MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,208
- 22,257
Wafuatao ni wasanii kumi ambao hawajawahi kuwa namba moja kwenye muziki lakini pia hawajawahi kupotea kabisa kwenye muziki yaani kwenye mpira tunaweza kuwafananisha na Kagera Sugar FC. Kama mjuavyo huwa Kagera haichukui kombe lakini pia haishuki daraja.
1. Ambwene Yesaya (AY)
2. MwanaFA
3. Linex
4. Ali Kiba
5. Jux
6. Weusi
7. Snura
8. Ruby
9. Fid Q
10. Zuchu
1. Ambwene Yesaya (AY)
2. MwanaFA
3. Linex
4. Ali Kiba
5. Jux
6. Weusi
7. Snura
8. Ruby
9. Fid Q
10. Zuchu