Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soon hata Tanzania tunaweza ingia kwenye hiyo kumi bora...Mana mradi wa Bagamoyo ni karibu mara mbili ya deni la Angola..1 Angola - 16. 5 billion euros
2. Ethiopia 9.3
3 Zambia 4.9
4 Kenya 4
5.,Ghana 3.1
6.Nigeria 2.5
7. Cameroon 1.8
8.Mozambique 1.77
Djibouti 1.2
Source : China Africa research institute
Huko huko mnakokopa nyie lakini tunakopa kwa akili, sio kukopa mpaka mnafikia 100% ya GDP.Hivi Tanzania deni lenu huwa mnakopa wapi, maana kuna taarifa za denu lenu kuongezeka kimya kimya lakini haieleweki mnakopa kutoka kwa nani...
Huko huko mnakokopa nyie lakini tunakopa kwa akili, sio kukopa mpaka mnafikia 100% ya GDP.
Poleni sana wa Kenya.
Mngekuwa matajiri msinge lalamika nchi yenu ina mizigo ya madeni,yaani mnakopa hamlipi mpaka wananchi wana lalamika msikope tena,kwani wana hali mbaya na mikopo itazidi kuwa kamua.Kwa nchi yenu ilivyo maskini mpaka tumeizidi kiuchumi mara mbili, mikopo yote hiyo mnakopa ya nini.
Nimezunguka Tanzania maeneo mengi, Nimezunguka kenya maeneo mengi ila umasikini uliopo kenya sio wa sayari hii.Kwa nchi yenu ilivyo maskini mpaka tumeizidi kiuchumi mara mbili, mikopo yote hiyo mnakopa ya nini.
Sasa hivi mama anawaumbua, tulia everything is coming to the surface. Hataki propaganda na porojo, I guess ni uislamu wake(my opinion tu), mara mingi mafisadi hapa East Africa wanajiita wakristo, not meaning to attack any religion here., and I don't mean to say wakristo ama waislamu ni wabaya ama wazuri., ni individual conviction tu.Hivi Tanzania deni lenu huwa mnakopa wapi, maana kuna taarifa za denu lenu kuongezeka kimya kimya lakini haieleweki mnakopa kutoka kwa nani...
Kenya haijashindwa kulipa madeni kama nyie, ni vile ulipaji wa madeni inakula hela ndefu kutoka kwa revenue na inatumia asili Mia kubwa ya budget, na nyinyi juzi kwa hizi report zenyu za kuonyesha mlivyo chemsha walisema pia ndege za air Tanzania haziwezi kuruka nje kwa vile zinaeza kamatwa, lipeni madeni wacha kutuletea aibu EAC!Mngekuwa matajiri msinge lalamika nchi yenu ina mizigo ya madeni,yaani mnakopa hamlipi mpaka wananchi wana lalamika msikope tena,kwani wana hali mbaya na mikopo itazidi kuwa kamua.
Nchi yenu imekuwa kama muembe wa uwani,kila kiongozi akisikia njaa anachuma.
We umezunguka kenya wapi we mlalahoi wa buzaNimezunguka Tanzania maeneo mengi, Nimezunguka kenya maeneo mengi ila umasikini uliopo kenya sio wa sayari hii.
Mlalahoi mamaqo.We umezunguka kenya wapi we mlalahoi wa buza
Nyie shirika lenu la ndege hasara 1.8B USD ,mimi Tz USD 60m,sasa sijui lipi ni kubwa.Kenya haijashindwa kulipa madeni kama nyie, ni vile ulipaji wa madeni inakula hela ndefu kutoka kwa revenue na inatumia asili Mia kubwa ya budget, na nyinyi juzi kwa hizi report zenyu za kuonyesha mlivyo chemsha walisema pia ndege za air Tanzania haziwezi kuruka nje kwa vile zinaeza kamatwa, lipeni madeni wacha kutuletea aibu EAC!
Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni $10 Billion, kwahiyo sio kweli kwamba ni mara 2 ya Ethiopia! Thamani ingefanana naEthiopia ukichanganya na SGR kwa sababu miradi yote ilikuwa ijengwe na pesa za WachinaSoon hata Tanzania tunaweza ingia kwenye hiyo kumi bora...Mana mradi wa Bagamoyo ni karibu mara mbili ya deni la Angola.
Hahaha, kwa debt to GDP ratio ya 100% maana yake uchumi wenu ni wa kwenye makaratasi. Maana yake hakuna uchumi hapo.Kwa nchi yenu ilivyo maskini mpaka tumeizidi kiuchumi mara mbili, mikopo yote hiyo mnakopa ya nini.
Kwa hii akili yako finyu, sasa marekani, ama Japan na kadhalika hawana uchumi kamwe, kwa sababu Debt to GDP ratio ya Japan ni 200%., ya USA ni zaidi ya 100%., elewa economics, sio kuropokwa.,Hahaha, kwa debt to GDP ratio ya 100% maana yake uchumi wenu ni wa kwenye makaratasi. Maana yake hakuna uchumi hapo.
Sisi uchumi wetu ni halisia, tumekuwa tukikuambia sana tu hapa jamvini...
Subiri wanakuja kulinganisha kenya na JapanHahaha, kwa debt to GDP ratio ya 100% maana yake uchumi wenu ni wa kwenye makaratasi. Maana yake hakuna uchumi hapo.
Sisi uchumi wetu ni halisia, tumekuwa tukikuambia sana tu hapa jamvini...
Pambana na hali yenyu, mama amewaumbua vibaya sana., Yani mko ovyo kila sector, na ka uchumi kadogo, watu wengi, results ni umasikini wa kutupwa kote kote. Yani baba ako na mshahara kidogo na watoto wengi na majukumu kibao.,Nyie shirika lenu la ndege hasara 1.8B USD ,mimi Tz USD 60m,sasa sijui lipi ni kubwa.
Mpaka mnalalamika manake mnaelekea kushindwa na hii Corona mnakopa,alafu kinachofanyika hamkioni.
MNAJIFANYA MNA NGOZI YA CHUMA ILA IKIGUSWA INA BONYEA.
#UnlockOurCountry
Endeleeni kujifungia.
Waongo this time round wana anikwa peupeWe umezunguka kenya wapi we mlalahoi wa buza