Top Three yako ni Ipi ? Yangu ni hii

Ndo kinachowatafuna Man utd pia hichi. Wachezaji wa kisasa wamekua hovyo mnoo ile morali na jihad ya uwanjani hakuna kabisa sikuhizi. Players used to play for the shirt yaani ilikua hadi raha kutazama ila sikuhizi ni wachache sana wanajituma kama malegend wa zamani.
Ni pengine ndo sababu tumekua na Ronaldo na Messi kwa muda mrefu maana wao wanaile mentality ya kujituma sana. Umeona kama Messi plays for the shirt hata siku Barcelona ikifungwa utamuona tu kanuna sana na game inayofuataga lazima awanyooshe haswa halafu Ronaldo plays jihad anawork rate kubwa sana linajituma mwanzo mwisho

Hata hao kina Ronaldo wanatetea mishahara yao, ndiyo maana muda wote wanalilia nyongeza za mishahara.

Siku hizi mchezaji ana team kubwa nyuma yake, kuanzia personal trainers, chefs, financial analysts, psychologist, designers etc ambao wote wako kwenye payroll yake.

So mchezaji ni business tosha, miaka hiyo karibia wachezaji wote walikuwa wanategemea timu peke yake kuprovide services kama hizo.
 
safi sana mtoa hoja hii ila nami niongezee hapa ni vema mno tukatumia jukwaa hili kuijulisha hii new generation yetu kwamba ni safi sana kwa mtu kuijua kwanza nchi yako au yanayokuzunguka kabla hujayajua ya mbali;wengi wetu humu hutujui kuwa nchi hii imeshawahi kuwa na wachezaji wengi tu wa mpira wenye vipaji ambao wengi wao vipaji hivi havikuwasaidia kutokana na mfumo mbaya tuliokuwa nao,wachezaji kama;Sunday Manara,Kassim Manara(huyu alikuwa akiweka mpira kati ya miguu yake kuuchukua ule mpira ufanye kazi ya ziada),Gagarino,Jela Mtagwa(sijui kama alilipwa hati miliki ya kutokea kwenye stamps),Omari Hussein,Ngulungu,Peter Tino,Mohammed Richard,Lumelezi,G.Masatu,(almost team yote ile ya Pamba) etc etc ,ni vema tukaanzia huku ndio tuendelee kuwajua wa huko south America ,Europe etc etc,du nimekumbushwa kuhusu KING KIBADENI na OMARI MAHADHI BIN JABIR(mfupi kiumbo ila pale kati kati ya goli kumfunga ilikuwa shida)na inasikitisha mpaka leo mfumo ni ule ule wachezaji wetu hawasogei mbele na waziri wetu anakimbizana na magazeti uchwara yanayomchafua mfalme!!
 
katika ushabiki wangu wa muda mrefu wa mpira wa soka kuanzia mwaka 1995 (nilianza kushabikia mpira) nimefanikiwa kuona wachezaji wa aina nyingi kutoka mataifa mbalimbali wengi wao wakiwa na vipaji vya hali ya juu sana.
Nimejaribu kufanya uhakiki wa kila taifa na kuweza kupitia baadhi ya record za wachezaji na pengine wengine nimewashuhudia wakicheza.
Wafuatao ndo wachezaji (proffesional footballers) bora kuwahi kutokea tokea nianze kuupenda na kuufatilia mchezo wa mpira mwaka 1996

AUSTRALIA
1. Tim Cahil (played for Everton mostly and Australian top scorer)
2. Harry Kewell ( talented player notably signed by Liverpool played as a wing. Sir Alex Ferguson said he was one of the best players he regret not to sign from the famous Leeds united golden squad)
3.Mark Viduka ( a beast and talented goal poacher played in the premier league and also one of Leeds united golden squad)

IRAN
1. Ali Daei (top scorer of all time wa international appearances nilifanikiwa kuona baadhi ya games za world cup pale Japan na Akiwa Bayern Munich mwaka 1999 he was a true goal getter)
2. Ali Karimi ( played for Bayern Munich and Schakle 04 notably known as Maradona of Asia)

JAPAN
1. Shunsuke Nakamura (freekick master mind played for Celtic and Espanyol was also nominated for balon d 'or 2007 the best japanese player ever)
2. Keisuke Honda ( one of the best players in Japan natural gifted midfielder notably played for Cska Moscow and Ac milan)
3. Shinji Kagawa ( Sir Alex Ferguson thought this was another Park Ji sung. Notably known for his passing skills and work rate)

SOUTH KOREA
1. Park Ji Sung ( kama kuna mtu aliwahi kuona Game ya Psv Eindhoven na Ac milan angeona ni jinsi Gani huyu mkorea alimtesa Gatituso jamaa alikua hachoki aliwakimbiza Ac milan vibaya mno . Notably the best Asian player of all Times played for Manchester united and Psv Eindhoven)
2. Son Heuing Min ( currently Asian player of the year playing for Tottenham Hotspurs very talented player)
3. Lee Young Pyo ( a very good defender played for top sides PSV, Spurs and Borrusia Dortmund)

ALGERIA
1. Riyad Mahrez
2. Yousef Brahimi
3. Islam Slimani

ANGOLA
1. Flavio ( goal Poacher wa hatari sana huyu took Angola to thier first world cup. Kwangu mimi ni moja kati ya washambuliaji wakali sana kuwahi kutokea bara la Africa)
2. Akwa ( notably played for Benfica also scored the goal that took angola to thier first worldcup.
3. Manucho ( was signed by Ferguson but ended up as a flop still regarded as one of the best strikers in Africa)

CAMEROON
1. Samuel Eto'o
2. Rigobert Song
3. Geremi Njitap ( notably played for top Teams Real Madrid, Chelsea and Newcastle)

CONGO DRC
1. Tresor Mputu
2.Shaban Nonda
3.Dieumerci Mbokani

IVORY COAST
1. Didier Drogba
2. Yaya Toure
3. Salomon Kalou

EGYPT
1. Mohamed Salah
2. Mohamed Aboutrika
3.Mido

MORROCO
1.Mustapha Hadji
2. Mehdi Benatia
3. Marouane Chamakh

NIGERIA.
1. Jay Jay Okocha
2. Nwankwo Kanu
3.Obafemi Martins

GABON
1. Pierre Emerick Aubameyang
2. Daniel Cousin

GHANA
1. Asamoah Gyan
2.Sulley Muntari/ kelvin Prince Boateng
3.Andre Ayew

KENYA
1. Dennis Oliech
2.Vicent Wanyama
3. Mcdonald Mariga

MALI
1.Seydou Keita
2. Frederic Kanoute
3.Mahamadou Diarra

SENEGAL
1. AL Hadji Diouf
2.Henri Camara
3. Sadio Mane

SOUTH AFRICA
1.Benni McCarthy
2. Sibusiso Zuma
3. Siphiwe Tshabalala

TANZANIA
1. Mbwana Ally Samata
2. Mrisho Ngassa
3. Athumani Iddi

TOGO
1. Emanuel Adebayor
2. Kader Toure
3.Fodoh labah

UGANDA
1.Emanuel Okwi
2.Godfrey Walusimbi
3.Denis Onyango

ZAMBIA
1. Clatous Chama ( nafikiri Yanga wanamjua vizuri huyu)
2. Colins Mbesuma
3. Christopher Katongo

HONDURAS
1. Wilson Palacios
2. Maynor Figueroa
3. Pavon

COSTA RICA
1. Paulo Wanchope
2. Bryan Ruiz
3. Keylor Navas

MEXICO
1. Rafael Marquez
2. Javier Hernandez
3. Giovani Dos Santos

TRINIDAD AND TOBAGO
1. Dwight Yorke
2. Kenwyine Jones

USA
1. Clint Dempsey
2. Landon Donovan
3. Tim Howard

ARGENTINA
1. Lionel Messi
2. Gabriel Batistuta
3. Javier Zanetti

BRAZIL
1. Ronaldo De lima
2. Ronaldhno Gaucho
3. Kaka

CHILE
1.Alexis Sanchez
2.Arturo Vidal
3. Marcelo Salas

COLOMBIA
1. James Rodriguez
2.Radamel Falcao
3.Juan Cuadrado

ECUADOR
1. Antonio Valencia
2.Ener Valencia
3. Christian Benitez

PARAGUAY
1. Roque Santa Cruz
2.Nelson Valdez

URUGUAY
1. Luis Suarez
2. Diego Forlan
3. Edison Cavani

AUSTRIA
1. David Alaba
2.Chrisitian Fuchs
3.Marko Arnautovic

BELARUS
1. Alexsander Hleb

BELGIUM
1.Eden Harzard
2.Vicent Kompany
3. Kelvin Debruyne

Bosnia & Herzegovnia
1. Edin Dzeko
2.Miralem Pjanic
3.Lulic

BULGARIA
1. Dimitar Berbatov
2. Stylian Petrov
3. Hristo Stoickov

CROATIA
1. Luka Modric
2.Davor Suker / Mario Madzukic
3. Ivan Rakitic

CZECH REPUBLIC
1. Petr Cech
2.Tomas Rosicky
3. Milan Baros

DENMARK
1.Christian Ericksen
2.Jon Dahl Tomasson
3.Peter Schmeichel

ENGLAND
1.Wayne Rooney
2. Frank Lampard / Alan Shearer
3. Steven Gerard / Paul Scholes

FRANCE
1. Zinedine Zidane zizzou
2. Thierry Henry
3. Antoinne Griezman

GERMANY
1. Miroslav Klose
2. Philip Lahm / Bastian Shweinstiger
3. Mikael Ballack

GREECE
1. Charisteas / Fanis Gekas
2.Karagounis
3. Samaras

ISRAEL
1.Hatem Ben Haim

ITALY
1. Alesandro Del Piero / Fransesco Totti
2. Paolo Maldini
3. Andrea Pirlo

NETHERLAND
1. Arjen Robben
2. Ruud Van Nistelrooy / Robin Van Persie
3. Wesley Snyder

NORWAY
1.Ole Gunnar Solskjaer

POLAND
1. Lewandoski
2. Jacob Blaszczykowski
3. Lukas piszczek

IRELAND
1. Robbie Keane
2. Roy Keane
3. Shay Given

ROMANIA
1. Adrien Mutu
2. Chiriches

SWEDEN
1. Zlatan Ibrahimovic
2. V. Lindeloff
3. Toivonen

PORTUGAL
1. C. Ronaldo
2. Luis Figo
3. Deco

SERBIA
1. Nemanja Vidic
2. Stankovic
3. Ivanovic / Matic

SLOVAKIA
1. Marek Hamsik
2. M Skrtel

SPAIN
1. Xavi Hernandez ( spain best player of all times)
2. Andres Iniesta
3. Raul Gonzalez / David Villa Sanchez

SWITZERLAND
1. Xherdan Shaqiri
2. Alexander Frei
3. G. Xhaka

TURKEY
1. Arda Turan
2.Hamit Altintop
3. Hakan Sukur

Ukraine
1. Andriy Shevchenko

WALES
1. Ryan Giggs
2. Gareth Bale
3. Aaron Ramsey.


Hizo ndo top three zangu za kila nchi tokea nimeanza kuangalia mpira nakuufuatilia kwa undani zaidi mwaka 1996 So usilete povu zaidi ongezea na wewe wakwako tokea umeanza kuangalia soka.
Ila kuna nchi zimebarikiwa majembe vipaji vyakutosha sijui waTanzania tunakosea wapi jamani.
Italy unathubutu kumuacha Roberto Baggio?
 
safi sana mtoa hoja hii ila nami niongezee hapa ni vema mno tukatumia jukwaa hili kuijulisha hii new generation yetu kwamba ni safi sana kwa mtu kuijua kwanza nchi yako au yanayokuzunguka kabla hujayajua ya mbali;wengi wetu humu hutujui kuwa nchi hii imeshawahi kuwa na wachezaji wengi tu wa mpira wenye vipaji ambao wengi wao vipaji hivi havikuwasaidia kutokana na mfumo mbaya tuliokuwa nao,wachezaji kama;Sunday Manara,Kassim Manara(huyu alikuwa akiweka mpira kati ya miguu yake kuuchukua ule mpira ufanye kazi ya ziada),Gagarino,Jela Mtagwa(sijui kama alilipwa hati miliki ya kutokea kwenye stamps),Omari Hussein,Ngulungu,Peter Tino,Mohammed Richard,Lumelezi,G.Masatu,(almost team yote ile ya Pamba) etc etc ,ni vema tukaanzia huku ndio tuendelee kuwajua wa huko south America ,Europe etc etc,du nimekumbushwa kuhusu KING KIBADENI na OMARI MAHADHI BIN JABIR(mfupi kiumbo ila pale kati kati ya goli kumfunga ilikuwa shida)na inasikitisha mpaka leo mfumo ni ule ule wachezaji wetu hawasogei mbele na waziri wetu anakimbizana na magazeti uchwara yanayomchafua mfalme!!

Mfumo wetu wa soka umekua mbaya sana. Sijui tunakosea wapi wabongo sisi. Yaani TFF sijawahi kuona la msingi wanalofanya kuipromote ligi yetu na vipaji vya wachezaji wetu.
Something has to be done hii CAF yenyewe tunaenda kusindikiza tu huko maana kupita ilikua bahati tu. 😭😭
 
Back
Top Bottom