zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Hii tabia ya baadhi ya Wanaume/wavulana kuwachungulia Wanaume wenzao bafuni wakiwa wanawaoga huwa ni dalili za mabadiliko ya mvulana kuwa shoga.
Mytaka Haiwezekani
Mytaka Haiwezekani
Heshima haipimwi kwa kilo,Inaonekana wewe ni mtaalamu wa hiyo kaz ya kula chabo midume wenzako, unamani ndiz zao. Watakulamba
zubeda unaanza kunitia mashaka kama nilivofanya kwa fulani...nakupa muda!
Wanaangaliana size.
Ili hata akisikia kachukuliwa demu wake,ajue pa kuanzia....!!!
unafikiri zubeda mchuzi, hakyanani vile..!!!
Ndo tabia yao hyo.
Pengine hata humu wapo,wanapita kimyakimya kama hawasomi thread vile..!!!