Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,500
- 23,685
Camel meat is not Halal in the Torah. It is 'unclean' in the same catagory with pork (Leviticus 11:4-7). Ukisoma utaona kuwa ngamia ameweka kundi moja na nguruwe katika kitabu cha Torati. Lakini kwa waarabu sababu ya utamaduni wao toka mwanzo kabla ya Uislam haujaletwa na muhamad walikuwa wakila Ngamia basi na muhamad naye akaendelea humo humo.
Muslims eat Camel meat: Christians eat pork.
Hivyo Waislamu wanakula Ngamia kama ambavyo Wakristo wanakula Nguruwe.
The Quran states in Surah Al-Hajj, Ayah 36:
"And (as for) the camels, We have made them of the signs of the religion of Allah for you; for you therein is much good; therefore mention the name of Allah on them as they stand in a row, then when they fall down eat of them and feed the poor man who is contented and the beggar; thus have We made them subservient to you, that you may be grateful."
The Quran 2:173 "He has only forbidden to you dead animals, blood, the flesh of swine, and that which has been dedicated to other than Allah . But whoever is forced [by necessity], neither desiring [it] nor transgressing [its limit], there is no sin upon him. Indeed, Allah is Forgiving and Merciful."
Ingawa pia nguruwe ameruhusiwa katika uislamu ikiwa muislamu ana njaa au kazidiwa na njaa... Nami nina ndugu zangu ambao tumekuwa tukila kitimoto pale inapotokea wana njaa na hamna nyama nyingine. Wanasema si kama inavyoaminishwa na watu wasiofahamu maandiko.
Ushahidi nimeweka hapo juu. Sitaki kukashifu dini yangu nliyokulia nayo mpaka nlipopata akili na kuifahamu vizuri.
Muslims eat Camel meat: Christians eat pork.
Hivyo Waislamu wanakula Ngamia kama ambavyo Wakristo wanakula Nguruwe.
The Quran states in Surah Al-Hajj, Ayah 36:
"And (as for) the camels, We have made them of the signs of the religion of Allah for you; for you therein is much good; therefore mention the name of Allah on them as they stand in a row, then when they fall down eat of them and feed the poor man who is contented and the beggar; thus have We made them subservient to you, that you may be grateful."
The Quran 2:173 "He has only forbidden to you dead animals, blood, the flesh of swine, and that which has been dedicated to other than Allah . But whoever is forced [by necessity], neither desiring [it] nor transgressing [its limit], there is no sin upon him. Indeed, Allah is Forgiving and Merciful."
Ingawa pia nguruwe ameruhusiwa katika uislamu ikiwa muislamu ana njaa au kazidiwa na njaa... Nami nina ndugu zangu ambao tumekuwa tukila kitimoto pale inapotokea wana njaa na hamna nyama nyingine. Wanasema si kama inavyoaminishwa na watu wasiofahamu maandiko.
Ushahidi nimeweka hapo juu. Sitaki kukashifu dini yangu nliyokulia nayo mpaka nlipopata akili na kuifahamu vizuri.