angalia line yangu ya pili mwisho.
Bingo!Two things mixed up,dada mzuri na dada anayeongoza ku comment which is which?for clarification purpose
No!Cmjui ila namfahamu
Yap namjua una kingine?ndugu wewe wamjua?
Mambo vipi?Wanajamvi eeh!Hv msichana ama binti mzuri kupita wote humu Jukwaani ninan?
Tupia jina lake na uzur wake!
Kwangu mimi ni Heaven on Earth uzuri wake:-anaongoza kwa kukomenti post zangu na wewe je?
Nipe tofauti kati ya kujua na kufahamu
Yap namjua una kingine?
Still fake
Hivi hujui kuwa maisha ya MMU ni ya kuigiza?
Unataka tutoe maamuzi kwa muktadha wa maigizo?
Halafu unasemaje uzuri bila kusema ni uzuri gani?
Na kama ni uzuri huo unaodai kusema hapo mbina umetaja wasichana tu
Wanawake je?
Wanaume je?
Halafu unajuaje kuwa fulani ni mwanamke au msichana?
Still fake
Hivi hujui kuwa maisha ya MMU ni ya kuigiza?
Unataka tutoe maamuzi kwa muktadha wa maigizo?
Halafu unasemaje uzuri bila kusema ni uzuri gani?
Na kama ni uzuri huo unaodai kusema hapo mbina umetaja wasichana tu
Wanawake je?
Wanaume je?
Halafu unajuaje kuwa fulani ni mwanamke au msichana?
1.kujua-maana fupi ni kumjua mtu kiundani.
Unaona kuna tofauti gani kati ya hizo lugha mbili?2.Kufahamu-kumfahamu mtu si kiundani either unamfahamu kwa jina tu au kwa kumuona tu mtaani pasipo kumjua kiundani.
Huelewi chochoteMimi ninavyoelewa BROS
Waswahili na kiswahili chao!