GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,280
- 126
Hivi mbona hili jukwaa linatupiwa mawe sana? sio siku hzi tu tangu najiunga mm naona kila siku malalamiko tuuu watu wan discuss mapenzi mapenzi....Teamo, Aspirin, Fidel, Rev Masa Mwanajamii etc wote watakuwa mashahidi kwenye hili......:embarrassed:
Na Nguli nadhani hizi lawama zimezidi sana baada ya uchaguzi...watu wameshuka toka juu sasa wanataka kila mtu aishi stressed life ya siasa....tutageuza majukwaa yote kuwa ya stress na keyboard assult, which will be an easy way for some of us to go