Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,553
- 46,095
Wewe ni parody la Lumumba,.Kamarada
Huko ni kutuibia watanzania.
Huko ni kutuibia watanzania.
Unachokisema ni sawa na kusema "RAIS SAMIA NI MWENYEKITI WA CCM, ASIENDE SHUGHULI ZA KISERIKALI, NI MATUMIZI MABAYA". umakosa logic kabisaHilo unalolisema lingehusu serikali ya wananchi wa Tanzania, hii ni serikali ya CCM ndiyo sababu hatutumii bajeti ya bunge tunatumia pesa za Rais Samia, subiri tutakapoanza kutumia katiba uchumi ukitengemaa.