Top Secret.

Status
Not open for further replies.

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Katika vyama vikuu vya upinzani Tanzania inasemekana vimo vyama vivuli au wakala.Nilichowahi kusikia ni kuwa Chama cha CHADEMA ndio chama nambari one kinachotumika au kutumiliwa na CCM ,vilevile wapo wanaosema Chama cha CHADEMA ni Tawi la CCM ambalo ndilo linajuwa mambo yote ya CCM.Kuzushwa kwa siri za mafisadi ,mahesabu ya fedha za walala hoi zilizo chotwa kutoka BOT zote zimeibuliwa na CHADEMA.
Kwa kuwa Chadema ndio Chama kinacholengwa kuwa ni tawi mama la CCM ,ni watu wachache tu wanalilijua hilo ,na hivyo kuifanya Chadema kutoonekana moja kwa moja uhusiano wake na CCM naweza kusema ni TOP Secret.
Hatari ya uhusiano huu ni pale wanasera wanapogongana na kufarikiana katika hekaheka za kutafuta tonge.
Tonge ya mlo wa BOT ,Richmond na nyenginezo ziliwatenga vigogo wa CHADEMA na kuwafanya wavurugike akili kwa kuona wenzao wamewakosesha mgao.Na matokeo yake ni siri nyingi za ufisadi kuanza kutolewa pamoja na mahesabu ,yote hayoyakiongozwa na CHADEMA.
Ingawa WATANZANIA wananchi wengi wapo nyuma katika kuliona hili kiasi cha kuwafanya washindwe kutambua upi ni Mchele na zipi ni Pumba panahitajika ukachero mkubwa kuezua na kuuweka wazi ushirikiano wa chini kwa chini wa CCM na CHADEMA.
 
Katika vyama vikuu vya upinzani Tanzania inasemekana vimo vyama vivuli au wakala.Nilichowahi kusikia ni kuwa Chama cha CHADEMA ndio chama nambari one kinachotumika au kutumiliwa na CCM ,vilevile wapo wanaosema Chama cha CHADEMA ni Tawi la CCM ambalo ndilo linajuwa mambo yote ya CCM.Kuzushwa kwa siri za mafisadi ,mahesabu ya fedha za walala hoi zilizo chotwa kutoka BOT zote zimeibuliwa na CHADEMA.
Kwa kuwa Chadema ndio Chama kinacholengwa kuwa ni tawi mama la CCM ,ni watu wachache tu wanalilijua hilo ,na hivyo kuifanya Chadema kutoonekana moja kwa moja uhusiano wake na CCM naweza kusema ni TOP Secret.
Hatari ya uhusiano huu ni pale wanasera wanapogongana na kufarikiana katika hekaheka za kutafuta tonge.
Tonge ya mlo wa BOT ,Richmond na nyenginezo ziliwatenga vigogo wa CHADEMA na kuwafanya wavurugike akili kwa kuona wenzao wamewakosesha mgao.Na matokeo yake ni siri nyingi za ufisadi kuanza kutolewa pamoja na mahesabu ,yote hayoyakiongozwa na CHADEMA.
Ingawa WATANZANIA wananchi wengi wapo nyuma katika kuliona hili kiasi cha kuwafanya washindwe kutambua upi ni Mchele na zipi ni Pumba panahitajika ukachero mkubwa kuezua na kuuweka wazi ushirikiano wa chini kwa chini wa CCM na CHADEMA.

mbowe mwenzako anasema wapinzani (except chadema) wapo kwa maslahi yao tu na matumbo yao, na wamepachikizwa na ccm kwa hiyo chadema kuungana na wenzao ingekuwa vigumu, HIVI KARIBUNI NASHANGAA KAINGIA KWENYE MTEGO ALIOUTEGA !

BUT GUESS WHAT ??
Mbowe huyo huyo kajiunga na watu ambao alisema wamepachikwa na ccm !
Mbowe huyo huyo kajiunga na watu ambao alisema wapo kwa ajili ya matumbo yao ?

THIS IS ENOUGH TO REACH A CONCLUSION ! MBOWE SIO MWENZETU KAMA TUNAVYOMFIKIRIA !

MBOGO KATEGA MBOGO, MWISHOWE KAVUNA MBOGO !
 
Kwa maneno mengine mkuu Mwiba kama nimekufahamu vizuri unachosema basically ni kwamba hakuna upinzani wa dhati Tanzania, wote kapu moja.

Na kwa maana hiyo hata hizi kashfa zilizoibuliwa ni katika kuhitimisha ule usemi wa "there is no honor among thieves"!

Wala huhitaji kuwa Einstein kuona jinsi hoja hii ilivyokuwa dhaifu, for starters angalia tu mwenendo wa bunge na serikali tokea sakata la BOT mpaka kutoswa kwa EL et al. Haiingii akilini kwanini Rais, Spika, bunge na serikali wahahangaike hivyo kama hao wote(CCM na Upinzani) ni kundi moja, ni kiasi cha kuwaita tu na kuwadakisha wangenyamaza maana toka lini mtu akaukata mkono unaomlisha?

Njoo na hoja nyingine hii dhooful hali
 
Katika vyama vikuu vya upinzani Tanzania inasemekana vimo vyama vivuli au wakala.Nilichowahi kusikia ni kuwa Chama cha CHADEMA ndio chama nambari one kinachotumika au kutumiliwa na CCM ,vilevile wapo wanaosema Chama cha CHADEMA ni Tawi la CCM ambalo ndilo linajuwa mambo yote ya CCM.Kuzushwa kwa siri za mafisadi ,mahesabu ya fedha za walala hoi zilizo chotwa kutoka BOT zote zimeibuliwa na CHADEMA.
Kwa kuwa Chadema ndio Chama kinacholengwa kuwa ni tawi mama la CCM ,ni watu wachache tu wanalilijua hilo ,na hivyo kuifanya Chadema kutoonekana moja kwa moja uhusiano wake na CCM naweza kusema ni TOP Secret.
Hatari ya uhusiano huu ni pale wanasera wanapogongana na kufarikiana katika hekaheka za kutafuta tonge.
Tonge ya mlo wa BOT ,Richmond na nyenginezo ziliwatenga vigogo wa CHADEMA na kuwafanya wavurugike akili kwa kuona wenzao wamewakosesha mgao.Na matokeo yake ni siri nyingi za ufisadi kuanza kutolewa pamoja na mahesabu ,yote hayoyakiongozwa na CHADEMA.
Ingawa WATANZANIA wananchi wengi wapo nyuma katika kuliona hili kiasi cha kuwafanya washindwe kutambua upi ni Mchele na zipi ni Pumba panahitajika ukachero mkubwa kuezua na kuuweka wazi ushirikiano wa chini kwa chini wa CCM na CHADEMA.

Mr Thorn, I m not buying it try other way around.
 
Katika vyama vikuu vya upinzani Tanzania inasemekana vimo vyama vivuli au wakala.Nilichowahi kusikia ni kuwa Chama cha CHADEMA ndio chama nambari one kinachotumika au kutumiliwa na CCM ,vilevile wapo wanaosema Chama cha CHADEMA ni Tawi la CCM ambalo ndilo linajuwa mambo yote ya CCM.Kuzushwa kwa siri za mafisadi ,mahesabu ya fedha za walala hoi zilizo chotwa kutoka BOT zote zimeibuliwa na CHADEMA.
Kwa kuwa Chadema ndio Chama kinacholengwa kuwa ni tawi mama la CCM ,ni watu wachache tu wanalilijua hilo ,na hivyo kuifanya Chadema kutoonekana moja kwa moja uhusiano wake na CCM naweza kusema ni TOP Secret.
Hatari ya uhusiano huu ni pale wanasera wanapogongana na kufarikiana katika hekaheka za kutafuta tonge.
Tonge ya mlo wa BOT ,Richmond na nyenginezo ziliwatenga vigogo wa CHADEMA na kuwafanya wavurugike akili kwa kuona wenzao wamewakosesha mgao.Na matokeo yake ni siri nyingi za ufisadi kuanza kutolewa pamoja na mahesabu ,yote hayoyakiongozwa na CHADEMA.
Ingawa WATANZANIA wananchi wengi wapo nyuma katika kuliona hili kiasi cha kuwafanya washindwe kutambua upi ni Mchele na zipi ni Pumba panahitajika ukachero mkubwa kuezua na kuuweka wazi ushirikiano wa chini kwa chini wa CCM na CHADEMA.

Hivi Mwiba Chadema imekuwa tishio namna hii mpaka kukunyima usingizi?

Nina wasiwasi hapa si bure kuna kifo cha nyani tu.

Kwa mwendo huu, tunaweza kupata raha kabla ya June (Usemi wa Mwalimu unaelekea)
 
Waungwana! najua kuna CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA), hicho CHAMA CHA CHADEMA kimeanzishwa lini na viongozi wake ni akina nani?
 
Waungwana! najua kuna CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA), hicho CHAMA CHA CHADEMA kimeanzishwa lini na viongozi wake ni akina nani?
MWANDISHI HAPO ANA MAANA YA CHADEMA AMBAYO MBOWE NI MWENYEKITI, SLAA KATIBU MKUU NA ZITO KATIBU MKUU MSAIDIZI.....!
IS IT CLEAR ......!
 
Mwenye macho haambiwi tazama,baadhi ya vyama vinavyoshirikiana na CCM kwa siri ni NCCR MAGEUZI ,hiki kimepewa kazi ya kuzusha pingamizi kwa wagombea wa vyama vingine ,pia kisione taabu hata wa CCM kimeruhusiwa kuwawekea pingamizi ili kizidi kujificha kwenye kichaka cha ukandamizaji wa haki.
 
Mh Mwiba,

Kama ushirikiano wao unawezesha wananchi kufahamu kuwa Richmond ni mradi, wa wakubwa, pia ukatuwezesha kujua kuwa tumeibiwa mapesa mengi sana BOT na uoza wote ambao sasa hivi umeanikwa hadharani, basi ushirikiano huo udumu !
 
kwa maneno haya....CCM + CHADEMA = TOP SECRET(MAFISADI)

Hicho ndo mnachotaka tuamini. Lakini namshukuru mleta mada amekuja kistaharabu zaidi kuliko wengine wanaokuja kama wametumwa na RA. Hongera sana naweza kusikiliza mawazo yako.
 
Mh Mwiba,

Kama ushirikiano wao unawezesha wananchi kufahamu kuwa Richmond ni mradi, wa wakubwa, pia ukatuwezesha kujua kuwa tumeibiwa mapesa mengi sana BOT na uoza wote ambao sasa hivi umeanikwa hadharani, basi ushirikiano huo udumu !

Na udumu, na kudumu, na kudumu zaidi
 
Na udumu, na kudumu, na kudumu zaidi

Na udumu kabisa .Ilianza kuwa Chama wachaga , Kikaja kuwa Kifamilia na sasa ni Pandikizi la CCM, tuendelee kuwasikiliza wajuaji hawa .Lakini kama kitandelea hivi kutoa hoja na hata kumbana waziri Mkuu wa CCM afukuzwe kazi kwa wizi bora Chadema kuwapo .
 
Mnamaanisha kwamba CHADEMA hakipingi Sirikali (top secret) iliyo madarakani? Mnantaka tuamini Mhe. Zitto alipokua anahoji uhalali wa mkataba wa Buzwagi alikua upande wa sirikali?

Utawala hujijenga haujibomoi, katika matukio yote haya (ufisadi) sisiemu imejijenga vipi kw kutumia Chadema?

Sijaona mantiki ya hoja hii, naomba kuelimishwa zaidi.
 
Mwenye macho haambiwi tazama,baadhi ya vyama vinavyoshirikiana na CCM kwa siri ni NCCR MAGEUZI ,hiki kimepewa kazi ya kuzusha pingamizi kwa wagombea wa vyama vingine ,pia kisione taabu hata wa CCM kimeruhusiwa kuwawekea pingamizi ili kizidi kujificha kwenye kichaka cha ukandamizaji wa haki.

Kupinga mgombea si sera ya chama wala si ishara ya kushirikiana kwa chama fulani na kingine, kama kuna sababu za kimsingi za kumpinga mgombea hata kama anatoka ndani ya chama rafiki atapingwa tu, na hiyo ndio demokrasia ya kweli. Kama mgombea hafai(hatimizi sifa za kugombea) chama fulani kikinyamaza wakati kinajua kutofaa kwake eti kinachelea kuharibu urafiki na chama anakotokea, huo ni usaliti mwingine kwa umma. Mahusianao ya vyama hayapaswi kuwa ya kulindana hata pale penye ukengeufu.
Shutuma dhidi ya NCCR Mageuzi hazina mantiki hapo. Kumbuka pia wapo wagombea toka NCCR Mageuzi waliowahi kuwekewa pingamizi na chama kingine cha upinzani.Hao nao ni CCM B?

Hata hivyo, siri naona zipo nyingi sana miongoni mwa vyama tulivyonavyo. Wapo wanaojidai wanapendana na wako katika mkataba wa ushirikiano lakini wanazungukana, wapo waliopotosha makubaliano miongoni mwa kambi ya upinzani wakayapachika jina jingine kwa sababu wanazozijua wao (kama walitumwa vile), wapo waliosema wakitokea kambi ya upinzani, kwamba chagueni CCM, kura kidogo zitakazobaki nipeni mimi...
Achokonoaye awe tayari kuumbua kukianza. Yamkini uchokonozi huu ni kwa faida ya wananchi
 
Mr Mwiba,
Nadhani wewe unatumiwa na watu flani flani kuubomoa upinzani. Haingii akilini hata kidogo, japokuwa umejitahidi sana kujenga hoja yako.

Kimsingi ni kwamba, upinzani bado una safari ndefu. Umma wa Watanzania bado haujajua manufaa ya kuwa na upinzani. Msajili mkuu wa vyama anakiri kwamba bado vyama vya upinzani hapa nchini ni vichache ukilinganisha na idadi ya watu, itikadi zao na matabaka yao. Lakini hivi hivi vyama vichache havitumiki ipasavyo kuikosoa serikali iliyoko madarakani.

Sasa unapokuja na hoja kama hizi, tunapata shida kidogo kukuelewa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom