Top Five companies to work for in Tanzania apart from the UN

fikiria kujiajiri, kutafuta kampuni kubwa kama hupati walau dola 8,000 kwa mwezi take home basi andika umesign form za umaskini. wanaofaidi ni international staff sababu wanalipiwa nyumba, usafiri, matibabu, shule kwa watoto wao na pesa ya kujikimu then mishahara yao yote inaenda kwao.

Yaani wao mshahara ni pure saving..... sasa wewe ndugu yangu hata ukienda USAID utapata hizi hizi 3 - 4m kwa mwezi sasa weka utitiri wa matatizo uliyonayo hapo saving unajikuta ni 0%.

Jiajiri ndugu yangu hata ukipata faida ya laki kwa siku huo unakuwa mwanzo mzuri na siku moja unaweza kuwa na kampuni kama hizi unazozitaka kuajiriwa nazo.
 
fikiria kujiajiri, kutafuta kampuni kubwa kama hupati walau dola 8,000 kwa mwezi take home basi andika umesign form za umaskini. wanaofaidi ni international staff sababu wanalipiwa nyumba, usafiri, matibabu, shule kwa watoto wao na pesa ya kujikimu then mishahara yao yote inaenda kwao.

Yaani wao mshahara ni pure saving..... sasa wewe ndugu yangu hata ukienda USAID utapata hizi hizi 3 - 4m kwa mwezi sasa weka utitiri wa matatizo uliyonayo hapo saving unajikuta ni 0%.

Jiajiri ndugu yangu hata ukipata faida ya laki kwa siku huo unakuwa mwanzo mzuri na siku moja unaweza kuwa na kampuni kama hizi unazozitaka kuajiriwa nazo.

Mkuu, unayaishi uyasemayo lakini?
 
Angalieni watu mtafuatwa kukopwa mkitaja mishahara yenu mikubwa hapa! Mujue tumo humu ndani tunaolipwa kiduchu kabisa!

Ni kweli kabisa mkuu, mie niliwaambia mshahara wangu wanafamilia mbona nilijuta, nikageuka problem solver ndani ya Familia. Yaani mtu anapokua na hela yake anaitumia kwa anasa yanapotokea matatizo break ya kwanza kwako. Imagine mtu kafunga safari kutoka Dar hadi Mwanza kaenda kula bata na kuwatembelea washkaji zake ilipofika hatua ya kuchukua form ya kuomba kujiunga na chuo ambayo gharama yake ni sh 30,000 anakupigia cm umsaidie kwa sababu anajua kipato chako ni kikubwa
 
He he he! Swali nzuri sana.
Mimi nimegundua the best Company is the one which you dont work with.
The worst is the one which you work For.

I agree like the TRAFFIC POLICE......they don't work for the ''company'' but for their stomaches
 
Tanzania national park(tanapa),TCRA,LAPF,NSSF,PPF,BOT,CRDB
are these companies or "Mashirika ya Umma"! ...kidogo CRDB (lakini nao wanaijua EPA) lakini wengineo they do not run their activities basing on Profit and Ross principles bali wana fixed budget ya kuwalipa wakurugenzi waliozalisha loss pension ya 500m.
TZ bwana we sema vitu kama IPTL, DOWANS and the like huwa zinalipa vizuri kwa wanaobahatika kuajiriwa huko. ...hatuwezi kuwajumuisha BP (British Petroleum)
maana wameamua kufunga shughuli zao basing on undocumented principle that says "Tanzania is almost impossible for business"
 
Sema mbona SPANCO hatuitaji... au wewe bado upo airtel ???Welcome to Spanco
Unazungumzia SPANCO hawa waliowalipa kastama kea tarehe 57 ya mwezi au wengine...??? Au unawasema wale wanaolipa Tshs. 250,000/= mshahara kwa hawa wapya...??? Maana hao wa wa zamani wana nafuu kwa vile walihamia huko toka Airtel na mishahara yao........ sasa hao waajiriwa wa sasa ................. ndo wanakula huto tu laki mbili na nusu................
 
Spanco ndio anaowaumiza Vijana wetu wanaopokea simu pale Moroko kwenye jumba la joseph Manji la Airtel du wahindi kweli wahuni nchi tumewapa bado mishahara watunyonye, nyumba za NHC watake kujimilikisha kinyemela. Du. Tutafika Tahrir square yetu itakuwa Biafra naona.
Unazungumzia SPANCO hawa waliowalipa kastama kea tarehe 57 ya mwezi au wengine...??? Au unawasema wale wanaolipa Tshs. 250,000/= mshahara kwa hawa wapya...??? Maana hao wa wa zamani wana nafuu kwa vile walihamia huko toka Airtel na mishahara yao........ sasa hao waajiriwa wa sasa ................. ndo wanakula huto tu laki mbili na nusu................
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom