ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Fikra zetu zilikuwa ni za kimaskini, tuna ogopa rangi yao, tuna wakweza kwamba wao ni kila kitu...sasa na sisi tumeamka! Lakini usimwamshe aliye lala asije akakurudisha kwenye usingizi!ndio tujue sisi weusi tulivyo mamburulaz, watu wanakuja na kushika utajiri sisi tunafuatilia mabifu ya akina king kiba na diamond