donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,031
- 21,499
salaam wakuu,
nimeanza juzi kuicheza hii game ya top 11 ila nimetokea kuikubali sana. Its a soccer game ambayo unacheza kama manager though ni simulation only lakini you can play league with friends and also have friendly matches, etc. like everything in real-life soccer. Uzuri ipo katika several platforms, kwenye pc unaweza kuicheza kupitia facebook apps, kwenye android inapatikana kwenye google play store so far sijajua kwenye iOS ila bila shaka itakuepo. Kwa wale wakuu ambao tayari wanaicheza tukutane pale.
nimeanza juzi kuicheza hii game ya top 11 ila nimetokea kuikubali sana. Its a soccer game ambayo unacheza kama manager though ni simulation only lakini you can play league with friends and also have friendly matches, etc. like everything in real-life soccer. Uzuri ipo katika several platforms, kwenye pc unaweza kuicheza kupitia facebook apps, kwenye android inapatikana kwenye google play store so far sijajua kwenye iOS ila bila shaka itakuepo. Kwa wale wakuu ambao tayari wanaicheza tukutane pale.