Top 10 richest people in Tanzania (orodha ya matajiri 10 Tanzania)

Utafiti unaonesha kuwa biashara nyingi za watanzania huwa zinakufa Mara tu msimamizi mkuu hasa baba inapotokea amefariki!
Wale wanafamilia wengine huwa wanashindwa kuendeleza kutokana na kutojua wapi kwa kuanzia maana hawana ABC Kuhusu biashara husika kutokana na kutoshirikishwa!

Ila wenzetu wa mataifa ya nje biashara huwa ni ya wana familia ambao hushirikishwa kwa Karibu kabisa na wasimamizi wakuu!
 
They're said to be the biggest tycoon richest men in Tanzania

Mohammed Dewji MO
e5642b29403dd75ba8f55320479adc99.jpg


Rostam Aziz

d0c6ac805b965aa6fb8984d99031bfde.jpg


Said Salim Bakhressa
ab3ea7ecd2cc963a5f2ff0ba40ebe17b.jpg


Reginald Mengi

63d51fd128171a0c55c4df32a88e63ec.jpg


Ally Awadh
e9eac0493ac71151ae27d55fa3c7b3ad.jpg


Kannabar
256e00d9547d69315ab6e4585c4999d5.jpg


Subash Patel
4f4a6dbf15f785712a19f872225d43b3.jpg


Ghalib Salim Mohammed (GSM)
3d08156b6e77da5011572cc4457b4ac1.jpg


Fida Hussein Rashid

37f4fd0a7561ee52c837350bcd9483f1.jpg


Hawa Ndio wanamiliki utajiri mkubwa zaidi hapa kwetu Tanzania.
Mkuu nyuma ya Dweji yupo Gulamabbas Dweji huyu ndo mzee wke na mwenywe sema watu wengi hawamjui ndo anatakiwa akae top na kuna kipindi yeye ndo alikuwa anatoa mishahara ya...........................................
 
Mengi hapo kaingia kimakosa hana lolote maneno tuu.Ana kiwanda cha soda Bonite tuu!Media ina run kwa hasara hana faida pale!pia hana vifaa kama vya Azam Media
Baba lao hapo Bakhresa hao wengine sii wawekazi bali wapigaji tuu.Bagamoyo sugar Azam is coming soon
Mengi ana mgodi tanzanite kila siku anatoa tuu.ana mgodi dhahabu handeni.ipp ni magazet ndio yalikuwa hayatoi faida lakin kabadilisha mfumo na kupunguza wafanya kazi saiv ni mifaida tuu
Mengi hapo kaingia kimakosa hana lolote maneno tuu.Ana kiwanda cha soda Bonite tuu!Media ina run kwa hasara hana faida pale!pia hana vifaa kama vya Azam Media
Baba lao hapo Bakhresa hao wengine sii wawekazi bali wapigaji tuu.Bagamoyo sugar Azam is coming soon
 
Mkuu nyuma ya Dweji yupo Gulamabbas Dweji huyu ndo mzee wke na mwenywe sema watu wengi hawamjui ndo anatakiwa akae top na kuna kipindi yeye ndo alikuwa anatoa mishahara ya...........................................
Riz1 nae kawekeza hapo,ccm ndipo wanapopitishia mabomu yao
 
Mengi ana mgodi tanzanite kila siku anatoa tuu.ana mgodi dhahabu handeni.ipp ni magazet ndio yalikuwa hayatoi faida lakin kabadilisha mfumo na kupunguza wafanya kazi saiv ni mifaida tuu
Hakuna mgodi mkubwa wa tanzanite zaidi ya ule wa Tanzania One unaomilikiwa na Balozi Ami Mpungwe (local investor).Mengi ni publicity tuu hana kitu.Kuna wasukuma wa Shinyanga wenyewe huwa pesa wanaweka tuu benki hawajawahi ku draw kuzitumia
 
Mkuu, hao wahindi wametajirika kwasababu ya ccm.

Viongozi wengi wa serikali ya ccm walikuwa wakiiba, wanaenda kuficha kwa hao wahindi na waarabu. Kwasababu ndiyo wenye kuweza kuwatunzia siri nk.

Pia wivu na roho ya kwanini, ikawafanya wasijaribu kunufaisha weusi wenzao.


Acheni chuki bana, ubaguzi ndio huu sasa!

Fuatilia hata huko America kama wahindi wana mafanikio katika biashara au la! Na uzuri jamaa biashara za maduka wanazipenda kweli , so ukiona huku wana maduka basi usidhani maduka wanafanyia huku tu

Wahindi USA,Britain n.k kote huko ni wafanya biashara wenye mitaji mikubwa na utajiri, biashara ya maduka makubwa hawafanyii bongo tu, nchi nyinginezo huko nako wanafanya biashara hii hii ya maduka

Tufanyeni kazi kwa bidii na maarifa, Tuache kuatafuta mchawi
 
Acheni chuki bana, ubaguzi ndio huu sasa!

Fuatilia hata huko America kama wahindi wana mafanikio katika biashara au la! Na uzuri jamaa biashara za maduka wanazipenda kweli , so ukiona huku wana maduka basi usidhani maduka wanafanyia huku tu

Wahindi USA,Britain n.k kote huko ni wafanya biashara wenye mitaji mikubwa na utajiri, biashara ya maduka makubwa hawafanyii bongo tu, nchi nyinginezo huko nako wanafanya biashara hii hii ya maduka

Tufanyeni kazi kwa bidii na maarifa, Tuache kuatafuta mchawi
Haina maana kuwa wahindi siyo corrupt, na kwamba hawa kutumika na mafisadi wa ccm kuficha pesa. Acha kuona watu mazuzu wewe! Hata waingereza walishagundua hilo kitambo tu!

Kwani ukiwa na maduka ama tajiri ndo hauwezi kuwa corrupt? Shida pesa mnapeleka huko Britain na US unakosema mkisha retire. Munaachia watoto waendeleze unyonyaji, hata nyumba zenyewe(hata za kuishi tu) ambazo kama mmgekuwa mnajenga,ni mojawapo ya investements zenye kusadia uchumi, hamjengi. Mnabaki kwenye nyumba za serikali!Acha hizo wewe!

They might not be the ONLY problem, but sure they are one of them.
 
Jamani mimi mwenzenu utajili wa MO bado sijauelewa kabisaaaa. Mwenye details anifafanulie.
Huyu jamaa amewekeza zaidi kwny sector ya kilimo na fedha, Ana mashamba makubwa sana ya chai, mkonge, korosho nk. Pia Ana viwanda vya kusindika chakula na vijywaji baridi.


Ana nakampuni ya Bima km Phoenix nk,

Ana makampuni ya kutoa mikopo, nq pia Ana hisa kwny bank kadhaa nchini na nje ya nchi.

Lakini pia anawekeza sana nje ya mipaka us Tanzania hasa nchi zq east Africa kwny decor nilizotaja Hapo.

Tatizo moja ni Kwamba bidhaa anazozalisha zina ubora wa chini sana
 
Hii orodha inadhibitisha kuwa ngozi nyeusi imelaaniwa.Kazi yetu kuonea watu wivu,kushabikia mabaya,umbeya,ngono siku nzima,michepuko,wizi wa vitu vidogo vidogo kama mihogo au ndala,omba omba ilhali tuna mikono na miguu,kuonesha watu dharau kwasababu ya ka mshara ka laki tano kwa mwezi,uzembe iliyo kidhiri,starehe kila siku,mabosi kunyanyasa wadogo zao ofisini... kwa mambo haya kweli tuta tajirika?
 
Hii orodha inadhibitisha kuwa ngozi nyeusi imelaaniwa.Kazi yetu kuonea watu wivu,kushabikia mabaya,umbeya,ngono siku nzima,michepuko,wizi wa vitu vidogo vidogo kama mihogo au ndala,omba omba ilhali tuna mikono na miguu,kuonesha watu dharau kwasababu ya ka mshara ka laki tano kwa mwezi,uzembe iliyo kidhiri,starehe kila siku,mabosi kunyanyasa wadogo zao ofisini... kwa mambo haya kweli tuta tajirika?
Umelaaniwa mwenyewe mkuu,Mimi na mengi tuko fresh tu
 
Roastam Aziz naona kaamuwa kuzitafuna kimya kimya! Yaani yupo kimya mno, Vodacom Shareholder, Caspian Mining, Caspian Ventures...
 
Back
Top Bottom