Bikiroboto amemlima bit katika kikao cha bajeti kilichopita. Nadhani mtoto wa mkulima na vilaza wenzake wa magamba wanaokwenda kupata desa kwake za jinsi ya kuwadanganya wadanganyika wakati kikao kinaendelea watakoma kabisa.kuna katabia bungeni wakati bunge lanaendelea Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huwa anapiga soga na baadhi ya wabunge!
<br />Wasira ni funika bovu, kabla hajaingia bungeni anakula valium za kutosha kisha anashushia valeur kachupa kadogo. Utampenda
Homo EractusHatimaye mzee wetu Wasira ameibuka tena kutaka kukomboa jimbo la bunda lililo chukuliwa na mwana dada Bulaya.
Wakati akiwa ndani ya bunge mzee wetu Wasira akiwa waziri alitumia muda mwingi akiwa anatafakali mwenendo wa bunge kwa njia ya kuupiga usingizi.
Kama alikuwa hivi miaka zaidi ya 5 iliyopita, itakuwaje kipindi hiki akiingia bungeni? Si ndiyo atakuwa anakoroma kabisa na kuwa na ndoto za wajukuu wake huko Bunda?
Je, watu kama hawa bado tuna haja ya kuwachagua kutuwakilisha bungeni?
View attachment 1508181