Igweeeeeeeeeee taarifa zakunyapia nyapia zimeniangukia mzee wakunyapia nyapia hii ni zaid yakiza kinene kwa wale mnamtumia msg yakulaani mkuu wa taifa eti aliruhusu risasi kwa waadamnaji. Sio kweli yani big No.
Taarifa ambazo nakosa kuzithibitisha nikwamba kweli risasi zilipigwa na mpigaji nikweli alikuwa mtumishi wa jeshi la polisi. Ila giza ni zito nani alitoa amri. Ikumbukwe askari hawatumii risasi za moto pasipo kibali ama kuwepo hali yakuleta hatari kwa askari husika. Kila kikosi chakutuliza ghasia kuna mkuu wakile kikosi au wakundi fulani.
Habari zisizo rasmi nikuwa ile risasi ilipigwa na mmoja wa hao walinzi wa amani japo hakuna ushaidi why mpaka sasa alitumia silaha za moto. Maswali wana usalama na viongoz wajuu wanajiuliza ni:-
Je, askari alie piga risasi alipatwa na mfadhaiko au msongo wakimawazo baada yakuona kundi linamjia?
Au alikuwa na ajenda ambayo mimi nawewe hatujaijuwa mpaka sasa?
Je, kuna mtu nyuma yapazia alikuwa akicontrol kundi fulani la maaskari
Je, ni watu wasiojulikana katika nia yao ovu bado kumchafuwa Magufuli na serikali ambalo ndio ilikuwa dhima ya yale maandamano?
Je, kunakamchezo kanachezwa kuiteteresha serikali ya Magu?
Je, hii ni conspiracy?
Kazi kwenu
Taarifa ambazo nakosa kuzithibitisha nikwamba kweli risasi zilipigwa na mpigaji nikweli alikuwa mtumishi wa jeshi la polisi. Ila giza ni zito nani alitoa amri. Ikumbukwe askari hawatumii risasi za moto pasipo kibali ama kuwepo hali yakuleta hatari kwa askari husika. Kila kikosi chakutuliza ghasia kuna mkuu wakile kikosi au wakundi fulani.
Habari zisizo rasmi nikuwa ile risasi ilipigwa na mmoja wa hao walinzi wa amani japo hakuna ushaidi why mpaka sasa alitumia silaha za moto. Maswali wana usalama na viongoz wajuu wanajiuliza ni:-
Je, askari alie piga risasi alipatwa na mfadhaiko au msongo wakimawazo baada yakuona kundi linamjia?
Au alikuwa na ajenda ambayo mimi nawewe hatujaijuwa mpaka sasa?
Je, kuna mtu nyuma yapazia alikuwa akicontrol kundi fulani la maaskari
Je, ni watu wasiojulikana katika nia yao ovu bado kumchafuwa Magufuli na serikali ambalo ndio ilikuwa dhima ya yale maandamano?
Je, kunakamchezo kanachezwa kuiteteresha serikali ya Magu?
Je, hii ni conspiracy?
Kazi kwenu