Toshiba satellite C660 inagoma kuingia kwenye BIOS

izime kwanza then bonyeza power button then shikilia f12 kama unataka boot menu au f2 kama ni setup
 
Zima toa betri, bonyeza pa kuwashia kwa dk1 then connect adapter bila betri, iwashe ikiwaka tuu bofyabofya F2 mpaka usikie kamlio katakachokuwa kanajirudia kila ukiibonyeza..... nasubiri majibu
 
Back
Top Bottom