Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,062
- 79,089
Mkwanja tatakao vuta hapa..tuna eza tandaza SGR nchi nzima ndani ya miaka isiyo zidi 10! ila hili deal wangepata Kenya, Uhuru angekua the richest man in the world.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aise hili dili tumeula kinyamaMkwanja tatakao vuta hapa..tuna eza tandaza SGR nchi nzima ndani ya miaka isiyo zidi 10! ila hili deal wangepata Kenya, Uhuru angekua the richest man in the world.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu.. Manyang'au baada ya ku sign MoU wakaona wame win, ila Magu alicho wafanya hawatasahau milele. Ali tumia mpaka history ya Tz kumwaga damu for Ug. Mpaka leo Wakenya hawana hamu naeDah aise hili dili tumeula kinyama
Hata kama mafuta yakiisha Uganda na South Sudan, hii pipeline itatumika kupump mafuta kutoka bandarini kupeleka Uganda, Congo, Burundi, Rwanda, South Sudan, Kenya etc kama lile bomba la tazama na hayo mafuta huko Uganda na South Sudan hayaishi leo wala kesho kwa hiyo hapa ni kukamua tu midolari ya bure
Kuna study inaonesha Tanzania inafaidika almost the same na Uganda, tukiongeza South Sudan, Tanzania itanufaika kuliko wote.
Jiwe alifanyaje kwaniKweli mkuu.. Manyang'au baada ya ku sign MoU wakaona wame win, ila Magu alicho wafanya hawatasahau milele. Ali tumia mpaka history ya Tz kumwaga damu for Ug. Mpaka leo Wakenya hawana hamu nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri ni kibanda kule Kibera kwamba utazindua siku mbili tukwn hyo pipeline bado iko kwnye makaratasi...mtazindua lini tena...
kwhyo bado siku ngapi za uzinduziUnafikiri ni kibanda kule Kibera kwamba utazindua siku mbili tu
Subiri tutakwambia.kwhyo bado siku ngapi za uzinduzi