja ya Total, Mkurugenzi Mkuu wa Total Tanzania Bw. Jean-Francois Schoepp alisema, “Total tunaamini na kutambua kuwa wateja wetu ni zaidi ya wateja, ni washirika wetu. Wao ndio chanzo cha biashara na mafanikio ya Total nchini. Tunawashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono na kutuamini. Tunawakaribisha wote kutupa mawazo na maoni yenu juu ya huduma zetu ili tupate kuziboresha na kuwapa huduma bora zaidi.”

Aidha aliongeza kuwa, Total imekuwa ya mafanikio makubwa sana kutokana na jitihada za wafanyakazi wa Total na kuwashukuru wafanyakazi wa Total kwa kujituma katika kuhakikisha kuwa Total imekuwa ya mafanikio.

Kwa upande wake, Mkufunzi wa Vituo vya Total, Msafiri Josephat Shigella, amesema lengo la maadhimishoya wiki ya mteja ni kutoa fursa kwa uongozi na menejmenti ya Total, kukutana ana kwa ana na wateja, kuwasikiliza na kujua mahitaji yao.

Mkurugenzi wa Mtandao wa vituo vya mafuta vya Total, Marriame Saw, amewashukuru sana wateja wa Total kwa kuichagua Total na kuahidi kuendelea kupanua mtandao wa vituo vya mafuta vya Total ambayo kwa sasa, tayari wanavyo vituo zaidi ya 100.

Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa Total. Marsha Msuya Kileo, ameendelea kuwasisitiza watumia wa mafuta, waendelee kutumia mafuta ya Total,yenye kiambata cha excellium, ili kufaidi mafuta na vilaini na huduma zenye ubora wa hali ya juu.

Kwa upande wa wateja, wateja waliohojiwa, wamesema mafuta ya vituo vya Total yana tofauti fulani na mafuta mengine yote, ila pia vituo vya Total, vina muonekano fulani unaokufanya wewe dereva kujisikia vizuri kujaza mafuta Total, pia unahudumiwa vizuri.

View attachment 1630992
Kabla ya kusifia sana naomba unipe faida ya hicho kiambata excellium kwenye mafuta?? Na mafuta yakikikosa yanakosaje ubora?
Mkuu Gallius , karibu pande hizi

P
 
Hongereni total,Ila sasa muwe mnakagua na magari mabovu kama madaladala maana yale yanabeba roho za watu wengi sio hayo mapya tu!
 
Back
Top Bottom