Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Ndo kinachowatafuna Man utd pia hichi. Wachezaji wa kisasa wamekua hovyo mnoo ile morali na jihad ya uwanjani hakuna kabisa sikuhizi. Players used to play for the shirt yaani ilikua hadi raha kutazama ila sikuhizi ni wachache sana wanajituma kama malegend wa zamani.
Ni pengine ndo sababu tumekua na Ronaldo na Messi kwa muda mrefu maana wao wanaile mentality ya kujituma sana. Umeona kama Messi plays for the shirt hata siku Barcelona ikifungwa utamuona tu kanuna sana na game inayofuataga lazima awanyooshe haswa halafu Ronaldo plays jihad anawork rate kubwa sana linajituma mwanzo mwisho
Hata hao kina Ronaldo wanatetea mishahara yao, ndiyo maana muda wote wanalilia nyongeza za mishahara.
Siku hizi mchezaji ana team kubwa nyuma yake, kuanzia personal trainers, chefs, financial analysts, psychologist, designers etc ambao wote wako kwenye payroll yake.
So mchezaji ni business tosha, miaka hiyo karibia wachezaji wote walikuwa wanategemea timu peke yake kuprovide services kama hizo.