tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,197
Buda sourcce yenyewe NAIJAQUEST Unaiamini ebu tumia world bank ama IMF na uache Kujiabisha hapaKulingana na report hii Africa mashariki bado ni masikini zaidi,haipo nchi hata moja tunaweza kujiuliza na kujijibu wenyewe tunakwama wapi
😂hata mie ningetaka kujua kama bongolalaland wamo!Hivi Kunyaland wamo!!!!!