MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,861
- 6,219
acheni stanchart wawe juu jmn,kuna sm entry positions ukitoka chuo tu TAKE HOME NI 1.3 MILLION PER MONTH..recruitment procedure yao ndef bt surely worth it,pale ht field tu unalipwa laki mbili au zaidi,..upo hapo...ma'manager ndo usisemeee...
Standard charted Bank officer anaanza na 1.3m net? Hivi unajua net ya 1.3 ni sawa na gross ya almost 1.8m...
Hakuna Bank inayofanya hivyo labda BOT.. Acheni story za vijiweni..
Bank industry haina huo uwezo wa kulipa bank officer net hiyo,, hiyo ni mishahara ya Oil and Gas ya kuanzia as PUMA, KOBIL. TOTAL may be na Mining undustry etc but bank hakunaga
Hata TRA hakuna officer anaeanza na net ya 1.3m
Hata auditing firm zinazochukua the best hazianzi na hiyo net ya 1.3m..