Nimestaajabu kwamba USA haimo miongoni mwa nchi zenye watu wenye IQ kubwa. Kumbe IQ haina uhusiano na utajiri!?
View attachment 1500327
kumbe vilaza wapo kama wote pia...mmoja yumo humu anapenda kusema 'USA Beibe'mkuu marekani ni lazima isiwemo kwasababu ile nchi haiundwi na Race moja kama zilivyo nchi nyingine.
pale ni senta ya dunia, kila race iko pale, na vilaza kibao wa BLM nao wako hapo.
Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app