Top ten Countries without access to toilets. Kenya haiko. Tanzania iko top 10

I am Kenyan but habari hii nikama kujifunga goli (own goal)...pia sisi tuna shida nyingi sana kwa sector hii ya sanitation Kibera sio jambo la kujivunia..ukweli usemwe tu...tutakapomaliza shida hizi ndipo tunafaa kuja kujivunia...kwa sasa nikama tu mbilikimo wawili wanapimana urefu na kuchekana..No pun intended..just being real
Mkuu hapa umena kabisa..huu utanzania na ukenya wakati mwingine tuweke pembeni kabisa na kusema ukweli, yawezekana waliotafiti hata Kenya hawakufika...India na China kwenye ishu zingine wapo juu mno..
 
How many public toilets are there in Dar City? Just estimates?
Not sure about the numbers though but ni kama tu Nairobi though in al major areas like market, bus stage etc zipo na well maintained tangu enzi hizo...good angalau Nairobi this day public toilet sio tena homes of chokoraas..
 
Nmegundua nchi zilizofuata mfumo wa Kijamaa zinamatatizo sana.

Na bado kuna watu wanashabikia ujamaa,, khaa
 
Waaah.... Nowonder miombo woodlands iko na miti mirefu sana.... Kumbe hawa Wadanganyika wa naenda huko kuwekaweka mbolea tuu....... Shiba babaa shibaa..... twahitaji mbolea
 
a
China na Russia ni due to high population. Ila Tanzania nchi ya watu millioni 50 ina watu milioni 44 hawa vyoo - that's 88%. Gosh!
acha utetezi usiokuwa na kichwa wala mguu! Tz tunajikwamua, one step at a time, tutafika tu!
 
Ndiyo maana Mchina anahitaji miaka kadhaa kufikia nchi zilizoendelea sawasawa. Mamilioni ya watu hawana vyoo vya kisasa na salama unawezaje kujisema umeendelea
 
Hao watz mil 45 wasio na vyoo mmewatoa wapi?
Labda walikuwa wakifanya utafiti juu ya wenye mifumo ya maji taka tu, kweli wengi hatuna, lakini vyoo Nadhani hata asilimia kumi sidhani kama inaweza fika kwa takwimu za mwaka huu.
 
Sikujua, kumbe watz mnakuwaga mabush baby. Kinatolea mvuke huko hukoo mtoni kilopouvuna! Afu yaani fresh aaair. Naachia hapo.
 
Waaah.... Nowonder miombo woodlands iko na miti mirefu sana.... Kumbe hawa Wadanganyika wa naenda huko kuwekaweka mbolea tuu....... Shiba babaa shibaa..... twahitaji mbolea
Kuna shughuli ya mbolea na wakati huo huo pia wanapanda mipera. We endelea kula mapera tu wakati hata hujui huwa yanapandwaje. :D
 
26167872_310638252767710_406336629915154839_n.jpg
 
Why do i even bother with these people watu wajinga kupindukia ukimpa facts anaanza kukupea facts zake toka kwa kichwa

Russia is
17,000,000km2
Africa is
30,000,000km2

Russia URUSI
View attachment 504571View attachment 504572
AFRICA /AFRIKA
View attachment 504573
Duuu, ila wakenya mna matatizo sana, halafu hata hawa Watanzania wenzangu hawajui jinsi ya kuwaambia ukweli. Sasa ngoja niwachane.

Watanzania wenzangu, jaribuni kuangalia hiyo Screen shoti ya Huyu Samweli999 halafu mcheki MTANDAO wao ulivyo weak, ndo mtathibitisha kwamba anaishi kijijini.
 
Hauna akili! Tanzania yetu bado tuko kundi la least developing countries, hivyo bado tuna matatizo yote ya least developing countries, Kenya ni middle income country hivyo haiwezi kuwa na matatizo sawa na Tanzania yetu kwa hali ya kawaida, sasa nashangaa kwa nini hii inakuwa ni news kwako!
Tena kuna kampeni ya kuhamasisha ujenzi na kutumia vyoo inaendeshwa na wizara ya afya,tatizo la ukosefu wa vyoo salama ni kubwa kwa zaidi ya 50%
 
Back
Top Bottom